Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
[emoji23][emoji23][emoji23] jambo usilolijua litakusumbua
 
Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.

Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.

Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.

Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
,umemaliza!
 
Demand&Supply ina rule kwny uuzaji wa hisa

Rostam alikua at 1st ana 35% percent ya tota shares,so alikua ni minor s/holder akauza akabakiza 17.5% alizozimalizia kuuza sasa.

So point ya msingi hapa ni kwamba rostam alikua anauza shares mil. 588 at per zinazo represent 17.5%,kitu ambacho lazima akitaka kuuza shars zake Major shareholder watazitaka fasta kuongeza % ya umiliki wa hisa kwny Co.

Nyie wananchi mnaouza hisa zenu sijui 100 au 500 mjiulize zina represent % ya total shares za Voda?Mngekua na shares za maana wala msingepata tabu kuuza,brokers wangewagombania wale commision ya maana.
[emoji23][emoji23][emoji23] shares 100
 
Wakati Vodacom inaingia Tanzania Rostam hakuwa mweka hazina wa Ccm wala kiongozi wa ngazi yeyote wa chama zaidi ya kuwa mbunge.

Wakti huo pia hisa zake zilikuwa chini ya 20% kabla ya kuwashawishi wenzake akina Noni kumuuzia hisa (maarifa ya biashara na kuona mbali). Kipindi hicho hakuna aliyekuwa anadhani biashara ya mitandao ya simu itakuwa kubwa kiasi hicho.

Mwaka 2013 akauza 17.2% ya hisa zake (maarifa ya biashara - biashara iko juu na hisa zina thamani kubwa sana na kusoma nyakati zinazokuja).

Hivi karibuni kauza nusu iliyobaki kwa 220 million Usd (maarifa ya biashara - ukweli kuwa soko la simu limekuwa na linaelekea kuwa gumu sana kwa sababu ya ushindani)

Nina hakika kama angekuwa na hisa za Safaricom Kenya (ambako imedhibiti soko) asingeuza hisa zake.

Tukubali tukatae, jamaa ana maarifa sana ya biashara. Bila kuwa na maarifa ya kutosha hata uwe mweka hazina wa vyama vyote huwezi kufanikiwa kibiashara kiasi hicho.
Very intelligent..
 
Bado sijaelewa mnunuzi akija sokoni anataka hisa milioni 100 lazima ziwe za Rostam tu au humu ndani haziwezi kuwemo hata Mia mbili za watu wengine? Ina maana Rostam alizipeleka sokoni kuwa nauza na huko sokoni Kuna hisa za watu wengine mnunuzi akija si ananunua hisa anazozikuta sokoni..Fafanua hapo je za Rostam ziliingia sokoni au hazikuingia?
Kama na wewe unamfahamu mtu anayetaka hisa za voda nenda nae kwa broker mkafanye transfer of ownership au uende na huyo mtu kwa broker umuelekeza hizo hisa zako amuzie huyo uliyempeleka.
Kama umeacha hisa zako kwa broker unakaa kitako unasubiri broker akupigie simu hisa zako zimepata mteja utasubiri sana tena hisa zenyewe za vodacom zilizodorora sokoni
 
Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.

Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.

Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.

Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
Aactually mil 558 mil ni sehemu ya mwisho...total ni usd 220 mil
 
Aiseeee ngoja niendelee kulima mbogamboga naona zinalipa
Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.

Sasa mwenzenu ameuza hisa zake mil 588 ambazo zilikua ni 17.5% ya total shares, kwanini Major shareholders wasinunue fasta fasta ili waendelee kuongeza Controlling interests.

Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.

Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
 
Stock market is a device to transfer money from the impatient to the patient ones-Warren Buffet
Kweli aisee ndo philosoph ya Buffet hio.

Berkshire yenyewe mara ya mwisho ililipa dividend kwa wanahisa mwaka 1967 mpk leo hawatoi dividend ila wanafanya stock buyback ndo mwanahisa anapata pesa yake fresh tu.
 
Kashaonjeshwa..sasa anakimbia kunyweshwa....
February's.. huko ...hakukaliki... ... ... ..
Wapo shidani...
 
Duh kasanuka nn huyu mapema kaamua uza hisa zake au kuna kitu kinataka endelea hapo kati
Mkuuu sasa hivi hiii nchi Kama una hisa uza mapema asikudanganye mtu uchumi unaporomoka acha hayo ya wanasiasa kuwa uchumi unakuwa ni uongo Hali sio nzuri hata biashara usiwekeze Tz kwa sasa utalia hao akina lostam ni wajanja alienunua yatamchwea
 
Kuna shida mahali
Na kule kigamboni kauza share zake
Huyo ni mjanja kwa sasa Hakuna mazingira Rafiki ya kibiashara, wawekezaji wanateketea hata hao wanaowekeza wapya watalia uchumi umekufa ila tu watu wanafanganyika
 
Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?

Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.

Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
Kabisa... ...
 
Huyo jamaa ni noma..
Kapiga bei fasta kabla kitumbua hakijaingia Mchanga..
Musiba aliwahi kusema Vodacom ni msaada wa Mandela kwa CCM , sasa sijui ni akina nani ndani ya CCM waliichomoa Vodacom ndani ya CCM kiaina..
Sasa hiyo ni Vodacom , vp kuhusu mali zingine za chama zilizokwapuliwa kiujanja ujanja...!
Ukoo wa marope
 
Back
Top Bottom