Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea

Halazimishwi mtu, it's possible labda hata mzalishaji akawa hanywi.
mihadarati ikishaingia kwenye mwili wako inasababisha utegemezi

inacheza na neurotransmitters

haulazimishwi lakini ipo wazi kwamba ukianza kutumia kutoka ni ngumu

umeelewa?

sasa huoni hapo kuna mkanganyiko?

sawa hulazimishwi, lakini huhitaji kulazimishwa ili uingie kweye uraibu!
 
Oooh kumbe changamshi ndo pombe nilikuwa sijaelewa!
 
Hata kanisa katoliti linaruhusu pombe,..........pombe sio haramu,,hii Dunia ukiwa boya utapigwa kama ngoma
 
Biblia inasema kunywa kwa kiasi,......W.H.O March 2024,walianza kusema pombe kiasi chochote kile ni hatari,------Uislam zaidi ya miaka 1000 ulisema Pombe ni haramu
uislam upo mbele ya muda
 
Myie mna ushamba sana sasa hii nayo ni issue kweli?????????????????????????????????
 

Dhambi ziko nyingi kuu.
Yeye amechagua hiyo dhambi.

Wengine wamechagua udhinifu.
Wengine malaya na wauza papuchi.
Wengine wadangaji.
Wengine waongo.
Wengine wezi,majambazi na matapeli.
Wengine wafitini, wanafiki na wambea.
Wengine dhulmati.
Wengine mashoga.

Yeye amechagua hiyo dhambi na ameweza kununua helicopter, haya sasa kazi kwenu wauza papuchi na wadangaji.

Hatupaswi kutenda dhambi bali tunapaswa kuishi vile mwenyezi MUNGU atakavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…