mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ni mfano tu sidhani kama anayoKampuni yake ya kubeti inaitwaje
Nataka kuijua ili tuendelee kumchangiq mwanamanyara mwenzetu kuliko kupunwa na kanji Kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mfano tu sidhani kama anayoKampuni yake ya kubeti inaitwaje
Nataka kuijua ili tuendelee kumchangiq mwanamanyara mwenzetu kuliko kupunwa na kanji Kila siku
mihadarati ikishaingia kwenye mwili wako inasababisha utegemeziHalazimishwi mtu, it's possible labda hata mzalishaji akawa hanywi.
sasa mbona kutwa tunasema zinaangamiza vijana?Mbaya ni ujambazi na mauaji lakini pombe zilikuwepo hata enzi za mababu zetu (mbege, rubisi, ulanzi, n.k)
Africa tunatia aibuKwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Oooh kumbe changamshi ndo pombe nilikuwa sijaelewa!nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Hata kanisa katoliti linaruhusu pombe,..........pombe sio haramu,,hii Dunia ukiwa boya utapigwa kama ngomanawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Biblia inasema kunywa kwa kiasi,......W.H.O March 2024,walianza kusema pombe kiasi chochote kile ni hatari,------Uislam zaidi ya miaka 1000 ulisema Pombe ni haramukikawaida tunaambiwa mnywa pombe halazimishwi.
lakini matangazo ya pombe yamezagaa
wanatunga majina mazuri mazuri kama serengeti na rangi rangi zile kuvutia watu
halafu tunajua kabisa pombe inaleta uraibu, huwezi itumia kwa 'kiasi'
huoni siasa hapo?
yaani unamuambia mtu atumie kwa kiasi kitu ambacho kinaathiri mfumo wake wa fahamu na kufanya akose utulivu bila kuwa nacho?
kuna mtu ana maamuzi juu ya mfumo wake wa fahamu?
Huo uwanja upo Manyara mtaa ganiMkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Myie mna ushamba sana sasa hii nayo ni issue kweli?????????????????????????????????Na Ferdinand Shayo, Manyara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .
“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.
Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .
Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .
nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Aseeh inabidi tujifunze kwake na sio kuonyesha chuki juu yakeKabisa.
Pia vijana waige vitu Fulani Fulani kutoka kwake
Kabisa mkuu, tusimwangalie kwa jicho la husdaAseeh inabidi tujifunze kwake na sio kuonyesha chuki juu yake
vinywaji changamshi ndo vipi hivyo...?
hebu wekeni picha ya hivyo vinywaji..😅
Hii spirit inaonekana haifai hii.