Kunywa kistaarabu mkuunawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Ameunguza maini ya vijana wangapinawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Ameunguza maini ya vijana wangapinawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Haijalishi, sumu ni sumuKunywa kistaarabu mkuu
Mbaya ni ujambazi na mauaji lakini pombe zilikuwepo hata enzi za mababu zetu (mbege, rubisi, ulanzi, n.k)nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Ana kinywaji kinaitwa Royal ginVinywaji changamshi ndio energy au sungura!
Anaweza kuwa mwananchiKwahiyo utopolo Sasa mnamiliki ndege kwa kutumia rangi siyo?
Kabisa 😃😃Abadilishe rangi. 😀
Huyu anatakiwa achangie sana kodi maana maini na figo zinazokufa bwcause of alcohol ni significantNa Ferdinand Shayo, Manyara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .
“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.
Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .
Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .
Ndege=AeroplaneNa Ferdinand Shayo, Manyara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .
“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.
Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .
Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .
nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Nyama nyekundu pia ni sumu unalijua hilo?Haijalishi, sumu ni sumu
Pombe visungura dabo kik type 😄vinywaji changamshi ndo vipi hivyo...?
hebu wekeni picha ya hivyo vinywaji..😅
Yeye ñdo inabidi apewe gawio toka kwa wàtu wanaofanya dialysis maana anawapekea wateja.Huyu anatakiwa achangie sana kodi maana maini na figo zinazokufa bwcause of alcohol ni significant
Hii faida ni kubwa but kuna costs za dialysis nazo awe anachangia
Ongeza nyama mkuu alimnyooshaje?Huyu ndo alimnyoosha Pauline Gekul kwenye Ile scandal ya kumuingizia chupa yule dogo aliekua anafanya kazi kwenye hotel yake