Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wazee wa ndumba tunaomba ushuhuda tafazaliNa Ferdinand Shayo, Manyara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .
“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.
Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .
Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .
huyu ndo anatengeneza duh! vile sio vyakunywa hakunaga vinywaji vya vile!Pombe visungura dabo kik type 😄
Vijana endeleeni kupuga gambe
Ova
Tunazungumzia pombe kali inayoharibu maini inavyomtajirisha mwamba hadi ananunua helikopta..bado kuna lile jumba lake la mamilioni 300 huko na gari kaliNyama nyekundu pia ni sumu unalijua hilo?
Kila kitu kina madhara yake, hakuna mtu aliyeshikiwa bunduki kununua hizo pombe, kama havunji sheria, biashara yake inaliingiza taifa pato kubwa sana.Tunazungumzia pombe kali inayoharibu maini inavyomtajirisha mwamba hadi ananunua helikopta..bado kuna lile jumba lake la mamilioni 300 huko na gari kali
Mzigo Kwa serikaliYeye ñdo inabidi apewe gawio toka kwa wàtu wanaofanya dialysis maana anawapekea wateja.
Hii ni rangi ya kinywaji chake cha strong na mimi ni wakala wake huku mkoani.Kwa rangi hii ya chombo cha usafiri atakuwa ni mwananchi lialia. Hongera zake.
Biashara ya pombe ndio inayoniweka mjini.nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Asante kwa ufafanuzi.Hii ni rangi ya kinywaji chake cha strong na mimi ni wakala wake huku mkoani.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Aseeh naona kila mmoja afanye kinachompa amanikikawaida tunaambiwa mnywa pombe halazimishwi.
lakini matangazo ya pombe yamezagaa
wanatunga majina mazuri mazuri kama serengeti na rangi rangi zile kuvutia watu
halafu tunajua kabisa pombe inaleta uraibu, huwezi itumia kwa 'kiasi'
huoni siasa hapo?
yaani unamuambia mtu atumie kwa kiasi kitu ambacho kinaathiri mfumo wake wa fahamu na kufanya akose utulivu bila kuwa nacho?
kuna mtu ana maamuzi juu ya mfumo wake wa fahamu?
Kwani kuna kijana yeyote alishikiwa fimbo anywe hizo pombe?Amemaliza maini ya vijana wangapi nchini hadi kununua hio helikopta..
huyu ni muuaji . Watanzania wengi wanakufa kwa kunywa pombe zake za buku 2Na Ferdinand Shayo, Manyara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambapo ametua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stedium akiwa ameambatana na familia yake.
Mulokozi anaingia miongoni mwa Watanzania wachache wanaomiliki ndege binafsi ambapo amesema kuwa kampuni yake imekua ikikua siku hadi siku na kuonyesha vitu vya tofauti .
“Hakuna Mtu alitegemea kuwa Manyara kunaweza kuwa na helkopta ni mambo mengi yanaanza, wafanyabiashara wengi wanajifunza, kila mtu anaruhusiwa kumiliki chombo hichi inawezekana” Anaeleza David Mulokozi.
Amesema kuwa ndege hiyo itasaidia katika utoaji wa huduma katika kampuni yake inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji changamshi.
Mulokozi ameiomba serikali ijenge kiwanja cha ndege ili ndege nyingi zaidi ziweze kutua mkoani Manyara .
Kwa upande wao wakazi wa mkoa wa Manyara waliofika na kushuhudia helkopta hiyo ikitua akiwemo Melkiori Enyasi anaelezea furaha yake baada ya kuona ndege binafsi ya kwanza ya mkazi wa mkoa wa Manyara ikitua katika ardhi nyumbani.
Enyasi amempongeza Mulokozi kwa kununua ndege binafsi itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi .
Kilevi chochote kimewekewa tahadhari kwamba kunywa kistaarabu.nawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Halazimishwi mtu, it's possible labda hata mzalishaji akawa hanywi.kikawaida tunaambiwa mnywa pombe halazimishwi.
lakini matangazo ya pombe yamezagaa
wanatunga majina mazuri mazuri kama serengeti na rangi rangi zile kuvutia watu
halafu tunajua kabisa pombe inaleta uraibu, huwezi itumia kwa 'kiasi'
huoni siasa hapo?
yaani unamuambia mtu atumie kwa kiasi kitu ambacho kinaathiri mfumo wake wa fahamu na kufanya akose utulivu bila kuwa nacho?
kuna mtu ana maamuzi juu ya mfumo wake wa fahamu?
Yeye hahusiki.huyu ni muuaji . Watanzania wengi wanakufa kwa kunywa pombe zake za buku 2
JogooVinywaji changamshi ndio energy au sungura!
Kampuni yake ya kubeti inaitwajenawaza mtu unawezaje kuwa na furaha huku hela zako unazipata kwa kudhuru watu?
unauza pombe, una kampuni ya kubet...
sawa hulazimishi mtu lakini hivyo vitu unavitengeneza kwa namna inayoleta uraibu ili upate pesa nyingi
na unavitangaza kabisa
hii inakaaje?
Kabisa.secretarybird zaidi sana hongera kwake.