Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Hapana nyie ndo mnaumwa ukristomophibia. Ushawishi kusikia Sisi tunatajana mkristo kafanya kile na kile.

Sisi siyo watu wa Show off. Ndo maana Hata makanisa yetu tumeyaficha kabisa. Ukiwa na Shida ulitafute. Na Hakuna anayekualika uje kusali.

Kanisa moja Takatifu la Mitume
Ulaya huko yananunuliwa kama njugu na kufanywa misikiti.

Waliwaletea Ukristo washajielewa kuwa waliwaletea uongo tu.
 
Ila uzuri dhambi nyingi zipo huo upande wenu uliokosa maadili, hadi wachungaji wenu wametamka wazi wazi makanisani
#Repost @wasafifm
——
Mahakama ya Mkoa Mahonda, Zanzibar imemhukumu mshtakiwa Juma Ramadhan Adam mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Mahonda Zanzibar kutumikia kifungo cha miaka 20 chuo cha Mafunzo (Gerezani) kwa kosa la kumuingilia mnyama (Ng'ombe).

Akisoma maelezo ya hukumu, Hakimu wa Mahkama hiyo Mheshimiwa Omar Mcha Hamza amesema Mahkama imejiridhisha na ushahidi uliotoleea Mahakamani ambao ulikua hauna chembe ya shaka ndani yake na kumtia hatiani mtuhumiwa kwa kosa hilo

Kesi hiyo ilifunguliwa Mahakamani tarehe 03 Novemba, 2022 na jumla ya mashahidi saba (7) walitoa ushahidi wao Mahakamani na hukumu kusomwa leo Julai 17, 2023

#WasafiDigital
 
Multiracial can Mix; Multicultural can Never Mix..., unless assimilated naturally and slowly (and not by force); Mambo kama haya ni chimbuko la fujo down the line...
 
Wajinga wa dini wamebaki Waafrica tu, watu wenye akili walishashtuka siku nyingi dini ni project za watu.

Kuna taasisi za kiislamu kazi yake ni Kujenga misikiti na kuchimba visima tu vya kuchambia, hawana muda na maswali ya afya wala elimu.
Usilete vichekesho, kuna anaeijuwa elimu zaidi ya Muislam? Kuna anaeijuwa afya zaidi ya Muislam?

Hayo maneno "elimu" na "afya" bila kuletewa na Waislam usingeyajuwa leo hii. Kumbuka hilo.

Vipi wewe ukienda chooni huchambi?
 
Usilete vichekesho, kuna anaeijuwa elimu zaidi ya Muislam? Kuna anaeijuwa afya zaidi ya Muislam?

Hayo maneno "elimu" na "afya" bila kuletewa na Waislam usingeyajuwa leo hii. Kumbuka hilo.

Vipi wewe ukienda chooni huchambi?
Health and education
 
Ulaya huko yananunuliwa kama njugu na kufanywa misikiti.

Waliwaletea Ukristo washajielewa kuwa waliwaletea uongo tu.
Mungu akunyime vyote lakini akupe akili.

Pale Uhuru street karibu na round about ya Msimbazi ukiwa unatokea West side to Congo street, palikuwa na kanisa la Assemblies of God upande wa kushoto miaka mingi, kwa sasa hilo kanisa halipo Tena kuna mafremu tu ya biashara kanisa liliuza jengo lake.

Tatizo la Uislamu ni dini iliyojaza watu ujinga na kushindwa kufanya calculation nzuri.

Leo wewe njoo kwangu na mpunga wa kutosha unataka kuigeuza Nyumbani yangu kuwa msikiti nakukaribisha hata leo Leteni pesa niwaachie jengo.

Labda nikupe tafsiri ya kanisa labda hujui, kanisa la kristo siyo majengo, hekalu ni mwili wa Mkristo na kanisani ni popote ndugu wanapokutana na kuongea neno la Mungu.
 
Mungu akunyime vyote lakini akupe akili.

Pale Uhuru street karibu na round about ya Msimbazi ukiwa unatokea West side to Congo street, palikuwa na kanisa la Assemblies of God upande wa kushoto miaka mingi, kwa sasa hilo kanisa halipo Tena kuna mafremu tu ya biashara kanisa liliuza jengo lake.

Tatizo la Uislamu ni dini iliyojaza watu ujinga na kushindwa kufanya calculation nzuri.

Leo wewe njoo kwangu na mpunga wa kutosha unataka kuigeuza Nyumbani yangu kuwa msikiti nakukaribisha hata leo Leteni pesa niwaachie jengo.

Labda nikupe tafsiri ya kanisa labda hujui, kanisa la kristo siyo majengo, hekalu ni mwili wa Mkristo na kanisani ni popote ndugu wanapokutana na kuongea neno la Mungu.
bahati nzuri hata neno "akili" usingelijuwa isingekuwa Waislam kukufundisha.

Tafuta lingine. Mpaka sasa 3-0. elimu, afya, akili.
 
Oh I see, you noiw prefer the dicussion to be in English? Very good. Read:

Hizi ni site za wajinga wenzako kama wewe, hakuna mtu wa kupoteza muda kusoma ujinga

Mwanazuoni au mwanataaluma yeyote hatambulishwi kwa dini yake.

Ukiona sehemu kuna utambulisho wa dini kwenye taaluma basi hiyo ni takataka tu.

Halafu hawa Wairan si ndio maadui zenu mnawaita Mashia?
 
Hizi ni site za wajinga wenzako kama wewe, hakuna mtu wa kupoteza muda kusoma ujinga

Mwanazuoni au mwanataaluma yeyote hatambulishwi kwa dini yake.

Ukiona sehemu kuna utambulisho wa dini kwenye taaluma basi hiyo ni takataka tu.

Halafu hawa Wairan si ndio maadui zenu mnawaita Mashia?
Kamtafute Avecena kwenye sites unazozijuwa wewe uje kusema ni nani huyo? Na kawacha athari ipi duniani hapa?

Ukimaliza huyom kamsome Mama wa Kiafrika Fatma Al Fikhri wa Fez Morocco, halafu uje kusema ni nani huyo na kaacha athari ipi duniani hapa?

Nakushangaa mpaka leo hujaiona nuru ya Uislam.
 
Kamtafute Avecena kwenye sites unazozijuwa wewe uje kusema ni nani huyo? Na kawacha athari ipi duniani hapa?

Ukimaliza huyom kamsome Mama wa Kiafrika Fatma Al Fikhri wa Fez Morocco, halafu uje kusema ni nani huyo na kaacha athari ipi duniani hapa?

Nakushangaa mpaka leo hujaiona nuru ya Uislam.
Nuru ililetwa na Mungu mwenyewe wakati anaiumba dunia.
Kamtafute Avecena kwenye sites unazozijuwa wewe uje kusema ni nani huyo? Na kawacha athari ipi duniani hapa?

Ukimaliza huyom kamsome Mama wa Kiafrika Fatma Al Fikhri wa Fez Morocco, halafu uje kusema ni nani huyo na kaacha athari ipi duniani hapa?

Nakushangaa mpaka leo hujaiona nuru ya Uislam.
Nusu ililetwa na Mungu mwenyewe wakati anaumba dunia.

Mwanzo 1:3​

Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
 
Wala hujakosea, tatizo wewe mpaka leo hujaiona hiyo nuru. Upo kizani.
Waliopo gizani ni wale wajinga wenzako majihadist wenzako wanaoamini kuna pepo yenye mito ya pombe na mabikira 72 ukiuwa watu.

Kama mnapenda pombe mje tunywe, sisi wenzenu tunazinywa hapahapa duniani na tunakula nguruwe.
 
Back
Top Bottom