Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Trocadero Ilijengwa mwaka 1896, ni mojawapo ya majengo ya burudani maarufu zaidi ya London

Tajiri Asif Aziz anajenga msikiti huo wa gorofa tatu ndani ya jengo la Trocadero

Msikiti huo ambao utakuja kuitwa 'Piccadilly Prayer Space' utafunguliwa ndani ya miezi kadhaa.

Iakini upango huo umepata Wakosoaji kadhaa ndani na nje ya uislamu wamehoji ikiwa inafaa kujengwa msikiti katika eneo lililojaa baa za kuwenyea pombe, night clubs, na kumbi za mashoga ambazo zote haziendani na Uislamu na zinachukuliwa kama ni dhambi.

Bw Aziz mzaliwa wa Malawi, ambaye anamiliki utajili wa zaidi ya Pauni 2 bilioni na alinunua Trocadero kwa zaidi ya pauni milioni 220 mwaka 2005, anaanzisha msikiti huo kupitia ufadhiri wake wa Aziz Foundation.

Aziz Foundation ilisema msikiti huo utahudumia Waislamu wanaofanya kazi katika eneo hilo, pamoja na wale wanaotembelea London kama watalii

Msikiti huo takuwa na uwezo wa kubeba watu 390

Mapendekezo ya hapo awali yalikuwa kujenga msikiti wenye uwezo wa kubeba watu 1,000 lakini uliondolewa mnamo 2020 kufuatia upinzani kutoka kwa wakazi wa eneo hilo lakini Pia na vikundi vya Watu wenye mrengo wa kulia.
Cha upekee ni nini?maana London ina matajiri wengi kutoka urusi wmewekeza pesa ndefu saana,
Sasa huyo Islam kujenga msikiti London,cha upekee ni kipi?au kwa sababu Islam kapata nafasi ya kujenga msikiti ndani ya nchi ya kikristo?
 
Usilete vichekesho, kuna anaeijuwa elimu zaidi ya Muislam? Kuna anaeijuwa afya zaidi ya Muislam?

Hayo maneno "elimu" na "afya" bila kuletewa na Waislam usingeyajuwa leo hii. Kumbuka hilo.

Vipi wewe ukienda chooni huchambi?
Kwamba wewe na waislamu wenzio ndo mnajua elimu na mmeelimika.Elimu ipi?Hii ya mabikra 72?Kuna kipindi huwa nikiangalia unavyoboast kuhusu elimu nacheka sana.Sitaki kuongea sana ila ukiniletea masheikh kumi PhD holders wa elimu ya dunia mimi nitakuletea mapadre Elfu moja PhD holders kutoka shirika la.wabenedikti Tanzania
 
Hivi kumbe haujui waislamu ndio walionzisha universities (sio mdrasa ni chuo kikuu) na ndio tulikuwa mbele kielimu kwenye medicine tulikuwa na Abu Ali Ib NNn Sina knowledge yake bado unaendelea kutumika since the invention, kwenye physics wakina Al Biruni na Abuul Fath Al-Khazni tayari walishakwisha ichambua Density na kinetic energy kwenye vitabu vyao,

Hata uvumbuzi wa LAWS OF MOTION wa Isaac Newton sio kitu kipya kwenye ulimwengu WA kiislamu, LAWS zote tatu zlikuwepo kwenye vitabu vya uislamu Kabla yake ,Hata ugunduzi wa awali WA ndege ulianza Kwa kutengeneza flying machine Abbas Ibn Firnas ndio anayetambulika kama father of flying machine , lakin credit akaja kupewa Da Vinci

Bado sijagusa kwenye elimu ya anga we explored since since 7 century, mathematics kuna kina algebra, chemistry waislamu ndio wagunduzi wa vifaa upasuaji , optical pamoja na Idea ya ugunduzi wa camera ilianzia Kwa al-Haytham etc etc....etc

Wazungu ndio waliokuwa wanenda Spain na Baghdad kuchukua elimu kwa uislamu Kabla ya wacrusade na Mongolian kutufanyia uharibifu ,

Hata hayo majoho wanayoyavaa wakati WA kuhitimu chuo yametokana na mavazi ya kiarabu 'Robe'
Naturally waislam si wasomi wala wavumbuzi hata ile islamic golden age wavumbuzi wakubwa walikuwa ni wakristo waliolazimishwa kusilimu kuokoa maisha yao.Ushahidi upo na nature ya uvumbuzi na.teknolojia hata leo ina wenye nayo na hawajisifu
 
Ili tuelewane nikubaliane na yote haya uliyoandika hapa.

Sasa swali langu waliofanya haya ni dini au ni watu individual?

Mbona Da Vinci hujamtambulisha kwa dini yake wala Newton?

Tukiwaita wajinga mtasema tunawatukana sasa tuwaite jina gani, matutusa?
Inferiority complexities
 
We want to islamalized the Europe.
-Tunaingia Europe
-Tunazaliana sana
-Tukishakuwa wengi tunadai haki zetu
-Tunanunua makanisa yao na majengo yao tunageuza misikiti
-Tunaspread uislamu

Europe will be islamalized inshallah
Europe ikishakuwa islamized mnachukua credit za wasomi wazungu kusema.ni maendeleo ya uislamu.
 
Cha upekee ni nini?maana London ina matajiri wengi kutoka urusi wmewekeza pesa ndefu saana,
Sasa huyo Islam kujenga msikiti London,cha upekee ni kipi?au kwa sababu Islam kapata nafasi ya kujenga msikiti ndani ya nchi ya kikristo?
Marekani Warusi wako powerful kiuchumi na madeal, sasa ingekuwa ndio Waarabu hawa waislamu mbuzi wa kwa Mtoro kariakoo sijui ingekuwaje?
 
Tatizo nyie wakristo mnawachukia waislamu bure tu bila kujua dini yao kwa hakika. Unasikiliza media ambazo zinamilikwa na west ambazo agenda zao kubwa ni kuumaliza uislam na mengine mnaambiwa na viongozi wenu huko kwenye nyumba za ibada na nyinyi mnaamini tu bila kufanya utafiti.

Hebu chukua Quran usome mwenyewe uone kama hayo yanayosemwa ni kweli? utajikuta unajilaumu kwa kufuata mkumbo wa kuwachukia waislam bure tu. Nawasihi tumieni akili zenu ndugu zetu msifate mkumbo. Do your own research
Kabla ya kushauri Wakristo wasiwachukie waislamu hebu tupe tafsiri ya makafir ni watu gani kwenye Quran?

Ukijibu ukweli nitanunuwa kitabu cha Quran kesho nianze kusoma uislamu dini ya haki.
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Waislamu wapende na waheshimu pia Uwaombee sana , hawajui walifanyalo ni nini, hawajui ukweli hawajajifunza ukweli,!!!
I declare that all Christians must love all Muslims ....and respect them TUISHI NAO,,,,, WAISLAMU hawana shida na Mkristo Anaye wapenda na kuwaheshimu watamsikiliza
 
Naturally waislam si wasomi wala wavumbuzi hata ile islamic golden age wavumbuzi wakubwa walikuwa ni wakristo waliolazimishwa kusilimu kuokoa maisha yao.Ushahidi upo na nature ya uvumbuzi na.teknolojia hata leo ina wenye nayo na hawajisifu
Kabla sijajibu hoja yako Naomba kwanza nitajie hao wavumbuzi waliolazimishwa(as you claimed) , pengine sijui vizuri history or I have been brainwashed.
 
Tukitoka England tunaingia Italy [emoji634]
Lengo ni Islamization of Europe
 
Tukitoka England tunaingia Italy [emoji634]
ni Islamization of Europe
That will happen insha'Allah .

Uislamu ulikuwa powerful empire,ukaanguka sasa unainuka tena with unstoppable force.

Islamization of Europe will happen bila kujali wanapenda au hawapendi
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Hakuna anayebisha Kwa hilo ni kweli hawa ni Yesu wawili tofauti kabisa

Yesu anayehubiriwa kanisani
1) Mwana wa Mungu
2) Mungu
3) Alisurubiwa Hadi kufa msalabani
4) Alimtuma mtume anayeitwa Paulo
5) Alikuwa na dini ya kikristo

Yesu wa ndani ya Quran
1) Hana baba( mimba yake ni Kwa neno la Mungu kama mimba ya Isaka )
2) Ni mtoto wa Mariam
3)Alipewa utume na Mungu Kwa ajili ya Wana wa Israel tu
4) Alipewa na Mungu kitabu Cha Injili
5) Alihubiri Mungu ni mmoja na sio 3
6) Alikuwa anasali Kwa kumsujudua Mungu wake
7) Alikuwa Muislam
8) Hajafa Wala hajasurubiwa msalabani

Yani hao ni Yesu wawili tofauti kabisa bro waulizeni waroma huyo Yesu walimpata wapi Hadi wakakuleteeni nyinyi
Isije kuwa ni products ya 666
 
Mnasubiri mzaliane ulaya muwe wengi muanzishe vikundi vya Kigaidi kama cha kule Kibiti halafu muanze kuripua maghorofa ya watu huko ulaya Mkisilimisha watu kwa upanga.Hivi unaamini wazungu ni wajinga kiasi hicho?
Mmeshindwa kuislamize Tanganyika ambako ratio ni almost 50/50 mnafikiria ulaya?Jiulizeni kwa nini Tanganyika rate ya conversion to islam ni ndogo.
Namna pekee uislam unaenea kirahisi ni kwa upanga na si kwa mahubiri.
Hapa Tanganinyika mkinionesha muhubiri wa kiislam anayehubiri kwa kuvuta umati wa watu 300 uwanja wowote (ambaye haongelei ukristo au kurefer kitabu cha wakristo).Najiua
 
Back
Top Bottom