Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?

unauza pombe, una kampuni ya kubet...

sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi

na unavitangaza kabisa

hii inakaaje?
Ameunguza maini ya vijana wangapi

Salamu kwa mlevi ona vibopa wanakua matajir wewe unakunywa mataputapu afya yako ikikongoreka
 
nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?

unauza pombe, una kampuni ya kubet...

sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi

na unavitangaza kabisa

hii inakaaje?
Ameunguza maini ya vijana wangapi

Salamu kwa mlevi ona vibopa wanakua matajir wewe unakunywa mataputapu afya yako ikikongoreka
 
nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?

unauza pombe, una kampuni ya kubet...

sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi

na unavitangaza kabisa

hii inakaaje?
Mbaya ni ujambazi na mauaji lakini pombe zilikuwepo hata enzi za mababu zetu (mbege, rubisi, ulanzi, n.k)
 

Na Ferdinand Shayo, Manyara.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.

Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .

“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.

Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .

Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.

Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .




Huyu anatakiwa achangie sana kodi maana maini na figo zinazokufa bwcause of alcohol ni significant

Hii faida ni kubwa but kuna costs za dialysis nazo awe anachangia
 

Na Ferdinand Shayo, Manyara.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.

Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .

“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.

Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .

Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.

Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .




Ndege=Aeroplane
Helikopta(Edikopta🤔🥺)=Helicopter
 
nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?

unauza pombe, una kampuni ya kubet...

sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi

na unavitangaza kabisa

hii inakaaje?



Achana na mambo ya Dini

Tafuta ela, pata ela enjoy Maisha

Hakuna mtu alienda mbinguni akarudi
 
Back
Top Bottom