Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huna lolote wewe !Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.
Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
Sawa na hivi ndivyo nilivyo mimi.Huna lolote wewe !
una maana gani ?Huyu nabii ataishangaza CHADEMA
Sawa na hivi ndivyo nilivyo mimi.Huna lolote wewe !
Gwajima aliapa mwenyewe kwamba kazi yake ni bora kuliko ubungeKule Gwajima anapondwa kwa kutia nia akiwa kiongozi wa dini, huku kwa nabii watu cheko. Siasa hizi!!
CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania
View attachment 1498633View attachment 1498634View attachment 1498637
Mwanzo Lijuakali alipokuwa anaomba kazi za usafi kwenye maliwato ya CCM Lumumba huku akimwaga chozi sikumuelewa.
Lakini baada ya kujitokeza hadharani kwa huyu kamanda Shilla nimeelewa kwanini Lijuakali aliamua kuomba kazi ya usafi CCM.
Umeonaee ujue hapo swala sio kugombea swala ninani anagombea na anaiffect vipi kwenye jamii wanamuogopa Gwajima hawana loloteKule Gwajima anapondwa kwa kutia nia akiwa kiongozi wa dini, huku kwa nabii watu cheko. Siasa hizi!!
Chadema ina macho kuliko unavyodhani
Hana hata kabisa bado,anapanga sabsabaHuyu jamaa watamfungia kanisa lake,pana mwaka amewahi kutaka kusimamia kweli akaitwa ajieleze kwa nn asifutiwe usajili.
Eeh!View attachment 1498633View attachment 1498634View attachment 1498637
Mwanzo Lijuakali alipokuwa anaomba kazi za usafi kwenye maliwato ya CCM Lumumba huku akimwaga chozi sikumuelewa.
Lakini baada ya kujitokeza hadharani kwa huyu kamanda Shilla nimeelewa kwanini Lijuakali aliamua kuomba kazi ya usafi CCM.
Siasa ni kama indicator muda wowote hubadilika rangi. Kwa makaribisho yale pale kilosa wiki mbili zilizopita na ninachokishuhudia hapa Kilombero mchuano wa 2020 yeyote anaweza kuchukua kombe...
Morogoro is still Red and blue...
umeanza lini ubaguzi ?Eeh!
Why kilombelo na isiwe kwao singida?
Ila najua hayuko serious huyu ,kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyu shillah ni msanii msanii hivi, anawachora cdm!
Mimi si nzi wa kijani na wala haitokaa niwe upande huo lakini huyu shillah simkubali hata kidogo!
...anafuta umaarufu, hachelewi kubadilika ndani ya dakika 5 huyo!
Ni jamaa mmoja tu alimtamkia gombea ubunge, hajawahi kuwaza kugombea hapo kabla!
Ni kama mapadlock!
Acha kumchezea MUNGU, MUNGU Hana mipango na watu waovu
Kabisa mkuu MUNGU yupi awe na mawakala wa shetani (chadema)?Kabisa mkuu,watu kama nyie mliomfanyizia lissu.