Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Eeh wewe unaweza nunua humu humu jfMimi peke yangu humu jf ndio naweza nunua ilo gar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh wewe unaweza nunua humu humu jfMimi peke yangu humu jf ndio naweza nunua ilo gar
Watanzania maisha yetu ya maigizo mimi nina wasiwasi mpaka na nyumba anayoishi ila ngoja tuoneWatu wanafanya mchezo na kitu kinachoitwa 500 Millions😁!
Ili uchezee hela hio you must likely have 5-10 times more of that amount. Hamna mtu mwenye million 500 yote ataiweka kwenye gari halafu aanze upya.
Ahahahhah na ushuru nalipia hapa hapaEeh wewe unaweza nunua humu humu jf
Ohoooo chuma habari nyingine kumbeDefender S 110 iyo boss, ya 2020 kuja juu.
Yote Kheri Tu,, La Muhimu na La Msingi Maisha Yanakwenda.afya ya damu na mifupa na uzao wao..hadi tuone video kama captain ruge alivaa gozi
HaipingwiiiAhahahhah na ushuru nalipia hapa hapa
AminaNa Ikawe Kheri Kwao,,Muumba Aendelee Kuwajalia, Afya Ya Mifupa,,Damu Na Nyama,,Wao Na Uzao Wao.
Hata mbinguni nako halikubaliki? 🤣🤣😜😂😂😂😂😂😂😂 Kijana anafugwa halafu leo hii aseme ametoa Defender 110 ya 2023 kama zawadi kwa mkewe. Hilo halikubaliki duniani wala mbinguni! Maisha sio rahisi hivyo
Billnas kachoka,gari la milioni 400 atoe wapi?Wakuu
Billnass amemzawadi Nandy gari ya ndoto yake, aina ya Defender new Model ya mwaka 2023
Gari hili linaifanya kuwa la nane (8) Kwenye parking ya magari yao
Nandy amemwandikia haya mumewe kumshukuru kwa zawadi View attachment 3153548
View attachment 3153555
Wew youtube unalipwa kias ganWasanii wenyewe ndo hawa wanashindana namba za kwny youtube. Platforms zinazolipa vzr, wasanii wa Tz hawafanyi vzr kwny hizo platforms(spotify, deezer, apple music, amazon n.k) Pesa ya youtube ni ya kawaida sana.
Mziki una hela nowadays, we hujiulizi kwa nn diamond alivyofanya kolabo na derulo wiki 2 mbele akadai anataka kuwa tajiri namba 1 dunianiWatanzAnia msiamini uongo huoo...
Hamna haja ya kukutajia pesa ninayo-make mzee. Kafwatilie guidelines za kufungua channel youtube, utapata jibu.Wew youtube unalipwa kias gan
Usitaman maisha ya mtu mtandaoni nikikumbuka yule dada shamim nabakigi kuangalia tuMaisha ya wasaniii subiri yakitibuka utajua yoote sasa usikiayo changanya na yako...mtafuta pesa
Hii kitu kuna kaisema kule insta kuhusu Nandy na sio mtu mmojaWenye Akili na Watoto wa Mjini tunajua kuwa Billnass hana Hela ya kumzidi Nandy (Mkewe) na kama haitoshi tunajua kuwa Nandy anamuweka Mjini Mumewe (Billnass) kutokana na Utajiri alionao ambao kwa 75% unatokana na Mtu Mmoja (namhifadhi) anayepita nae (tafadhali elewa neno anayepita nae) na anachokifanya Nandy ni kumuinua tu Kiuchumi na Kiumaarufu Billanass kwa Matukio kama haya ili Watu tujue kuwa Nenga (Billnass) ana Hela wakati nae Analelewa tu na hata Vijana wenzake wa Kwao pale Kinondoni wanalijua hilo sema Wanauchuna tu.
Imeisha hiyo......!!!!!!!
Daaah wabongo nimewanyooshea 👐Wtz msitishike kabisa izo drama tunajua nandy kajinunulia billinas hana pesa izo
Tanzania kodi nyingi sana. Unaweza kuwa na gari unataka kumpa mtu zawadi kutoka nje ya Tanzania, halafu ile zawadi ikawa mzigo wa kodi kwake.
Badoo subiriDaaah wabongo nimewanyooshea 👐