Bilionea mwingine kutoka jamii ya Kimasai aibuka nchini, ni mchimbaji wa Madini ya Rubi

Bilionea mwingine kutoka jamii ya Kimasai aibuka nchini, ni mchimbaji wa Madini ya Rubi

Tani tano bilion moja [emoji15][emoji15]
Hizo Zina it was ruby zoisite zinapatikana longido,mundarara zinauzwaga kwa kg
Kila mawe upande wa grade inakuwaga n bei yake kwa kg kna kg 1 =25000 mpaka 500000 inategemea na quality
Kwa hyo kwa tani moja Kufika bln ni kawaida

Ova
 

Attachments

  • IMG-20190914-WA0019.jpg
    IMG-20190914-WA0019.jpg
    63.5 KB · Views: 3
Hapo wamepasua mawe makubwa makubwa halafu unaanza kulichambua kwa kulivunja ndio ukutane na viruby vidogo gram 1 au 2....unaweza kutumia miezi kuchambua huo mzigo ni kazi ngumu
Tatizo ruby ya mundarara
Ndugu mtanzania mwezangu TANI TANO za RUBY walizitoa shimoni na Crane ama
Aisee kitoabu njoo mara moja utupe muongozo
Zinauzwaga kwa kg

Ova
 
Itabidi na mimi nibadili jina nijiite "KING LAIZER".

Hivi Marley Dollar na yeye si anachimba Ruby? Simsikii kabisa siku hizi.
 
Back
Top Bottom