Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Asante sana Mkuu, kweli yote yana mwishoNilitaka niseme kuna watu wanaviogopa vichwa vyenye "exposure ", lakini nimeamua kutokusema.
Pole sana mkuu! Poleni sana!
Hizo fikra "mgando" za enzi za ujamaa zitafika mwisho tu.
. Bado tuna ile roho mbaya, kwamba maskini naye ateseke kidogo.Hapa bongo kuna msemo "Matajiri hufa na mali zao" kwa sababu ya tabia za kihusda za matajiri. Naomba nieleweke siwachukii matajiri na siuchukii utajiri ila asili ya uchu na ubinafsi " greed and selfish ness attached to ego" ni janga la Dunia.
🙏Asante sana Mkuu, kweli yote yana mwisho
😄😄😄, hutaki mizizi ya sangoma ya kuoga kutwa mara tatu.Nazungumzia grandlodges za ma master mkuu,sio sangoma wa huku wa masharti uchwara!!
Wanaenda uza nafsi zao ili waangaziwe life lao!!
"Katika Kila utajiri Kuna kafara nyuma yake"The Bold
Huku Africa zitachukuliwa na wenye mamlaka, bora zibaki kwa maskini wa huko ulaya.Kwani hana mke, watoto na ndugu wa kugawiwa hizo mali mpaka atake zitapanywe akifa? Kama vipi atafute nchi moja afrika iliyo masikini na wale masikini kabisa hohahe wagawiwe huo utajiri wake.
Huo ujinga na utumwa ambao mwisho was siku unaishia kupata Hela ya kula na kusomesha watoto na kagari kakuzugia madem halafu Bas!!😄😄😄, hutaki mizizi ya sangoma ya kuoga kutwa mara tatu.
Ni wewe tu ndo humfatilii huyo mzee Ila anatoaga elimu nyingi sanaa juu ya masuala ya fedha na uwekezaji kuna vitabu vingi sana vimeandikwa kuhusu mbinu zake za uwekezaji,,, Watu mnawazaga vitu Negative tu dadekiiiiiiUsilolijua ni usiku wa giza...
Swali la kujiuliza ni masikini ni nani? Anahitaji nini hasa?...Je kuwapa masikini mali ni kuwapa uwezo endelevu?.
Anayekupa samaki na hakufundishi anavyovua hao samaki sidhani kama ana nia ya dhati ya kukupa msaada endelevu "sustainable support"
Usiwafundishe wanao uongo uleule uliofundushwa.
🤣 na mama yakeTukiongozwa na Waziri mwenye dhamana... 😐😐
Sawa MkuuNi wewe tu ndo humfatilii huyo mzee Ila anatoaga elimu nyingi sanaa juu ya masuala ya fedha na uwekezaji kuna vitabu vingi sana vimeandikwa kuhusu mbinu zake za uwekezaji,,, Watu mnawazaga vitu Negative tu dadekiiiiii
mbuyu unapoanguka tofauti na mchicha.hana lolote anatafuta attention kwenye media kwanza mjitoaji wa kweli hasemagi
Wewe zako umagawa. Ni rahisi sana kuhukumu kuliko kujitathmini. Alichofanya huyu ni jambo la heri.Akifa atakuwa hana thamani nazo ndo maana anataka zitoke, angekuwa mtoaji kweli angetoa 50% sasa hivi badala 99% akifa
Hakuna mirathi bila kifo. Elewa hilo.Kwanini asiwape mwenyewe kabla hajafa?
Ni unafiki tu..kwann asiwape sasa hivi
Kwa hiyo watoto wa huko Somalia waendelee kufa hadi yeye akifa .wakat anaweza okoa mamilion ya uhai ambayo atapoenda kwa Mola wake kila mmoja anathaman sawa na yy
ANaogopa kushuka daraja...
ANaogopa kushuka daraja...
Hakuna mirathi bila kifo.Kwanini urithi?
Kwanini atoe akifa...
Atoe sasa akiwa hai, sehemu fulani kwa hao wahitaji...
Kwa tunaoamini Mungu, tumeambiwa tutoe sadaka kwa wahitaji...
Ikiwa na maana tukiwa hai sio wafu...
Watoto Somalia ana wauwa Buffet au sijaelewa anahusiakajeKwa hiyo watoto wa huko Somalia waendelee kufa hadi yeye akifa .wakat anaweza okoa mamilion ya uhai ambayo atapoenda kwa Mola wake kila mmoja anathaman sawa na yy
Labda hana Watoto au Watoto wake nao Wana Utajiri.Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023
Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.
Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.
Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴
Chanzo: Fortune Magazine.
Mpaka unafikiria kugawa Mali kwa maskini maana wewe sio masikini kabisa. Hapa kwetu badamu batamwagika maana hata kama baba ana billion 100 jua mtoto bado anategemea ufadhili wa baba ili kujiendesha.Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023
Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.
Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.
Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴
Chanzo: Fortune Magazine.
Watoto wake wanajiweza kawapa elimu bora, malezi bora michongo safi hivyo anajua wanaweza jitaftia ndio maana kaamua mali zake wale wengine akifa.Akifa atakuwa hana thamani nazo ndo maana anataka zitoke, angekuwa mtoaji kweli angetoa 50% sasa hivi badala 99% akifa