BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
[emoji23][emoji23][emoji23] jambo usilolijua litakusumbuaHalafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
,umemaliza!Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.
Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.
Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.
Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
[emoji23][emoji23][emoji23] shares 100Demand&Supply ina rule kwny uuzaji wa hisa
Rostam alikua at 1st ana 35% percent ya tota shares,so alikua ni minor s/holder akauza akabakiza 17.5% alizozimalizia kuuza sasa.
So point ya msingi hapa ni kwamba rostam alikua anauza shares mil. 588 at per zinazo represent 17.5%,kitu ambacho lazima akitaka kuuza shars zake Major shareholder watazitaka fasta kuongeza % ya umiliki wa hisa kwny Co.
Nyie wananchi mnaouza hisa zenu sijui 100 au 500 mjiulize zina represent % ya total shares za Voda?Mngekua na shares za maana wala msingepata tabu kuuza,brokers wangewagombania wale commision ya maana.
Aaah wapi...!!NA YEYE ATARUDISHA BILIONS ZA CCM, NGOMA DROO HIYO...
Very intelligent..Wakati Vodacom inaingia Tanzania Rostam hakuwa mweka hazina wa Ccm wala kiongozi wa ngazi yeyote wa chama zaidi ya kuwa mbunge.
Wakti huo pia hisa zake zilikuwa chini ya 20% kabla ya kuwashawishi wenzake akina Noni kumuuzia hisa (maarifa ya biashara na kuona mbali). Kipindi hicho hakuna aliyekuwa anadhani biashara ya mitandao ya simu itakuwa kubwa kiasi hicho.
Mwaka 2013 akauza 17.2% ya hisa zake (maarifa ya biashara - biashara iko juu na hisa zina thamani kubwa sana na kusoma nyakati zinazokuja).
Hivi karibuni kauza nusu iliyobaki kwa 220 million Usd (maarifa ya biashara - ukweli kuwa soko la simu limekuwa na linaelekea kuwa gumu sana kwa sababu ya ushindani)
Nina hakika kama angekuwa na hisa za Safaricom Kenya (ambako imedhibiti soko) asingeuza hisa zake.
Tukubali tukatae, jamaa ana maarifa sana ya biashara. Bila kuwa na maarifa ya kutosha hata uwe mweka hazina wa vyama vyote huwezi kufanikiwa kibiashara kiasi hicho.
Stock market is a device to transfer money from the impatient to the patient ones-Warren BuffetKuna jamaa yangu alinunua hisa za vodacom kipindi wanauza mwaka juzi anasema hazijapanda bei hata sh. 1 mpaka leo.
Hii biashara ya hisa ina wenyewe.
Sio nguli?Hapo Tanzania na Magufuli wetu hatupati kitu, Rostam Aziz ni mkwepa kodi mahiri
Kama na wewe unamfahamu mtu anayetaka hisa za voda nenda nae kwa broker mkafanye transfer of ownership au uende na huyo mtu kwa broker umuelekeza hizo hisa zako amuzie huyo uliyempeleka.Bado sijaelewa mnunuzi akija sokoni anataka hisa milioni 100 lazima ziwe za Rostam tu au humu ndani haziwezi kuwemo hata Mia mbili za watu wengine? Ina maana Rostam alizipeleka sokoni kuwa nauza na huko sokoni Kuna hisa za watu wengine mnunuzi akija si ananunua hisa anazozikuta sokoni..Fafanua hapo je za Rostam ziliingia sokoni au hazikuingia?
Aactually mil 558 mil ni sehemu ya mwisho...total ni usd 220 milWengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.
Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.
Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.
Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
Mil 558 ni Total no. of shares na sio amount.Aactually mil 558 mil ni sehemu ya mwisho...total ni usd 220 mil
Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.
Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.
Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.
Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
Eeee msije anza kuomba omba bure anauza anaenda kula zake bata hukoooDuh kasanuka nn huyu mapema kaamua uza hisa zake au kuna kitu kinataka endelea hapo kati
Hahah Bora tu kufanya hivyo mkuu,biashara ya hisa ni ya matajiri mkuu mtu akiwa ungaunga mwana hio haimfai na ukiangalia soko letu la hisa sio active kiasi hicho.Aiseeee ngoja niendelee kulima mbogamboga naona zinalipa
Kweli aisee ndo philosoph ya Buffet hio.Stock market is a device to transfer money from the impatient to the patient ones-Warren Buffet
Mkuuu sasa hivi hiii nchi Kama una hisa uza mapema asikudanganye mtu uchumi unaporomoka acha hayo ya wanasiasa kuwa uchumi unakuwa ni uongo Hali sio nzuri hata biashara usiwekeze Tz kwa sasa utalia hao akina lostam ni wajanja alienunua yatamchweaDuh kasanuka nn huyu mapema kaamua uza hisa zake au kuna kitu kinataka endelea hapo kati
Huyo ni mjanja kwa sasa Hakuna mazingira Rafiki ya kibiashara, wawekezaji wanateketea hata hao wanaowekeza wapya watalia uchumi umekufa ila tu watu wanafanganyikaKuna shida mahali
Na kule kigamboni kauza share zake
Kabisa... ...Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?
Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.
Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
Ukoo wa maropeHuyo jamaa ni noma..
Kapiga bei fasta kabla kitumbua hakijaingia Mchanga..
Musiba aliwahi kusema Vodacom ni msaada wa Mandela kwa CCM , sasa sijui ni akina nani ndani ya CCM waliichomoa Vodacom ndani ya CCM kiaina..
Sasa hiyo ni Vodacom , vp kuhusu mali zingine za chama zilizokwapuliwa kiujanja ujanja...!