BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Mbona bajeti kubwa sana? upigaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machawa wanaharubu taifaJina la uwanja halina mvuto. Hiyo a.k.a ya dr haikuwa na maana wala kuweka majina matatu ya huyo mtu. Basi tu ni kujipendekeza kwa machawa
Serikali imeingia mkataba wa kuanza Ujenzi wa uwanja Mpya Jijini Arusha Maarufu kama Samia Suluhu Hassan Stadium ambao ni Mahsusi Kwa Ajili ya Maandalizi ya AFCON 2027.
Uwanja huo utagharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 286.
Kazi iendelee 👇👇
View: https://youtu.be/q05ytnyfpa0?si=jLrsYa4X_7tKcjKO
============
Serikali kupitia wizara ya Sanaa ,Utamaduni na Michezo leo Machi 19, 2024 imesaini mkabata wa ujenzi wa Uwanja wa Dokta Samia Suluhu Hassani wenyewe thamani ya shilingi bilioni mia mbili na themanini na Sita ambao utatumika katika michuano ya mataifa Afrika AFCON 2027 inayoandaliwa na nchi za Tanzania, Kenya na Uganda
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri wa Michezo Dokta Damasi Ndumbaro amesema Lengo la uwanja huo kujengwa mkoani Arusha ni kuchochea maendeleo ya sekta utalii kupitia michezo.
View attachment 2938864View attachment 2938865View attachment 2938866View attachment 2938989View attachment 2938990
Pesa ya CCM kwa ajili ya chaguzi zijazo, ni kawida yaoMbona bajeti kubwa sana? upigaji
Tazanite!Kwanini usiitwe Tazanite Stadium ili kutangaza Tazanite yetu kimataifa?!
Tazanite!Kwanini usiitwe Tazanite Stadium ili kutangaza Tazanite yetu kimataifa?!
Hili nalo mkalitazameHivi huu nchi ni ya wanasiasa wa CCM pekee, kwanini kila mradi unapachikwa kuna la mwanasiasa, hatuna vitu vya kujivunia zaidi ya hawa wanasiasa uchwala pamoja na chawa wao?
Ulitaka iwe bei gani? Umesikiliza associated features na hadhi ya uwanja wenyewe lakini?Mbona bajeti kubwa sana? upigaji
Mwaka gani?Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa takriban T.shs.65 billioni
Labda kutakuwa na social facilities...Nimesoma na kusikia kupitia vyombo vya habari kuwa Serikali itajenga uwanja wa mpira utakaogharimu Tshs.286 billion kule Arusha. Uwanja huu utaingiza jumla ya watu 30,000 kinyume na Uwanja wa Mkapa unaoingiza watu 65,000. Binafsi mimi ninapingana na gharama kubwa ya uwanja huu. Nitoe mfano Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa takriban T.shs.65 billioni na inachukua watu 65,000 vipi leo uwanja unaochukua watu 30,000 kujengwa kwa Tshs.286 billioni?. Nashauri tuelezwe vitu vya ziada vitakavyokuwemo kwenye uwanja huo zaidi ule wa Mkapa. Pamoja na vitu kupanda bei na shillingi ya Tanzania kushuka dhidi ya dola ya Marekani bado naona gharama hiyo ni ya juu sana.
2004,jiulize vitu vimepanda mara 5 tokea mwaka huo hadi sasa?Mwaka gani?
Hao hao mnaowaamini wezi ndiyo hao hao!Kwajinsi nilivyomsikiliza mh waziri,niseme tu kunawakati tunatakiwa kuwa na maamuzi magumu sana(magufuli style) ili tusonge mbele.Hao watu waziri anaosema wanaleta ujanja ujanja Arusha wapo wengi sana.Emu fikiria mradi mkubwa kama huo walikuwa wanataka kufanya yao mbele ya waziri bila kuogopa je ni miradi mingapi tusiyoijuwa au watu wangapi waliofanyiwa mambo kama hayo?Ningekuwa mwenye maamuzi muda huu wangekua wako makwao wanachunga mbuzi watendaji wa aina hiyo.Arusha inaitajika kupitia fagio la kuwaondoa watendaji wasiokuwa na nia ya maendeleo bali mambo yao binafsi.
Bil 286 ni fedha nyingi sana kama zingepelekwa kwenye miradi mingine na kusimamiwa kikamilifu,ila kama serikali imeamua kujenga uwanja inabidi kuwa makini sana katika kusimamia fedha hizo ili zifanye kazi husika iliyokusudiwa.
Mkuu kuna kupanda kwa gharama,lakini siyo kwa kiwango Cha mara nne au tano.Usihalalishe upigaji na siyo kwamba nakuonea wivu kwasababu labda wewe ni mnufaika labda indirectly au directly.Tena uwanja ni mdogo ukilinganisha na WA Mkapa,inamaana gharama zingejifix kidogo.We jamaa ludi shule ukadai Ada yako, Pesa pamoja na Vitu hupanda thamani kadri ya Miaka inavyosogea mbele...... hata gari la gharama zaidi la Mwaka 2016 bei yake huwezi linganisha Bei ya Gari la Mwaka 2024 maana thamani ya vitu hupanda.
Duuuh! aiseee inamaana unajua gharama ya ujenzi wa nyumba yenye vyumba vitatu pale London ni sawa na ujenzi wa nyumba aina hiyohiyo pale Arusha?Tena kwa bei hiyo bado ni ndogo sana Kiwanja cha mpira cha Volkswagen kinachomilikiwa na Timu ya wolfsburg ya ujerumani kinaingiza watu 30,000 na Thamani yake ya ujenzi ilitumia zaidi ya Dola milion 200 ambayo ni sawa na zaidi ya bilioni 400+ za kitanzania.
Elfu tano ya mwaka 1999 ni sawa na elfu tano ya mwaka 2024? ( Miaka 25 baadae)Nimesoma na kusikia kupitia vyombo vya habari kuwa Serikali itajenga uwanja wa mpira utakaogharimu Tshs.286 billion kule Arusha.
Uwanja huu utaingiza jumla ya watu 30,000 kinyume na Uwanja wa Mkapa unaoingiza watu 65,000. Binafsi mimi ninapingana na gharama kubwa ya uwanja huu.
Nitoe mfano Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa takriban T.shs.65 billioni na inachukua watu 65,000 vipi leo uwanja unaochukua watu 30,000 kujengwa kwa Tshs.286 billioni?
Nashauri tuelezwe vitu vya ziada vitakavyokuwemo kwenye uwanja huo zaidi ule wa Mkapa. Pamoja na vitu kupanda bei na shillingi ya Tanzania kushuka dhidi ya dola ya Marekani bado naona gharama hiyo ni ya juu sana.