Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Unajuaje wewe mgerasi jamaa ana maarifa ya biashara?
 
Hapo Tanzania na Magufuli wetu hatupati kitu, Rostam Aziz ni mkwepa kodi mahiri
Hapo Tanzania na Magufuli wetu hatupati kitu, Rostam Aziz ni mkwepa kodi mahiri

Fedha yake haipo Tanzania ; ipo offshore [ Jersey] Matajiri karibuni wote pengine JAH PEOPLE peke yake fedha yao imefichwa nje ya nchi!!! Mo ameficha huko DUBAI na ndio maana family yake imehamia huko; hapa kawabakizia SIMBA SPORTS club!!!
 
Pia alifaidika sana na EPA.
 
 
Huyu jamaa ni tajiri namba 1 Tz hakuna ubishi kwenye hilo!!
Nadhani baada ya Vodacom kulazimishwa kuuza hisa zake kwa wananchi nadhani kimepalekea sakata hili.
 
Wale walionunua hisa huko itakuaje
 
Wataalanu wa hisa tusaidieni hisa za Rostam zimeuzika vipi hisa za wengine mbona haziuziki?
 
Kuna jamaa yangu alinunua hisa za vodacom kipindi wanauza mwaka juzi anasema hazijapanda bei hata sh. 1 mpaka leo.
Hii biashara ya hisa ina wenyewe.
 
Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
 
Yanga hoyeeeee!
 
Naomba wasalimie ndugu hapo Nkasi mutu yangu
 
Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
haha...mkuu, thamani ya hisa za rostam si umeziona?? hizo unazosema haziuziki ni za shi ngapi kwani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…