Bilioni 11 za Rais Samia zamtetemesha RC Shinyanga, afanya maamuzi magumu

Bilioni 11 za Rais Samia zamtetemesha RC Shinyanga, afanya maamuzi magumu

Hana fedha za kugawa kwa wananchi msilazumishe kufurahisha nafsi zenu.
Rais ni taasisi siyo mtu; wacha kucomplicate vitu vidogo. Ni sahihi tu kusema Rais Samia ametoa bilioni 11.

Kwanj wewe hujui fedha hizo kuwa ni za umma? Unaumiaje ikisemwa kuwa Rais ametoa fedha? Huyo ni Rais wa Watanzania anawakilisha watanzania.
 
Rais ni taasisi na ndiye anayeunda serikali; amechaguliwa na wananchi anaongea na kutenda kwa niaba ya wananchi kwa hiyo tukisema Rais Samia ametoa fedha ni sahihi tu kwa kuwa hatuzungumzi Rais kama mtu binafsi bali ni taasisi.
Ufafanuzi mzuri sana huu,
 
Rais ni taasisi siyo mtu; wacha kucomplicate vitu vidogo. Ni sahihi tu kusema Rais Samia ametoa bilioni 11.

Kwanj wewe hujui fedha hizo kuwa ni za umma? Unaumiaje ikisemwa kuwa Rais ametoa fedha? Huyo ni Rais wa Watanzania anawakilisha watanzania.
Tuliza kidonda hizo fedha ni mali ya watanzania kwanini isiwe serikali imetoa fedha?
 
Ile Obama Care vipi?
It was just a name for the program, sasa huku kilae hela ikirudi kwa wananchi (kodi zetu) ,ooh ametoa mama samia,basi huyo mama ni tajiri.
Ila sasa watuambie hela ya serikali itaanza tumika lini,maana anatumia zake.
 
Wanasiasa wanaumiza sana watalaam wetu.
Wakati wa ukaguzi RC hatajibu chochote ataishia kusema watalaam wangu jibuni hoja za ukaguzi... Wakati mambo yalishafanyika kwa maelekezo yake.
 
It was just a name for the program, sasa huku kilae hela ikirudi kwa wananchi (kodi zetu) ,ooh ametoa mama samia,basi huyo mama ni tajiri.
Ila sasa watuambie hela ya serikali itaanza tumika lini,maana anatumia zake.
Kwani kwa Samia is not Just a name?

Daaah nchi ngumu sana hii
 
It was just a name for the program, sasa huku kilae hela ikirudi kwa wananchi (kodi zetu) ,ooh ametoa mama samia,basi huyo mama ni tajiri.
Ila sasa watuambie hela ya serikali itaanza tumika lini,maana anatumia zake.
Kwani kwa Samia is not Just a name?

Daaah nchi ngumu sana hii
Pitia hii michango itakusaidia mkuu
 
Kwani kwa Samia is not Just a name?

Daaah nchi ngumu sana hii
Ngumu wapi mkuu, utakuta kamradi kadogo tu" Mama samia kawapa hizi fedha"
Ile ilikua jina la hio program,ni sawa na avoweka fedha kwenye michuano ya mabinti cecafa ,huko waongee hivo.

Sawa wewe uko sahihi .
 
Hizo fedha siyo za rais Samia !

Hizo fedha ni za watanzania rais hana fedha hapa nchini.

Fedha zake ni zile za mshahara wake muache kupotosha watu kwa makusudi.

Kama zimekopwa basi zitalipwa kwa kodi za watanzania na kama zimetolewa kama zawadi basi zimetolewa kwa jina la JMT.

Leo umeandika vzr Na umedadavua kwa kina Mmawia, kudos
 
Back
Top Bottom