Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyota ya Nandy.Wa nauliza Billnass amefuata nini kwa Nandy?
Kwa sababu ni biashara ya wana ccm hiyo.Ngumu sana kumaliza biashara ya ngada
Na wanachadema umesahau kilichokuwa kinafanyika billcana ya mwenyekiti?Kwa sababu ni biashara ya wana ccm hiyo.
Kwani Nandy ana shida Gani mkuu?Wa nauliza Billnass amefuata nini kwa Nandy?
Wewe ni mtu sanaaNa Ikawe Kheri Kwao,,Muumba Aendelee Kuwajalia, Afya Ya Mifupa,,Damu Na Nyama,,Wao Na Uzao Wao.
Kwani baba'ko alifuata nini kwa mama'ko?Wa nauliza Billnass amefuata nini kwa Nandy?
In baba levo's voice"kamserereko"Wa nauliza Billnass amefuata nini kwa Nandy?
mbona wana wanamkandia sana mshikaji, kwamba bill hawezi kununua iyo chuma Kwa iyo MITA400 kweli?400M
Hivi wewe lofa mbona unaleta dharau Kwa mwanaume mwenzio kuwa hana pesa,punguza ufala kwani nandy ana pesa gani?Usijar ila tunajua billinas hajui ata bei ya sukari inauzwaje hajui
Alifuata kile ambacho babako alifuata kwa mama yako 🙂Kwani baba'ko alifuata nini kwa mama'ko?
Bilnas anauza iPhone 16 feki atapata wapi pesa ya kununua gari kama hiyo?Wtz msitishike kabisa izo drama tunajua nandy kajinunulia billinas hana pesa izo
Ila wewe Mpwayungu Village una vituko sana.Duh punguza matusi mm nikiaza utaniripot soon
Atakuwa alikutia mimba akakuacha maana huwezi kuwa na chuki kama hizoUsijar ila tunajua billinas hajui ata bei ya sukari inauzwaje hajui
Anauzia jina mim najua hana pesa mziki umemshindaBilnas anauza iPhone 16 feki atapata wapi pesa ya kununua gari kama hiyo?
Ahahhah sema kweliIla wewe Mpwayungu Village una vituko sana.
Sawa si una mimba yake changaAtakuwa alikutia mimba akakuacha maana huwezi kuwa na chuki kama hizo