Bila uzalendo hata tujenge hospitali au shule kila kata, bado ni Bure.

Bila uzalendo hata tujenge hospitali au shule kila kata, bado ni Bure.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Nakupongeza mara zote kuleta nyuzi na mada zenye fikira tunduizi.
Binafsi bado narudia uelewa wangu uleule, Bila ya kuwa na elimu au uelewa kuhusu uhusiano kati ya kuthamini kazi na maendeleo ya nchi, kuhusu kutunza na kuthamini mali (zote kutia ndani heath facilities) na maendeleo ya nchi, tutabaki pale pale na kuwa taifa lililojaliwa kulalamika na kulaumiana maana tunakuwa hatumjui adui yetu. Kwa mfano kuhusu suala la Kariakoo wengi wanafikiri adui wao ni tra na mwigulu.
 
Nakupongeza mara zote kuleta nyuzi na mada zenye fikira tunduizi.
Binafsi bado narudia uelewa wangu uleule, Bila ya kuwa na elimu au uelewa kuhusu uhusiano kati ya kuthamini kazi na maendeleo ya nchi, kuhusu kutunza na kuthamini mali (zote kutia ndani heath facilities) na maendeleo ya nchi, tutabaki pale pale na kuwa taifa lililojaliwa kulalamika na kulaumiana maana tunakuwa hatumjui adui yetu. Kwa mfano kuhusu suala la Kariakoo wengi wanafikiri adui wao ni tra na mwigulu.

Watu sio wazalendo, waadilifu na hawapendani
 
Watu sio wazalendo, waadilifu na hawapendani

Umenena vyema, sisi ni jamii ya watu tuliojengeka katika misingi ya ujanjaujanja. Tukiona mtu mwenye sifa kama ulizozitaja hapo juu, tunamshangaa, wengine kumbeza na wengine hata kumchukia.
 
Umenena vyema, sisi ni jamii ya watu tuliojengeka kayika misingi ya ujanjaujanja. Tukiona mtu mwenye sifa kama ulizozitaja hapo juu, tunamshangaa, wengine kumbeza na wengine hata kumchukia.

Watu wengi hawachukii Mafisadi, Bali wanawivu na Mafisadi; wanatamani wao ndio wangekuwa Mafisadi
 
Watu wengi hawachukii Mafisadi, Bali wanawivu na Mafisadi; wanatamani wao ndio wangekuwa Mafisadi

Umeleta dhana mbili hapo. Kuchukia mafisadi na kuwaonea wivu mafisadi. Kama tunawaonea wivu mafisadi badala ya kuwachukia mafisadi, basi ni hatari sana. Maana kuchukia mafisadi kunatokana na kuuchukia ufisadi. Inamaana tatizo hapo ni ufisadi (kama tutaielewa dhana ya kutofautisha mtu na tatizo), iwapo mtu atakuwa si fisadi hatachukiwa. Lkn kuonea wivu mafisadi ni kuonea tamaa. Mara nyingi binadamu anakuwa na wivu kwa mwingine, kama akiwa na kitu ambacho yeye anacho, lkn sisi hatuna. Pia ambacho sisi hatuwezi kukipata kwa urahisi. Sasa kama badala ya kuchukia ufisadi, sisi tunaonea wivu ufisadi, basi jamii yetu iko katika hali taabani kimaadili.
 
Kuna siku nilikuwa kwenye ofisi ya mhasibu wa chuo fulani ili nipate huduma nilishangaa aliingia jamaa mmoja na kuanza story za Simba na Yanga muda wa Kazi.
 
Watu wengi hawachukii Mafisadi, Bali wanawivu na Mafisadi; wanatamani wao ndio wangekuwa Mafisadi
Baada ya watu kuona Vita dhidi ya Ufisadi hata Zama za Rais Mzalendo na msemakweli bado zilikua Vita zinazochagua fisadi yupi wa kushughulikiwa na yupi wa kuachwa,hakuna Mtu mwenye akili timamu anayeamini Kama Ufisadi unaweza kuisha kila mmoja anautazama Ufisadi kwa engo yake.
 
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nakuelewa sana mkuu haya uliyoyaandika ndio watanzania wengi walivyo asilimia 95% Taifa hilo haliwezi kuendelea kwasababu ya tabia za kishenzi za watanzania wengi.
 
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uzalendo ulitupiliwa mbali kuanzia mwaka 1985 ,

Na kuanzia hapo kila aliyekuwa na Uzalendo alionekana ni Adui na pia ni Mshamba !!

Na imani hiyo inaendelezwa mpaka sasa !!!
 
Watu sio wazalendo, waadilifu na hawapendani
Watu wema wapo na wazalendo wa kweli wapo lakini wanahujumiwa kwa kupewa kashfa mbaya mbaya kilawanaposimamia hoja zao !!

Na wengine wanadhuriwa kabisa! Na kwa kuwa inafahamika mkono mtupu haulambwi basi wamebaki na machungu yao moyoni hawana la kufanya Angalau kwa muda huu. !!
 
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uzalendo huanza na watawala .kama watawala wanaitafuna nchi vilivyo unategemea mim mtoa huduma wa chin ninayelipwa laki 4 kwa mwezi eti niwe mzalendo
 
Uzalendo huanza na watawala .kama watawala wanaitafuna nchi vilivyo unategemea mim mtoa huduma wa chin ninayelipwa laki 4 kwa mwezi eti niwe mzalendo
Ndio maana tunasema Uzalendo ulitupiliwa mbali kuanzia Mwalimu alipong’atuka mwaka 1985 !!
 
Ubinafsi ndio nguzo ya maisha ya sasa ya Watanzania. Matakataka na mauchafu yote yanayoendelea kwa sasa ni uzao wa Ubinafsi uliopitiliza.
 
Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!
Ushauri wang kila cku, uzalendo uanzie kwa viongoz kwanza hivyo hata wananchi watakua wazalendo!! Apart from that uzalendo Nchi utabaki wimbo wa Taifa tu.
 
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE.

Anaandika, Robert Heriel

Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga kubwa katika mataifa yetu ya Afrika. Nchi yetu inamatatizo mengi Sana lakini yake makubwa ni matatizo ya kitabia. Nchi inawatu wengi wenye saratani ya kitabia.

Ukitaka kujua Jambo hili, nenda hospitalini leo hii utajionea ninachokieleza, sio wafanyakazi wote wenye saratani hiyo, Ila wengi wa watumishi wa umma sio waadilifu na Uzalendo kwao ni kipengele.

Watu hawaipendi nchi Yao.
Watu hawapendani wao Kwa wao.
Watu hawapendi Rasilimali za nchi Yao.
Watu ni wabinafsi kupitiliza!

Ukienda kuhudumiwa, Jambo la Kwanza atakalofikiri Mtoa Huduma ni kuhakikisha anaku-undermine Kwa namna ambayo kivyovyote atahakikisha uwe Duni kwake. Inashangaza na kusikitisha Mno. Jambo hilo analifanya ili kujiwekea ulinzi na kutafuta umuogope ili kuficha udhaifu wake(kama upo). Kisha kunyong'onyeza kujiamini kwako ili ushindwe kupigania Haki zako. Upumbavu tuu!
Na Kwa vile watanzania wengi hawajiamini wamejikuta katika mkondo wenye kina kirefu cha kuonewa na watumishi washenzi wasiowaadilifu. Wamegeuka wanyonge.

Ukichunguza Foleni na misongamano katika mahospitalini mengi sio Kwa sababu Watu ni wengi kupita Kiasi au sio Kwa sababu madaktari au watumishi waliopo NI wachache! Nop! Bali Kwa Asilimia kubwa ni inasababishwa na Watumishi hao kutokuwa waadilifu, hawaanzi kazi Kwa muda, kazi kujizungusha zungusha kijinga, kupiga umbeya umbeya ofisini, unakuta Mtumishi mmoja anamkuta mwenzake anafanya kazi, lenyewe linakuja n Stori za kijinga, hapo zitapotea dakika tano, upuuzi tuu!

Kutoheshimu Watu kunafanya watumishi wa umma kuwanyanyasa Wateja wao. MTU anapokuja ofisini kwako elewa kuwa anashida na hajaja kupoteza muda hapo. Mheshimu. Sio utumie shida zake kumkandamiza. Hizo ni dharau na ushenzi.

Hata kama MTU anamuonekano usiovutia, hata kama MTU ni fukara na Maskini, naheshimu, mhudumie Kwa Moyo wote Kwa sababu ndio kazi uliyoisomea.

Sio ukituona Sisi wavaa Suti au wenye mionekano inayovutia ndio unaleta shobo za kijinga. Huo ni ushenzi.
Kozi karibu zote mmefundishwa Saikolojia ili muweze kuwahudumia Watu vizuri. Kwa nini usivae kiatu cha mteja wako? Vile unavyotaka kufanyiwa basi fanyia wengine vivyohivyo.

Taifa linaweza kuwa na wasomi wengi na miundombinu mingi lakini kama Watu wake wakawa na tabia za kishenzi basi ni Sawa na Bure.

Moja ya Ishara kuwa MTU Fulani sio muadilifu na sio mzalendo ni kupenda na kutanguliza Pesa kuliko UTU. Kuwadharau Watu Kwa mionekano Yao na hadhi zao badala ya kudharau na kuchukia Matendo maovu na Mabaya.

Vijana, mkitaka mfurahie Elimu yenu, kazi zenu basi Taikon nawausia muwe waadilifu. Muwe wazalendo, wapendeni watanzania wenzenu muwapo kwenye Maeneo ya Kazi zenu. Kutokusoma kwao, umaskini wao hauna mahusiano yoyote na huduma mtakayowapa. Acheni kutaka kuogopwa(kulazimisha kuheshimiwa).

Hamkusoma ili muwaonee wasiosoma,
Hamkuumbwa na mvuto ili muwanyanyase wasio na mvuto,
Hamkupata kazi ili muwatese makapuku, fukara na watu chokambaya.

Yaani kitoto kikishafika chuo kinabadilika na kujiona kana kwamba hakistahili kuishi na watu wasiosoma. Eleweni kuwa Sisi ni taifa moja, wapo watakaobahatika kusoma iwe Kwa bahati au juhudi zao, na wapo ambao hawata bahatika kusoma iwe kwa uzembe au vyovyote.
Hallelujah!

Ijumaa Kareem. Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ubinafsi na umaskini na sio kwamba hawaipendi Tanzania..
 
Back
Top Bottom