Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Pamoja na kulipa kodi ila hela zake zinaonekana
Biashara ndio zinatakuwa ziwe hivyo
Ila kwa Africa ukisaidia tu upinzani basi unamalizwa
Sasa ajichanganye atoe hiyo chopper basi sifa zote zitakuwa hakuna ila ubaya
Helicopter hazina viwanja vya ndege bali ni Heliport hata yeye anaweza kutengeneza kwa vibali vya serikali
Hata akitaka juu ya nyumba
Biashara ndio zinatakuwa ziwe hivyo
Ila kwa Africa ukisaidia tu upinzani basi unamalizwa
Sasa ajichanganye atoe hiyo chopper basi sifa zote zitakuwa hakuna ila ubaya
Helicopter hazina viwanja vya ndege bali ni Heliport hata yeye anaweza kutengeneza kwa vibali vya serikali
Hata akitaka juu ya nyumba






