Billnass amzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia ujumbe mzito mumewe

Billnass amzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia ujumbe mzito mumewe

Ushuru tu Mil 100.

IMG_0666.png
 
Siwajui kiundani ila nipende kusema tu hio hela hawana hata wakichanga wote wawili 🤣! Ununue LC300 400M kisha ndani ya miezi mitatu ijayo ununue LR ya 400M?

Kwa chanzo gani cha mapato au hio Nandy Festival inalipa kiasi hicho? Waseme tu gari wamepewa wazitangaze ila za tajiri flani wa showroom. Sababu Billnass nae ni dalali wa magari.
 
Wenye Akili na Watoto wa Mjini tunajua kuwa Billnass hana Hela ya kumzidi Nandy (Mkewe) na kama haitoshi tunajua kuwa Nandy anamuweka Mjini Mumewe (Billnass) kutokana na Utajiri alionao ambao kwa 75% unatokana na Mtu Mmoja (namhifadhi) anayepita nae (tafadhali elewa neno anayepita nae) na anachokifanya Nandy ni kumuinua tu Kiuchumi na Kiumaarufu Billanass kwa Matukio kama haya ili Watu tujue kuwa Nenga (Billnass) ana Hela wakati nae Analelewa tu na hata Vijana wenzake wa Kwao pale Kinondoni wanalijua hilo sema Wanauchuna tu.

Imeisha hiyo......!!!!!!!
😂😂😂😂😂😂😂 Kijana anafugwa halafu leo hii aseme ametoa Defender 110 ya 2023 kama zawadi kwa mkewe. Hilo halikubaliki duniani wala mbinguni! Maisha sio rahisi hivyo
 
Siwajui kiundani ila nipende kusema tu hio hela hawana hata wakichanga wote wawili 🤣! Ununue LC300 400M kisha ndani ya miezi mitatu ijayo ununue LR ya 400M?

Kwa chanzo gani cha mapato au hio Nandy Festival inalipa kiasi hicho? Waseme tu gari wamepewa wazitangaze ila za tajiri flani wa showroom. Sababu Billnass nae ni dalali wa magari.
Mimi peke yangu humu jf ndio naweza nunua ilo gar
 
Unalipa bei gani? Hawa wasanii ukiniambia wanatumika kama madodoki ya mafisadi ntakuelewa ila usiniambie mziki unalipa sijui blaah blaah.

Wapo wasanii kibao kina Rich Mavoko mbona hawafanyi hizo vurugu za kununua magari nao si wanaimba?
Kama Nandy muziki unamlipa, wanafanya matangazo ya bidhaa kwenye social medias accounts zao, youtube wanalipwa, shows wanalipwa za nje na ndani, siku hizi spotify, boomplay n.k wanalipwa...

Bado wana biashara zao walizoanzisha tokana na muziki, kwa msanii A list kama Nandy anaingiza pesa hizo...
 
Hela ya youtube watakuwa wanaipata ila sio nyingi kiasi cha mtu kuspend million 850 ndani ya miezi 4 😁! Hilo nakataa
Wasanii wenyewe ndo hawa wanashindana namba za kwny youtube. Platforms zinazolipa vzr, wasanii wa Tz hawafanyi vzr kwny hizo platforms(spotify, deezer, apple music, amazon n.k) Pesa ya youtube ni ya kawaida sana.
 
Kama Nandy muziki unamlipa, wanafanya matangazo ya bidhaa kwenye social medias accounts zao, youtube wanalipwa, shows wanalipwa za nje na ndani, siku hizi spotify, boomplay n.k wanalipwa...

Bado wana biashara zao walizoanzisha tokana na muziki, kwa msanii A list kama Nandy anaingiza pesa hizo...
Punguza uchawa kidogo sema ukweli ty
 
Kama Nandy muziki unamlipa, wanafanya matangazo ya bidhaa kwenye social medias accounts zao, youtube wanalipwa, shows wanalipwa za nje na ndani, siku hizi spotify, boomplay n.k wanalipwa...

Bado wana biashara zao walizoanzisha tokana na muziki, kwa msanii A list kama Nandy anaingiza pesa hizo...
Kwa Nandy sawa ana mianya ya hela toka zama za ruge aliachwa vizuri na rangi ya mtume wakubwa lazma watakuwa wanajipigia ila Bilnass hio hela ya kununua Defender 110 ya 2023 hana. Labda kama kapewa kadi akalipie na mkewe🤣.
 
Back
Top Bottom