Very bad!Dah Mathias Manga alkua mtu poa sana This is sad news...mmiliki wa Gold Crest. Dah.RIP
Pole sanaDah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Loh! Nimetoka kapa.Kumbe siyo shaba ni indian
Kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha MagufuliHuko Arusha Moshi mbona kama kuna vifo vingi sana.
We mabilionea wa Chuga huwajui. Kuwa mpole. Pambana na ulasi hapo vilabu vya mlandege ukalaleNdio nani huyu bwashee?
RIP
kwa hapa moshi mimi nimehudhuria misiba saba ndani ya wiki tatu kwa ufupi karibia kila mtu amefiwa na mtu wa jamii,ila vifo vingi ni vya wazee 60+Wandugu msichanganye mambo,hao wanaotajwa ni watu maarufu,je mnatakwimu gani za vifo vya watanzania kwa nchi nzima?!
Naona watu wa Moshi/Arusha wanaongelewa sana.
Tutafakari mambo kwa upana kabla hatujaandika.
VP lile jengo lake pale Sakina karibu na 7up alishamaliza Ujenzi??Dah Mathias Manga alkua mtu poa sana This is sad news...mmiliki wa Gold Crest. Dah.RIP
Manyire ndio wapi hapa tzDah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
ArushaManyire ndio wapi hapa tz
Ujue hii nchi machizi ni wengi sana. Wanaandika tu wanavyotaka bila kushirikisha akili.Wandugu msichanganye mambo,hao wanaotajwa ni watu maarufu,je mnatakwimu gani za vifo vya watanzania kwa nchi nzima?!
Naona watu wa Moshi/Arusha wanaongelewa sana.
Tutafakari mambo kwa upana kabla hatujaandika.
Delta is fucking ..... day and night all four ways moth.erfuckerImeniuma sana
Acha uwoga dogo life is for the leaving chakata mbususu mpaka itoe maji......Ndo njia yetu sote tutapitia. Nikikumbuka kifo kasi ya Mbususu na kutafuta hela inapungua