Billnass amzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia ujumbe mzito mumewe

Billnass amzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia ujumbe mzito mumewe

Wakuu

Billnass amemzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia haya mumewe kumshukuru kwa zawadi View attachment 3153548
View attachment 3153555
Wenye Akili na Watoto wa Mjini tunajua kuwa Billnass hana Hela ya kumzidi Nandy (Mkewe) na kama haitoshi tunajua kuwa Nandy anamuweka Mjini Mumewe (Billnass) kutokana na Utajiri alionao ambao kwa 75% unatokana na Mtu Mmoja (namhifadhi) anayepita nae (tafadhali elewa neno anayepita nae) na anachokifanya Nandy ni kumuinua tu Kiuchumi na Kiumaarufu Billanass kwa Matukio kama haya ili Watu tujue kuwa Nenga (Billnass) ana Hela wakati nae Analelewa tu na hata Vijana wenzake wa Kwao pale Kinondoni wanalijua hilo sema Wanauchuna tu.

Imeisha hiyo......!!!!!!!
 
Wasanii wenyewe ndo hawa wanashindana namba za kwny youtube. Platforms zinazolipa vzr, wasanii wa Tz hawafanyi vzr kwny hizo platforms(spotify, deezer, apple music, amazon n.k) Pesa ya youtube ni ya kawaida sana.
Kumbuka hao ni wasanii ambao ni A list.. wana miradi pia... Wana shows pia..
Matangazo ya bidhaa n.k
Hata social medias zao wanaingiza pesa, hamjasikia ujio wa kulipwa na instagram, tiktok, twittwr n.k
 
Wenye Akili na Watoto wa Mjini tunajua kuwa Billnass hana Hela ya kumzidi Nandy (Mkewe) na kama haitoshi tunajua kuwa Nandy anamuweka Mjini Mumewe (Billnass) kutokana na Utajiri alionao ambao kwa 75% unatokana na Mtu Mmoja (namhifadhi) anayepita nae (tafadhali elewa neno anayepita nae) na anachokifanya Nandy ni kumuinua tu Kiuchumi na Kiumaarufu Billanass kwa Matukio kama haya ili Watu tujue kuwa Nenga (Billnass) ana Hela wakati nae Analelewa tu na hata Vijana wenzake wa Kwao pale Kinondoni wanalijua hilo sema Wanauchuna tu.

Imeisha hiyo......!!!!!!!
umeingiza shingapi kuyajua yote hayo
 
Back
Top Bottom