Ndiyo nimeuliza,huko ilikokua inatoka bado inapatikana!?Kabla hakijafa malighafi ilitoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nimeuliza,huko ilikokua inatoka bado inapatikana!?Kabla hakijafa malighafi ilitoka wapi?
Kwani unapoambiwa kukufua we unaelewa nini?Ndiyo nimeuliza,huko ilikokua inatoka bado inapatikana!?
Unakuwaga na mdahalo wa kiwaki!!Kwani unapoambiwa kukufua we unaelewa nini?
Anyway, unapoambiwa kufufua kiwanda, elewa kuwa sio kufufua lile jengo la kiwanda, bali ni kufufua mfumo mzima kuanzia sourcing ya raw materials, uzalishaji hadi masoko...Unakuwaga na mdahalo wa kiwaki!!
Kajambe babu,umevimbiwa...soko utalifufuaje Kwa muktadha huu!?Anyway, unapoambiwa kufufua kiwanda, elewa kuwa sio kufufua lile jengo la kiwanda, bali ni kufufua mfumo mzima kuanzia sourcing ya raw materials, uzalishaji hadi masoko...
Sio kufufua soko, bali mfumo wa kulifikia soko, maana soko halijafa, lipo kubwa sana hapa Afrika MasharikiKajambe babu,umevimbiwa...soko utalifufuaje Kwa muktadha huu!?
Hapo Tabora wanafaa wajenge karakana ndogo na sio chuo.Icho kilichopo morogoro unajua kinatoa kozi ngapi ama unajishaua tu moro na Tabora Unajua wapi ni sehem ya kimkakati zaidi wa ki reli acha kuongea tu bila utafit Tabora ni sehem ya kimkakati ya kireli kuna njia nne pale...
Tabora-kigoma
Tabora- mwanza
Tabora-mpanda
Tabora-dom/dar
Nachuo cha kozi zote kipo Tabora na Tabora ni mazingira mazur sanaa ya mambo ya kireli mzee
Hapo Tabora wanafaa wajenge karakana ndogo na sio chuo.
Brother nimekupa taarfa Tabora ndo uwa kampas uko morogoro uwa sio ata chuo mbona mgumu kuelewa ilo eneo planned toka mwaka enzi za east Africa railways mzee
Kweli kabisa Tabora hakuna chuo chochote kikubwaa mnataka kijengwe Morogoro.Wacha wajenge Tabora tuu kwanza kwa reli pale ni kama katikati kwenda Kigoma,Katavi na Mwanza.Naunga mkono hoja hiyo tuache ubinafsi.Morogoro kuna vyuo kibao tuu.Roho mbaya huna lolote
Kifungu gani kwenye katiba kiupa hadhi mkoa wa morogoro kuwa mkoa wa vyuo?Morogoro ni mkoa wa vyuo. Vyuo vyote vipya na vya zamani vinatakiwa kujengwa Morogoro; The rest, I can not accept...
Kwanini usiwajengee ndugu zako chuo Cha uchawi?Yeyote atakayeshiriki kujenga chuo cha reli tofauti na Morogoro atakufa hapo hapo kabla ya siku ya uzinduzi...
Huwezi kuitenganisha Morogoro na reli....
Nusu ya pesa itapigwaSerikali ya Tanzania imesema imetenga Shilingi Bilion 44.8, kwa ajili ya kuanza Ujenzi Chuo kikubwa cha Reli mkoani Tabora chenye kiwango cha Kimataifa kwa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), Kupitia kipande cha Tabora-Isaka.
Taarifa hiyo imetolewa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Bi, Amina Lumuli ambapo ameeleza chuo hicgo kinatarajia kujengwa katika eneo la Malabi lenye ukubwa wa ekari 183.1. Kata ya Cheyo Manispaa ya Tabora.
Mbinafsi huyo jamaa hajui Huo mrad utachangamsha mboka,manake imedumaa walahKwamba kwa sababu kina-share facility ndio maana huungi mkono, hebu fikiri vizuri zaidi impact yake kwa mkoa wa Tabora na Taifa, usiwe selfish kiasi hicho
Fursa zingine hizo za wizi tu Tz... Priority zero....Hapa ndipo akili zetu sisi waafrika tunapoamua kuziweka mahala.
Chuo kipo Morogoro kwanini kisiboreshwe na kupanuliwa ili kiwe cha kimataifa?
Rest in Torment (R.I.T)Kwanini usiwajengee ndugu zako chuo Cha uchawi?