Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Anawanyoosha nini? Wacha porojo.

Nawafahamu toka wafanyakazi alioanza nao. Kina Ma K, kina Aziz. kina marehem Jidawi.

Namjuwa Bakhresa toka anauza ngozi za viatu, mpaka akatajirika kwa kuuza majongoo ya bahari (sea cucumbers) biashara aliyopewa na rafiki yake waliokuwa pamoja Unguja, Mchina Mzanzibari anaitwa Apang.

Utanieleza nini na watu wa kariakoo wewe.

Ana wafanyakazi kila namna toka Watanzania mpaka wazungu na wahindi kutoka India siyo wahindi wa Tanzania tu. Na ana viwanda mpaka nje ya Tanzania.
Kwny kiwanda chake cha bugurun vibarua wanaingia saa 12 asbuh wanatoka saa 12 jion,, mtu unakuta kabeba viroba 100 vya sembe afu anamlipa elfu 7. Huko sio kuwanyoosha??
 
Hii kitu ipo dunia nzima. Shida neno la "umafia" lina relate sana na illegality; lakini ukilichukulia kama unfairness acts ndio utaona dunia nzima haya mambo yapo.

Juzi tu hapa Australia imekataa kuongeza route za Qatar airways nchini kwao bila sababu za msingi, hiyo move imekuwa engineered by Qantas Airways. Ndio umafia wenyewe. Tena wenzetu wako very aggressive and open. Facebook akishindwa kukunua ata-copy unachofanya ili kukumaliza.
Umafia wa Afrika umezidi na ume ambatana na undugu sana.

Afadhali hata umafia wa nchi za first world countries sio mkubwa kivile kama huu wa Afrika.
 
Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.

Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.

Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
Bado unalima kusini nije unipe Ramani za mashamba bibie.
 
Sio kila anaekula chakula cha garama anataka show off no!! We unaishi bunju afu offisi yako ipo k.koo utarud kula lunch mchana??

Watu wanakula vyakula kwny hotel za bei kwa sababu ya usalama wa afya zao,,,,, nadhan unajua jins mazngira ya mama ntilie yalivyo yan huku anapika huku anajifuta jasho hapo hapo mteja akimaliza kula anachukua vyombo analoweka kwenye maji machafu, anakupakulia, hapo pemben kuna chemba ya mavi,, pemben kidogo kuna dampo la manispaa nzi kama wote,,, apo apo ana mtoto ambaye kajisaidia jran na sufuria ya maharage,, kuna usalama kweli hapo??
Umetia chumvi sana kuhusu mamantilie
 
Mashamba sasa hivi kibao na mikopo bwereree, nenda wizara ya kilimo au wapigie simu wakupe utaratibu.

Serikali inafanya bidii kuwawezesha nyie mnadanganyana hapa: Piga hii kwa kilimo: Tel: +255 733 800 200
Dadangu kipenzi Cha Rais mama Samia tumedanganyana na nani wakati mie nimeuliza!
Anyway naomba unipatia namba ako wewe Kisha utanielekeza vizuri Habibat ..
 
Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Hapa umenikumbushia jamaa flani anaitwa tomath shelby. Mafanikio ni umafia na kujali familia yako maana ndo watu pekee watakao kuangaikia ukiwa maututi, maana sio kila ndugu ni mbaya kwako.

If they ask you, tell them order coming from fucking peaky blinder
 
Back
Top Bottom