Bilionea Mulokozi anunua helikopta binafsi, atua Manyara, Wananchi wafika kumpokea


Kila kitu kina uraibu uamuzi ni wa mtumiaji. Kuna watu wana uraibu wa chakula, soda, mpira, ngono nk. Kama havunji sheria ya nchi hakuna tatizo.
 
Hongera zake. Ajali za helicopter ni common sana, kila la kheri kwake.
 
tutafute pesa kwa namna yoyote ni heshima umaskini haueshimiwi.
 
bilionea mkaanga maini ya vijana , ndio ujue kuwa mipombe inafakamiwa sana yaani jamaa kauza viroba sijui visungura hadi kanunua ndege na wateja wake wakubwa ni hawa hawa maafisa usafirishaji aka bodaboda. Mungu alisaidie sana taifa la Tanzania.
πŸ˜‚πŸ˜‚ Daaa!!!πŸ™πŸ™ Heshima kwako mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…