Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Kwani kula nyama ya kondoo wa New Zeland lazima uwe unaishi hapo hap New Zeland, wengine mnadhani kula zabibu lazima uwe kwenye shamba 😄Mkuu kumbe huko Newzealand? Itakuwa tu unaishi Christchurch kwa maforeigners wengi. Wellington ni ngumu kumkuta mmatumbi.
Kumbe ulikoswaKoswa kupigwa risasi msikitini na yule right wing?
Matajiri wanaojielewa hawana machawaJamaa hana machawa
Maana watu kama giesm wana machawa kibao
Ova
Mlaumu Baba yako kuwa masikiniSasa huyu ndo tajiri sasa.
Akina Azam, Mo na wengine ni majizi tu. Wana utajiri mkubwa sana lakini hawalipi kodi
Ngozi nyeusi sijui tuna tatizo ganiHata Zanzibar pia si unaona biashara za Azam na Yule Turky bado zinapeta?
Pombe haiangamizi mtu ni ulaku wa mtu kunywa za msererekoL
Vijana wangapi wanaangamia kwa hizo pombe?
Mlaumu Baba yako kutokuachia urithi au kutokuwa na pesaTuanze kupongezana urithi kweli, tuwe serious
Uadilifu wake umetugharimu familiaMlaumu Baba yako kuwa masikini
WalterMkurugenzi wa michezo yanga ni mchaga Wala hawako mbali na mpira kasoma nadhani Mwika kama sikosei ila jina ndio limenitoka
Sio huyu ? Kampuni inayotengeneza banana inaitwaje ?Uongo, Mmiliki wa banana Ni Olomi.
Lakini bado huyo jamaa hamfikii hata nusu GSMJamaa hana machawa
Maana watu kama giesm wana machawa kibao
Ova
Hakuwa mwadilifu bali boya, inakuwaje aajiriwe maisha yake yote?Uadilifu wake umetugharimu familia
privadinho ni wa mrere mashati wilaya ya RomboMwika Day?wow!
Kale katoto Privadino[shayo] najua ni mchaga wa Marangu hapo Ashira mitaa ya Babylon .
Siwezi kufuata mila za kiarabu.Kwani kula nyama ya kondoo wa New Zeland lazima uwe unaishi hapo hap New Zeland, wengine mnadhani kula zabibu lazima uwe kwenye shamba 😄
Nikiwambia ukristo ni ujinga hamuamini , we hebu soma Qur'an mdaa wa week moja tu, utapata raha kwenye iman yako, ukristo ni kukosa iman we huoni mnafurahi mkiona vitoto vya Gaza vimekufaa hizo ni iman za kishetani.
Kwani kula nyama ya kondoo wa New Zeland lazima uwe unaishi hapo hap New Zeland, wengine mnadhani kula zabibu lazima uwe kwenye shamba 😄
Nikiwambia ukristo ni ujinga hamuamini , we hebu soma Qur'an mdaa wa week moja tu, utapata raha kwenye iman yako, ukristo ni kukosa iman we huoni mnafurahi mkiona vitoto vya Gaza vimekufaa hizo ni iman za kishetani.
Amerekodi video fupi na amewapa wana kateshi pole nyingi sana, na kaomba viongozi wa dini wawaombeeUchawa ndo mpango. Ona Mwenezi anafyonza taratiibu bila jasho. land cruiser LC 300 Hana stress.. BTW Anaingia lini Katesh
Lowasa sio mchagaSema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana
Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn