Karao
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,052
- 585
Nikweli kwao swala la familia ni mali ya serekaliHao hua hawajali maana mpunga upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli kwao swala la familia ni mali ya serekaliHao hua hawajali maana mpunga upo
Yaan kwakweli natamani😅😅!Unatamani ndio ungekuwa Mellinda
Hahaha sasa upewe bilion 1.8 kwenye billion 130 huoni ni kama kijiko kwenye bahari [emoji23][emoji23][emoji23]
Divorce zingine shavu dodo unachukua kaserengeti boy unazunguka nako dunia nzima full bata (unless kulikuwa na pre-nuptials)
Sasa za huku kwetu aisee. Mtagawana hadi generational curses [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Hahahahah kwamba Bill alianzia kazi nyumbani!View attachment 1776196
Huenda tatizo lilianzia hapa
Hahahahah kwamba Bill alianzia kazi nyumbani!
View attachment 1776196
Huenda tatizo lilianzia hapa
Kosa lilikuwa nini mkuu wakati kichwa cha uzi kilikuwa kimekosewa nikakuita ili kuhariri.Jiheshimu Kidogo Mkuu.
TZ pesa inanunua kila kitu, labda kwa ulimwengu wa kwenu Bill gatesMzee AMEJIBUView attachment 1777423