Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Duuuh! aiseee inamaana unajua gharama ya ujenzi wa nyumba yenye vyumba vitatu pale London ni sawa na ujenzi wa nyumba aina hiyohiyo pale Arusha?
Aisee...
Mkuu kwa dunia ya sasaivi hakuna mtu wa kkujengea kiwanja cha mpira cha watu 30,000 kwa gharama ya chini ya bilioni 200,

kama unabisha wew si una simu haya Google uone bei za viwanja vilivyotumika Afcon ukimaliza hapo Ka Google bei ya kiwanja kinachojengwa pale Rwanda ambacho nacho kinaingiza watu 30,000 alafu ukipata jibu kaa nalo na wewe utawaelimisha wengine.
 
Huu mtindo wa kuita majengo, barabara na viwanja kwa majina ya watu, atatokea rais chizi kama jiwe atakuja kujimilikisha na kudai kuwa ni mali yake.
Ni dunia nzima chief

Unless umeshtuka kutoka sayari ya pluto
 
Oya hizo bilioni watupe mitaji vijana tuliomaliz chuo
waangalie ambao hatuna ajira tupewe ten milion baad ya miaka miwili turejesh 15m atakaeshindwa kurejesha awe chambo atumuke kufanyakz ya kujenga uwanja bila posho wala malipo mpk deni liishie ambao tutarejesha waendelee kujenga viwanja vyao
natakiwa nisikilizwe nina hoja... wengine hatujui hata tunapataje buku tano kesho wengine mnapewa mabilion 🥲
 
akili yangu mimi inanituma kuuliza hivii, kama tunao uwanja pale arusha ule wa michezo uliopo sasaivi, kwanini tutumie bilioni zaidi ya 200 kujenga mpya? badala ya kuchukua hata bilioni 50 au 100 tukakarabati uleule na kuujenga uwe bora? kwahiyo arusha watakuwa na viwanja viwili vya ku take care, wataweza? au mimi nawaza vibaya?
 
2004,jiulize vitu vimepanda mara 5 tokea mwaka huo hadi sasa?
Tambua uwanja ni mdogo kuliko wa Mkapa.
Tupige hela kwa kiasi wadau,tukifa hatuondoki na chochote,japo mliambiwa mle kulingana na urefu wa kamba.
Inasikitisha sana.
Ndio vimepanda sana, dollar 1 ilikua 800 at some point leo hii ni almost elfu 3 unatarajia nini?

Chips tulikua tunanunua 300, na mfuko wa cement ulikua haufiki elfu 10! Leo mduko wa cement umezidi mara 3 ulitarajia bei iwe ile ile?
 
Mkuu kuna kupanda kwa gharama,lakini siyo kwa kiwango Cha mara nne au tano.Usihalalishe upigaji na siyo kwamba nakuonea wivu kwasababu labda wewe ni mnufaika labda indirectly au directly.Tena uwanja ni mdogo ukilinganisha na WA Mkapa,inamaana gharama zingejifix kidogo.
Fikiria bei ya cement mwaka 2004 imepanda mara nne hadi sasa kwa mfuko?
Kuna vifaa kama nondo ni bei ndogo kwasasa,inamaana vingefidiwa.Pigeni Kwa kiasi wadau.Mtakufa bila chochote kama sisi,tukikutana huko kama kupo,tutawasema sana.
Upigaji uko wapi? Designs umeziona? Hivi bei za viwanja 2004 ni sawa na sasa ambapo population imeongezeka? Pale kuna mpaka lami zitajengewa kuelekea uwanjani.....

Mimi napinga ufisadi lakini huwa sipendi kuamini kwamba kila kitu expensive ni ufisadi. Kwamba iphone kuuzwa bei kubwa kuliko tecno ni ufisadi?

Mindset ya kimasikini sana. Wizi huwa upo kwenye matumizi/manunuzi sio upangaji bajeti. Bora ungesema matumizi mabaya ya fedha sio WIZI!!
 
Upigaji uko wapi? Designs umeziona? Hivi bei za viwanja 2004 ni sawa na sasa ambapo population imeongezeka? Pale kuna mpaka lami zitajengewa kuelekea uwanjani.....

Mimi napinga ufisadi lakini huwa sipendi kuamini kwamba kila kitu expensive ni ufisadi. Kwamba iphone kuuzwa bei kubwa kuliko tecno ni ufisadi?

Mindset ya kimasikini sana. Wizi huwa upo kwenye matumizi/manunuzi sio upangaji bajeti. Bora ungesema matumizi mabaya ya fedha sio WIZI!!
Mkuu huwezi kuhalalisha kua bajeti iwe ni mara nne au tano kisa imepitq miaka kadhaa.Sidhani kama bei nondo ni mara nne au tano ya bei iliyokua kipindi cha ujenzi wa uwanja wa Mkapa.Upigaji unaanzia kwenye bajeti.... then watu wa manunuzi wanakuja kuendelea.Hakuna hata Senti moja itakayobaki labda kuongezwa.
 
akili yangu mimi inanituma kuuliza hivii, kama tunao uwanja pale arusha ule wa michezo uliopo sasaivi, kwanini tutumie bilioni zaidi ya 200 kujenga mpya? badala ya kuchukua hata bilioni 50 au 100 tukakarabati uleule na kuujenga uwe bora? kwahiyo arusha watakuwa na viwanja viwili vya ku take care, wataweza? au mimi nawaza vibaya?
Yesu Anakuja ule uwanja mwingine ulijengwa kwa nguvu za wananchi,lakini CCM wakachukua ndio maana wanashindwa kutunza.
Serikali haiwezi kufanya ukarabati uwanja uliopo Arusha,labda CCM warudishe uwanja kwa Setikali au Halmashauri.
 
akili yangu mimi inanituma kuuliza hivii, kama tunao uwanja pale arusha ule wa michezo uliopo sasaivi, kwanini tutumie bilioni zaidi ya 200 kujenga mpya? badala ya kuchukua hata bilioni 50 au 100 tukakarabati uleule na kuujenga uwe bora? kwahiyo arusha watakuwa na viwanja viwili vya ku take care, wataweza? au mimi nawaza vibaya?
Ule ni wa CCM na kama ujuavyo fedha zao zinaelekezwa kununua fulana na nyingine kuhnga wanainchi, hili ni jukumu la Serikali wakizipeleka kwenye uwanja wa chama chako CCM mtakuja kulalamika tena.
 
Ule wa mkapa uligharimu billioni 60 mjue.
Ndiyo hivyo,eti gharama zimepanda mara nne ya uwanja ule,na ni uwanja mdogo ukilinganisha na Mkapa,aisee watu wanazingua sana,wanaipiga nchi hadi wanapata mshtuko wenzao wakifa wakiacha fahari zote.Siyo vizuri kwakweli.
 
Ninashauri wa upgrade pia miundo mbinu kama barabara na bus stand ili kuimprove movement ya traffic wakati wa kombe la Afcon.
 
Kwanini usiitwe Tazanite Stadium ili kutangaza Tazanite yetu kimataifa?!
Hapana; tayari tuna Tanzanite Bridge na hata jina Tanzanite lenyewe linajitangaza. Ninaunga mkono kuuita Uwanja wa Samia Suluhu Hassan, kwani ni chini ya utawala wake ndipo Tanzania imepata hadhi ya kuandaa mashindano makubwa ya kimataifa na vile vile ndicho kipindi timu ya Tanzania (Yanga) iliingia fainali za CAF.
 
Back
Top Bottom