Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Yes wanapiga wanaweka kwenye Mabenki hulo viswa vya Mbali, then sisi tuko busy na Tanga na Simba, kwa kifupi tunapigwa sio kwa sababu ya viongozi wabovu bali kwa sababu ya Ujinga wa Watanzania
 
Tumeacha nchi ishikiliwe na genge la majizi na vibaraka wa mabeberu! Si mmemsikia Kikwete akisifia Bi kidawa kuwa nchi imetulia! Sasa ndo anakwiba kwa kushirikia na magenge ya kifisadi ya kimataifa!
 
Yes wanapiga wanaweka kwenye Mabenki hulo viswa vya Mbali, then sisi tuko busy na Tanga na Simba, kwa kifupi tunapigwa sio kwa sababu ya viongozi wabovu bali kwa sababu ya Ujinga wa Watanzania
Radio na television za Tanganyika ziko busy na Betting kuliko kutoa elimu na kuhabarisha jamii.
Tuko kwenye "State Capture"
 
Nimeshangaa,,uwanja wa wait elf 30 Kwa estimate za engineering kwa the hnologia za kisasa ni billion 98 inclusive VAT.Bahati mbayahizo pesa zinapelekwa mfuko wa hazina wa CCM kwa ajili ya kampeni
 
Bilioni 64 ya wakati huo; sasa ni kiasi gani?

Udogo wa uwanja haina maana kwamba lazima gharama ziwe chini. Inategemea mambo mengi, ikiwemo viwango.

Gharama za Arusha na Daslama ni tofauti. Arusha ni watu wa madini, Daslama uchumi wao unategemea mwendokasi, Kilimanjaro itokayo Kizimkazi (labda na Siitaksi za bilionea).

Kwani hamuoni kwamba shilingi imeshuka sana thamani?

Usikute hizo bilioni 200 ni kama dola milioni 9 tu!
 
Kuna wizi mkubwa sana. Lkn wizi huu umeruhisiwa na rais mwenyewe, amesema watu wale kwa urefu wa kamba zao.
 
Alafu ndio mnasema Simba na Yanga wajenge uwanja kweli? Watu wanaweza kuona wadhamini wa Simba na Yanga wanaishia kupiga maneno na uwanja hawajengi wakadhani wajinga. More aweze ujenzi wa billion 200??? Sio mchezo.
 
Huu ni miradi wa ccm kujipatia fedha kwa ajili ya uchaguzi ujao kilivyo kwa miradi mingi huko nyuma. Mfano ni majengo na miradi mingi ya nssf enzi za Dr Dau, jengo la bunge, UDOM nk. Uwanja wa mpira ukumbi usio na mambo mengi na gharama zake hazipaswi kubwa kubwa kiasi hicho. Uzuri hiyo ni taaluma yangu
 
Tumepigwa sana. Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa takriban 65 billioni na unachukua watu 60,000 na hata kama ulijengwa miaka 20 iliyopita bado gharama hiyo ni kubwa sana. Uwanja unaochukua watu 30,000 unajengwa kwa Tshs.286billioni?. Watueleze vitu vya ziada watakavyoweka na thamani ya shillingi dhidi ya dollar ili tulinganishe na gharama iliyotajwa.
 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…