Bill & Melinda Gates watalikiana

Linapokuja suala la love and emotions wazungu hawana UNAFIKI.....tofauti na sisi huku mtu anaweza kuishi miaka dahari kwenye maisha ya kinafiki kwa kuwa anapata chochote kitu....
Mtu anakuigizia miaka 20 ila anagongwa nje kwa siri! Mzungu wala hakuchiti ila anakuchana tu kuwa tusitishe muungano huu maana sioni raha yake tena!
 
Hatukawii kusikia Bill anatarajiwa kuolewa na mwanaume mwenzake, maana hawa watu hawashindwi[emoji40]
 
Hii ni balaa sasa

Kwahiyo bill gate kaona ndo muda wa kuanza kula mbususu dogodogo[emoji848]
 
Kama wewe umeachwa sio wote tutaachwa
 
halafu kuna mbuzi zinasema mapenzi pesa
Mama shaibu wangu kaniacha kisa natembeza kapu langu la samaki akaliwa na saidi makoroboi..

Sasa mniambie mapenzi bado ni pesa?
Kuna huyu Wangari Maathai aje hapa atujibu
 
Dunia itakuwa salama kutokana na njama zao za kupunguza idadi ya watu hasa waafrika kupitia chanjo wanazozifadhili.
Mbona population ya Africa inakua kwa speed ya ajabu leo Nigeria wako million 200+, Tanzania soon tutafika mill 70 mbona watu wanaongezeka acha uongo
 
Mimi huwa nawaheshimu hawa jamaa wanatangaza wakiowana na wanatangaza wakiwa wanaachana ni kama wanakaa wanakubaliana hapa basi inatosha kwa amani tu ndio maana hata kutangaza wote wametangaza kila moja katika tweet yake kwamba wameona wamefika mwisho wa safari lakini wataendelea kuendesha Foundation zao kwa pamoja ila sio kama mke na mume tena. Huku kwetu tunasikia harusi tu talaka hatusikii na vijembe juu kwenye mitandao kama familia tena ndio wananunua na ugomvi utasema uliowa familia nzima.
 
Pesa na na maumbile yanayotakiwa kutumiwa ipasavyo mkiwa wakubwa nivitu tofauti...angekua mama wakitanzania angeng'ang'ania ndoa au kuhama chumba ndani humohumo anahamia kingine na kuaza kugongwa nje nakuhanga mahela kwavijana wanaomtafuna Ila Uhuru asingekua nao,taraka kuomba moga ,tumeshakua nawatoto wakubwa......hapa bimkubwa anahtaji kusuguliwa napesa anayo Ila Uhuru hakua nao.....amepata Uhuru sasa kazi kwenu mnaojiita wanaume.....note kumbukeni tangazo la dangote akiwa anataka kuoa
 
Mihela yao haijawasaidia kubaki pamoja!!???
kweli hela sio majibu ya kila kitu
 
Divorce zingine shavu dodo unachukua kaserengeti boy unazunguka nako dunia nzima full bata (unless kulikuwa na pre-nuptials)

Sasa za huku kwetu aisee. Mtagawana hadi generational curses [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Wanawake huwa wanahisi mwanaume utaanza kufa ili arithi mali.Sasa Bi Melinda anashangaa kibabu hakifi.
 
Baada ya issue ya covid -19, mama ameona akae pembeni. Ila nahofia maisha yake. Tusije tukasikia amefariki ghafla.
 
Bill gates alikuwa na mapenzi na watoto wadogo .Jeffrey Epstein case is getting worse .List ni kubwa Bill Clinton ,trump ,prince Andrew na prince of Saudi nakadhalika
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Ila ndiio ujinga wake mwwnyewe kama kaachwa...wee mihela yote ile unakaa miliki lijumba la ajabu baadala ya kumiliki totoz kama mswati
Yaani hawa jamaa unajuwa tatizo lao wanaowana age moja halafu sasa wanawake zao ni wanakuwa haraka na wanazeeka haraka wewe mtu unakila kitu starehe yenyewe kuwa na mke mzuri unaenda kuowa kibibi cha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…