Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?

unauza pombe, una kampuni ya kubet...

sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi

na unavitangaza kabisa

hii inakaaje?

Kila kitu kina uraibu uamuzi ni wa mtumiaji. Kuna watu wana uraibu wa chakula, soda, mpira, ngono nk. Kama havunji sheria ya nchi hakuna tatizo.
 
Hongera zake. Ajali za helicopter ni common sana, kila la kheri kwake.
 
tutafute pesa kwa namna yoyote ni heshima umaskini haueshimiwi.
 
bilionea mkaanga maini ya vijana , ndio ujue kuwa mipombe inafakamiwa sana yaani jamaa kauza viroba sijui visungura hadi kanunua ndege na wateja wake wakubwa ni hawa hawa maafisa usafirishaji aka bodaboda. Mungu alisaidie sana taifa la Tanzania.
😂😂 Daaa!!!🙏🙏 Heshima kwako mkuu😂😂😂
 
hebu wekeni picha
Jamii ya vile vinywaji ukinywa unakunja uso kama umelamba ndimu.
1734593681176.png

//
1734593756241.png
 
Back
Top Bottom