Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Ma Shaa Allah, adhana itasikika mpaka piccadilly circus.

Kama umefika London, Uingereza utanielewa nasema nini.
Siku izi hadhana zimekatazwa kwy misikiti sehemu za wazungu. Kila mtu avae saaa imkumbushe muda wa hadhana au kila mtu aweke alarm kwy simu yake imkumbushe muda wa kusali apa
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Hujaisoma quran upo kutoa matusi na chuki zako yani hata huyo Yesu wa kwanye hiyo biblia unaemshabiakia wala humjui wala humfati we upo kama shabiki tu . Mukishakula bange zenu bc munajiona kilakitu mnakijua .haya tunafanya hivyo hivyo unavyosema wewe Yesu sio Issa kwa elimu yako , je huyo yesu wa kwenye biblia unamfata? Na kama unamfata je tendo gani unalofanya wewe kwenye ibada yako ambayo yesu alikua anafanya? Nataka majibu
 
Ili tuelewane nikubaliane na yote haya uliyoandika hapa.

Sasa swali langu waliofanya haya ni dini au ni watu individual?

Mbona Da Vinci hujamtambulisha kwa dini yake wala Newton?

Tukiwaita wajinga mtasema tunawatukana sasa tuwaite jina gani, matutusa?
Vyuo na vituo vya utafiti vilivyokuwa Spain na Baghdad vilijengwa na macaliphates in Islamic Golden Age vilikuwa chini ya usimamizi na ufadhili wao

Na hao wote wa kina al battan, Al Biruni ,Abuul Fath Al-Khazni walikuwa religious haswa tofauti na wa western kwanza wengi wao ni wakanaji mungu lakini hatusemi kuwa dini ndio imefanya hayo kwamaana yametoka kwenye Quran (sijui kama ulimaanisha hivi) ,lakini tunavyotaja Jamii ambazo zimechangia maendeleo ya kielimu ya Dunia basi waislamu ni miongon mwa Jamii iliyochangia pakubwa
 
Siku izi hadhana zimekatazwa kwy misikiti sehemu za wazungu. Kila mtu avae saaa imkumbushe muda wa hadhana au kila mtu aweke alarm kwy simu yake imkumbushe muda wa kusali apa
Kidogo kidogo, kama si leo kesho. Jinsi Uislam unavyokuwa Uingereza, sitoshangaa miaka michache ijayo kukawa na serikali yote ya Kiislam.
 
Kama mama yako ana
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Vyoliwa uroda na paulo
 

Attachments

  • FB_IMG_1689347940815.jpg
    FB_IMG_1689347940815.jpg
    25.1 KB · Views: 3
Ili tuelewane nikubaliane na yote haya uliyoandika hapa.

Sasa swali langu waliofanya haya ni dini au ni watu individual?

Mbona Da Vinci hujamtambulisha kwa dini yake wala Newton?

Tukiwaita wajinga mtasema tunawatukana sasa tuwaite jina gani, matutusa?
wana inferiority complex na kama ni dini mbona kwasasa hawavumbui chochote
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Your God killed man just for pulling out and ejaculating on the ground instead of impregnating his brother's widow.
Genesis 38: 8-10

But they never taught you that at church
 
Hata mimi ntakuchoma, hufai kuishi duniani. Hao waliowaletea makanisa wanayageuza kuwa night clubs huko Ulaya. Waislam wanajitahidi kuyaokowa wayarudishe kuwa nyumba za ibada, halafu wewe uanze kuyajenga tena huku kwetu? Si wazimu huo?
Walioniletea ukristo , Nao waliletewa ukristo kama ilivyokuwa kwangu mimi.
Unaweza kunitajia nabii au mtume mzungu aliye kwenye biblia?

Waislamu mnalishana ujinga na chuki
 
Ni jambo jema sana kuwafikishia watu imani yako au habari njema. Ndiyo lengo la dini kuwafikia na kuwapa faraja wenye uhitaji.
ila, Itakapotokea Imam wa hapo akaja kuwa shoga au Mwanamke na pembezoni mwa Msikiti pakazungukwa na groceries wasije wakaanza kulalamika kama tulivyoona Sweden.
Unapopeleka Imani au utamaduni/mfumo wa maisha yako kwa watu wengine basi sharti uwe tayari kwa lolote ikiwemo kuvifanyia ukarabati ili waweze kuvikubali na waweze kuendana navyo.

Kama wewe ni mwafrika, ukizaa na mwarabu, mzungu, mchina su asili tofauti zinapochangamana biologically tarajia Chotara.
Sidhani kama hawatoelewana kisa msikiti na pombe pembezoni.

Ukifika Kigogo mwisho kama unaelekea Kigogo Kwa bint Kahenga,mkono wa kulia Kuna makutano ya Barabara ya kuelekea Mburahati.

Pale kwenye makutano Kuna msikiti na bar maarufu inaitwa First In.

Sijawahi kusikia au Kuona wakigombana.
Huo msikitini na bar vipo pale muda mrefu.

Mshana Jr [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Cha kushangaza ndio watu wanaikimbilia iyo dini unayoisema..
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Mnaambiwa msile nguruwe wana minyoo wakiingia kwenye ubongo madhara yake ndio hayo unayoandika hapa na mada iliyoanzishwa tofauti sisi huyo yesu wenu mnae muona mungu sisi tunamuona nabii km walivyo manabii wengine hana maaja yoyote
 
We want to islamalized the Europe.
-Tunaingia Europe
-Tunazaliana sana
-Tukishakuwa wengi tunadai haki zetu
-Tunanunua makanisa yao na majengo yao tunageuza misikiti
-Tunaspread uislamu

Europe will be islamalized inshallah
Hilo sahau sababu kule katiba hazibadilishwi kama huku ndio maana kuoa wake 4 kule ni shida kwa waislam huo ni mfan moja wapo tu.

if you want to islamize the whole world then why not use proper means of transport.

Naona pia hujasoma vizuri mada yangu yaani hao waislam. wanazikimbia nakazia neno WANAZIKIMBIA Nchi zao za kiislam.
Sasa wewe unaniamhia ni wamishonari.


We want to islamalized the Europe.
-Tunaingia Europe
-Tunazaliana sana
-Tukishakuwa wengi tunadai haki zetu
-Tunanunua makanisa yao na majengo yao tunageuza misikiti
-Tunaspread uislamu

Europe will be islamalized inshallah
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.

Inahusika vip na mada [emoji23]yaani chuki mpk mnachanganyikiwa [emoji23][emoji23]
 
Inferiority complex. Why bilionea muiislam. Kwa Nini usiandike billionea peke yake.

Kwani kuandika muislam kakosea wapi?ila anagesema billionaire muislam kalipua jengo ungeanza kuuponda uislam [emoji3166]
 
Hiyo picha ndo ya bilionea anayejenga msikiti? Mbona kama shoga hivi!
 
Kwani kuandika muislam kakosea wapi?ila anagesema billionaire muislam kalipua jengo ungeanza kuuponda uislam [emoji3166]
No need. After All nyie Bado mnaeneza dini Sisi tulishatoka huko tunakula matunda
 
Back
Top Bottom