Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza sasa kabla nyota haijazimaI enjoy what I do , hopefully one day nitafanya iwe kazi yangu kabisa ya kuniingizia kipato, I hope mtani support wanazengo
Hii comment imenichekesha!😃😃Hivi kwanini wa afrika wengi huwa ni washamba sana
Hivi kwanini wa afrika wengi huwa ni washamba sana
Hii comment imenichekesha![emoji2][emoji2]
Waafrika wengi huwa tukifanikiwa kidogo tu huwa tunakuwa na show off/life style za kishamba sana kwangu Mimi hii huwa natafsiri Kama muhusika ana roho ya kimaskini tu japo amefanikiwa kwenye maishawashamba kiaje
Mmh unataka kutupiga nini[emoji23][emoji23][emoji23]Jaman c mnanitumia mwakilishi wake niwapelekee Tanzania , wanazengo na nyie mxieew zenu
Jiwe au??!!??...mijitu kama ile haifagi haraka,sijui kwa nini🏃🏃🏃Dingi yake jesker
Lakini ukiwa tajiri unakula vizuri,yaani kuna vitu tajiri anafaidi ambavyo sisi makapuku hatuwezi kuvipata,kusukuma yale madude kama vile ferrari,rolls royce,n.k unaambiwa jamaa kwenye ndinga yake alikuwa na watoto wakaliKila siku nawaambia, narudia tena utajiri ni kile ulichokula, jamaa kama amepewa fursa ya kuangalia duniani atakuwa anasikitika ameacha hela nyingi!!?
Ushindwe na ulegee...yaani mimi nidanje hata L.A sijakanyaga!!!!...nehiiii
Sawa kabisa na utajiri wake ndio huo aliokula ndinga alizoendesha......Lakini ukiwa tajiri unakula vizuri,yaani kuna vitu tajiri anafaidi ambavyo sisi makapuku hatuwezi kuvipata,kusukuma yale madude kama vile ferrari,rolls royce,n.k unaambiwa jamaa kwenye ndinga yake alikuwa na watoto wakali
Anza sasa kabla nyota haijazima
We kwa umbeaaa nakutunuuku PhD ya umbeaHilo nalo neno , kabla sijawa zilipendwa[emoji16][emoji16]
Ila uzuri umbea kila siku ni Mpya na watu wanapenda umbea so ni vigumu kuchuja, I know what my people want , huu mwaka wa 7 sasa humu JF na sijawah kuchuja na nimekua ON and OFF mda mrefu ila nikirud kiti changu bado hakuna wa kukikalia
Babu sio ushamba sema tu ndo washakukera,,Akina CR7, ni wazungu, D Beckham,akina zlatan na wenzake,Roman abromovic ulishaga mfuatilia,...ukishapata pesa matumiz yake lazima maskini tukereke tu,Akina drake wanalaliza mattress ya zaidi ya mil.900,hujawaona hao..Waafrika wengi huwa tukifanikiwa kidogo tu huwa tunakuwa na show off/life style za kishamba sana kwangu Mimi hii huwa natafsiri Kama muhusika ana roho ya kimaskini tu japo amefanikiwa kwenye maisha
Watu Kama hao akina late hapo, Mayweather, hushypupi na waafrika wengine wengi waliofanikiwa sana ni sign ya akili ndogo ya mwafrika
Mtindo wa maisha ya hawa watu ndiyo chanzo kikubwa cha utajiri wao kutodumu au maisha yao kuwa mafupi
Hivi unaelewa kingereza ww......Kwataarifa huyu jamaa yako ni Malawi ni mwizi alitorokea Zimbambwe wakati walitaka kumkamata police...kibaka hatari.
![]()
Cashgate fugutive Limumba dies with Zimbabwe socialite Ginimbi in fiery Rolls Royce crash - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi
Malawi breaking news publishing 24 hours a day news about Malawi, Malawi Business, Malawi Tourism, Malawi Politics, Malawi Newswww.nyasatimes.com
Alikuwa hana mkee wala watoto ...Na mamaake kafariki miezi mine iliopitaNi matumaini yangu atakuwa ameacha mke & watoto
Hivi unaelewa kingereza ww......
ww kweli kiazi muwe mnasoma na kuelewa kwanza kabla ya ku comment utopolo....
aliyetoroka Malawi ni Limumba Karim sio Kidungule!!!?
Nimeshangaa sana kuona gari ya bei mbaya imeungua kama ubua.Najuaga labda hizo gari zina mekanism ya kujizima hata ajali za moto zinapotokea kumbe hamna kitu !!????Dah hiyo Rolls Royce haitamaniki
Alisha waambia nduguze akifa jumba lake libaki kama makumbusho......View attachment 1622145
Dah atayerith hiz mali atafaidi