Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

Pamoja na kulipa kodi ila hela zake zinaonekana
Biashara ndio zinatakuwa ziwe hivyo
Ila kwa Africa ukisaidia tu upinzani basi unamalizwa
Sasa ajichanganye atoe hiyo chopper basi sifa zote zitakuwa hakuna ila ubaya

Helicopter hazina viwanja vya ndege bali ni Heliport hata yeye anaweza kutengeneza kwa vibali vya serikali
Hata akitaka juu ya nyumba
 
Wazee wa ndumba tunaomba ushuhuda tafazali
 
Tunazungumzia pombe kali inayoharibu maini inavyomtajirisha mwamba hadi ananunua helikopta..bado kuna lile jumba lake la mamilioni 300 huko na gari kali
Kila kitu kina madhara yake, hakuna mtu aliyeshikiwa bunduki kununua hizo pombe, kama havunji sheria, biashara yake inaliingiza taifa pato kubwa sana.
 
bilionea mkaanga maini ya vijana , ndio ujue kuwa mipombe inafakamiwa sana yaani jamaa kauza viroba sijui visungura hadi kanunua ndege na wateja wake wakubwa ni hawa hawa maafisa usafirishaji aka bodaboda. Mungu alisaidie sana taifa la Tanzania.
 
Biashara ya pombe ndio inayoniweka mjini.
ACHANA NAYO KABISAAA

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Aseeh naona kila mmoja afanye kinachompa amani

Ikiwa anaona ni haki yake kufanya hivyo ni vizuri ikiwa sio ni vyema zaidi
Good luck
 
huyu ni muuaji . Watanzania wengi wanakufa kwa kunywa pombe zake za buku 2
 
Kilevi chochote kimewekewa tahadhari kwamba kunywa kistaarabu.

Hakuna mtu anaye tengeneza pombe kudhuru watu, Na mamlaka iidhinishe hiyo pombe.

Unaye jidhuru ni wewe mnywaji kwa kutozingatia kiwango sahihi. Au kunywa kupitiliza.
 
Halazimishwi mtu, it's possible labda hata mzalishaji akawa hanywi.
 
huyu ni muuaji . Watanzania wengi wanakufa kwa kunywa pombe zake za buku 2
Yeye hahusiki.

Kama mamlaka zime idhinisha uuzwaji wa hizo pombe zake, Basi yeye hana kosa.

Mwenye kosa ni hao wanao kunywa hizo pombe bila kuzingatia kiwango sahihi, kutokunywa kistaarabu au kunywa kupitiliza.
 
Kampuni yake ya kubeti inaitwaje
Nataka kuijua ili tuendelee kumchangiq mwanamanyara mwenzetu kuliko kupunwa na kanji Kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…