Bila uzalendo hata tujenge hospitali au shule kila kata, bado ni Bure.

Bila uzalendo hata tujenge hospitali au shule kila kata, bado ni Bure.

Ushauri wang kila cku, uzalendo uanzie kwa viongoz kwanza hivyo hata wananchi watakua wazalendo!! Apart from that uzalendo Nchi utabaki wimbo wa Taifa tu.

Viongozi wanatoka Kwa wananchi.
Wananchi wazalendo huzaa viongozi wazalendo.
Viongozi ni wawakilishi WA wananchi.
Ukiona viongozi ni Mafisadi ujue wananchi ndio Mafisadi pro-.
 
Viongozi wanatoka Kwa wananchi.
Wananchi wazalendo huzaa viongozi wazalendo.
Viongozi ni wawakilishi WA wananchi.
Ukiona viongozi ni Mafisadi ujue wananchi ndio Mafisadi pro-.
Robert.. nnaposema viongoz wazalendo ni kwamba kupitia wao ndipo sheria hutungwa na kupitishwa, means sheria kali za ufisadi, kama viongoz waonyeshe mfano kiongoz flan kakutwa na hatia ya wizi basi ni magereza!! Haiwezekan unaona watu wanapiga mabilioni ya kodi za watanzania halaf ww utatoa wap guts za kulipa kodi? Mtu anasema nilipe kodi mamilion ili wachache wakaziibe!!
 
Robert.. nnaposema viongoz wazalendo ni kwamba kupitia wao ndipo sheria hutungwa na kupitishwa, means sheria kali za ufisadi, kama viongoz waonyeshe mfano kiongoz flan kakutwa na hatia ya wizi basi ni magereza!! Haiwezekan unaona watu wanapiga mabilioni ya kodi za watanzania halaf ww utatoa wap guts za kulipa kodi? Mtu anasema nilipe kodi mamilion ili wachache wakaziibe!!

Ninakuelewa kabisa.
Ila hao viongozi Mafisadi au wasio wazalendo angalia wanatoka katika jamii ipi. Mtoto analelewa na Wazazi kisha jamii.
Jamii ya rushwa huzalisha viongozi wala Rushwa. Wananchi hatuna kisingizio, hapa wote tunahusika.

Mwananchi wa Leo ndio kiongozi wa kesho. Kiongozi wa Leo ni mwananchi wa kesho.
 
Kama tutajifunza kuridhika na hali zetu basi uadilifu utatamalaki. Tatizo ni Kwamba watu hawaridhiki na kile wakipatacho, anayepata laki 5 haridhiki, anayepata mil. 12 haridhiki. Kila mmoja kwa nafasi yake anataka kupata zaidi Kwa wizi. Nakubaliana na wanaosema uadilifu uanze na viongozi, exactly true!
 
Ninakuelewa kabisa.
Ila hao viongozi Mafisadi au wasio wazalendo angalia wanatoka katika jamii ipi. Mtoto analelewa na Wazazi kisha jamii.
Jamii ya rushwa huzalisha viongozi wala Rushwa. Wananchi hatuna kisingizio, hapa wote tunahusika.

Mwananchi wa Leo ndio kiongozi wa kesho. Kiongozi wa Leo ni mwananchi wa kesho.
Yes wananchi siwaweki kando kweny hili, but mfano uanzie juu, hata nyumban mfano hauwez anzia kwa mtoto ili mzaz aufuate!!
 
Back
Top Bottom