Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
RPC wa mkoa gani mkuuBaba yake ni RPC.. ngoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RPC wa mkoa gani mkuuBaba yake ni RPC.. ngoja tuone
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA
Wanamuongezea kura za huruma hapo pasina kujua!!Inawezekana wakamuongezea umaarufu zaidi kwa wapiga kura wake wa Ifakara
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Is not a criminalNabii shilla is not a crime
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA
Kizungu bana daahNabii shilla is not a crime
MaraRPC wa mkoa gani mkuu
Na inatikisika mwili mzimaBilionea Shila ameanza kutikisa dola
Mara
Ubinafsi na umimi hautawafikisha popoteHuyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
Wewe kweli zuchu.......... sasa hapo magu kausikaje????Magufuli ebu muachie Mara moja mtumishi wa Mungu
Anamtikisa baba ake uko kwao na wewe kiwete wa mawazo................ngoja tra watupe mrejesho kama analipa kodi kwanza........Bilionea Shila ameanza kutikisa dola
Shilla ana miaka 23 anamiliki gari 28 wewe una nini buku saba Lumumba.Anamtikisa baba ake uko kwao na wewe kiwete wa mawazo................ngoja tra watupe mrejesho kama analipa kodi kwanza........
Hata katiba ya chadema hairuhusu mtia nia kufanya makekeHii ndio Tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema.