Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
- Thread starter
- #61
😍😍 iendelee wakati woteKazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😍 iendelee wakati woteKazi iendelee
Kiki kwa pikipiki.
Hii kanuni zote lazimaziabide na muda wa mradi, Mengine ni usaliti tuHuyo mama si tu hana busara lakini atashindwa kazi sababu za Utawala Bora.
Uendeshaji wa serikali si kwa matamshi ya wanasiasa bali Govt standing orders ambazo haziwezi kukiukwa.
Ngoja CAG aje na aone uozo wa kutoa kazi na ndio tutajua mbivu na mbichi.
😍😍factsUtawala bora ni Upi?
Watoto wasiende shule kwa wakati?
Fact, Mama huyu nimemuona anavyotetemeka, Anayo ownership 😍😍Huyu mama Sophia Mjema ni kiongozi nzuri sana, na anajielewa, nina uhakika atasimamia hilo zoezi kwa weledi mkubwa
Porojo zako hazieleweki, Rais ni taasisi fahamu hiliHizo fedha siyo za rais Samia !
Hizo fedha ni za watanzania rais hana fedha hapa nchini.
Fedha zake ni zile za mshahara wake muache kupotosha watu kwa makusudi.
Kama zimekopwa basi zitalipwa kwa kodi za watanzania na kama zimetolewa kama zawadi basi zimetolewa kwa jina la JMT.
Zitto siasa zimemshinda aise
Endelea kujifariji tu mkuu ila ndio hivyo tunataka shule watoto wetu waende shule,Hakuna usmart hapo taratibu za manunuzi ni za kisheria na hana Mamlaka ya kumtoa hapo kaongea tu hakuna mtendaji watakeyeandika barua kumsimamisha huyo mtumishi, wanasiasa wanapenda kuhemka tuu wakiona kamera
Tatizo muda mkuu wangu, Tunataka madarasa sio proceduresMkuu laid down procedures za uendeshaji nchi ni pamoja na kugawa kazi kwa haki, na kulipa kwa haki, n bado kusudi lililo tazamiwa litekelezwe.
Hapo ni project planning na execution.
Soyo kwenda tu kununua sementi kwa Mangi.
Urasimu unaufahamu mkuu?Hata kama ni dharura ni lazima watu wa procurements wafuate procurement procedures, hivi muende tuu kununua simenti, mabati, nondo etc kama unajenga nyumba yako si mtapigwa au hamuwajui vizuri maafisa manunuzi? Mfano kama hamjakubaliana kupata quotations ili muamue mtanunua kwa bei ipi si mtu ataenda kununua kwenye bei nafuu halafu makaratasi akaongeza cha juu?
😍😍Ni fedha za Rais Samia au ni mkopo kwa watanzania ambao sote tutaulipa baadae!
Hoja imezeeka sana hii hana mkongojo haiwezi kushikaHuu pia ni ujinga, yaani jengo kama linatakiwa lijengwe miezi miwili nyie mtalazimisha eti kwa sababu ya deadline ya shule? Kama issue ni deadline ya kufungua shule je hilo mlikuwa hamlijui?
Hizi taratibu ni zipi? Hebu taja mbiliAseme ss walipakodi tumetoa pesa sio mtu mwingine na hakikishe taratibu zinafuaatwa ktk matumizi ya hz kodi zetu cku CAG akikagua na akabaini upotevu wa kodi zetu tutazidai sana kama tunavyodai katiba mpya na tume huru ya uchaguz
😍😍Ujenzi unakanuni zake.
Last week RC songwe aliagiza ndani ya siku 7daraja liwe limekamilika
Nimwambie tu hizo shule wananchi nao wanachangia kujenga usijidanganye kuwa ni serikali inajenga kwa 100%Endelea kujifariji tu mkuu ila ndio hivyo tunataka shule watoto wetu waende shule,
😍😍Ushauri wa kitotoNdugu yangu vita hiyo huiwezi kwani ni ya kiakili na sio mabavu.....hiyo kauli ndg ni 'figurative' tu hivyo ina maana tofauti na maana yako ya kimabavu. Relax tu ndg kwani haifutiki leo wakati wa samia (anayekufanya uichukie hiyo kauli) wala kesho wakati wa raisi mwingine..... utajiumiza bure na mwishowe kuambulia magonjwa tu kwani miaka minne au tisa ya samia ni mingi mno kwa mtu kuishi akiwa amefura (amekasirika).
Angalizo hiyo dharura isije ikaleta maafaa
😍😍Zito punguza nye ge...
Huyo afisa kaambiwa akae pembeni kwa uzembee...
Atawekwa mwingine.
Ila sijamuelewa kwanini mkurugenzi abaki salama.
Mizengwe ipo kwa wakurugenzi.
Anyway hizi pesa zitachomoka na wengi.
😍😍Wewe akili zako ni za kubumba mno.
Hapo nimeongelea taasisi na siyo mtu personal uwe unatumia angalau robo ya akili zako badala ya kurohoja tu kama mpiga zumari.😍😍