TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.

Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.

Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu msichanganye mambo,hao wanaotajwa ni watu maarufu,je mnatakwimu gani za vifo vya watanzania kwa nchi nzima?!

Naona watu wa Moshi/Arusha wanaongelewa sana.
Tutafakari mambo kwa upana kabla hatujaandika.
 
Wandugu msichanganye mambo,hao wanaotajwa ni watu maarufu,je mnatakwimu gani za vifo vya watanzania kwa nchi nzima?!

Naona watu wa Moshi/Arusha wanaongelewa sana.
Tutafakari mambo kwa upana kabla hatujaandika.
kwa hapa moshi mimi nimehudhuria misiba saba ndani ya wiki tatu kwa ufupi karibia kila mtu amefiwa na mtu wa jamii,ila vifo vingi ni vya wazee 60+
 
Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.

Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.

Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Manyire ndio wapi hapa tz
 
Mungu awafariji wote walioguswa na msiba huu

Pumzika Mathias
 
Back
Top Bottom