BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,846
Labla kituo cha policeYeye kadai yuko kituoni mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labla kituo cha policeYeye kadai yuko kituoni mkuu
Vituo vingi vya damu Wana vipimo vya PITC ( HIV ), Syphilis na Damu.Unamaanisha bule kwenda Kliniki sio,na hata uko vipimo vya damu wanalipia 5,000,
Mjamzito Kujifungua gharama 75,000/=
Elimu yako ya afya haijakusaidiaVituo vingi vya damu Wana vipimo vya PITC ( HIV ), Syphilis na Damu.
Kama kituo hakina hivyo vipimo, utaambiwa kapime, vilipo lazima ukalipe hasa private.
Vipimo vya kimaabara Zahanati na HC Ni Tsh 2,000 kwa gharama za serikali.
Halafu lazima ujue wewe juha, Hakuna mtu anakataa pesa.
Hata serikali yenyewe inalazimisha watu wakusanye mapato, kwahiyo hata wao hawapendi kuona vituo vya vya afya vina idadi Kuna ya wagonjwa wa msamaha.
😂😂😂😂😂Labla kituo cha police
UNAFIRWAElimu yako ya afya haijakusaidia
Sasa mtu unaetukana kiasi hiki hatutegemei uwe na awazo ya maanaUNAFIRWA
Bado Elimu ina hitajika sanaTrue watu wanataka wakitoa 10000 apate matibabu ya 300000 hilo haliwezekani
Umefuatilia ?Soma kwanza sera ya taifa ya Afya ndio ulete haya mapendekezo yako. Pili, zungumza na watu walioko kwenye hii sekta hasa wa chini kabisa, kwa UHURU kabisa wakupe hali HALISI.
Kwanza, Unapaswa kujua:
- Watoto wadogo chini ya Miaka 5 matibabu yao Ni BURE.
- Wazee, zaidi ya Miaka 60 matibabu yao ni bure.
- Wajawazito ( Wenye kadi za Kliniki ) matibabu yao Ni BURE.
Note: Nikisema BURE namaanisha BILA MALIPO.
Danganya wengine labda huko mikoa ya jirani na yaliko makao makuu huenda ndiko umefanyia utafiti wako.Soma kwanza sera ya taifa ya Afya ndio ulete haya mapendekezo yako. Pili, zungumza na watu walioko kwenye hii sekta hasa wa chini kabisa, kwa UHURU kabisa wakupe hali HALISI.
Kwanza, Unapaswa kujua:
- Watoto wadogo chini ya Miaka 5 matibabu yao Ni BURE.
- Wazee, zaidi ya Miaka 60 matibabu yao ni bure.
- Wajawazito ( Wenye kadi za Kliniki ) matibabu yao Ni BURE.
Note: Nikisema BURE namaanisha BILA MALIPO.
Kuna watu unaweza hisi sijui wanaishi wapiDanganya wengine labda huko mikoa ya jirani na yaliko makao makuu huenda ndiko umefanyia utafiti wako.
Hapa sina hata cha kuchangia. Naamini wapo watakaonielewa watakujibu vema zaidi ambavyo ningekujibu mimi kwa hasira.
Yaani hii ndiyo shida kuu.Hiyo pesa itakayokatwa wataishia kulipana posho tupu
Na Mimi nilikua najiuliza bima ya afya kwa wote yaweza kuwa Bure kweli? Nadhani watakua wanachangia pasent kdg na serikali inachangia pia, kama sijakosea. Japo napenda kujua zaidi kuhusu swala hili. NawasilishaBima ya Afya kwa wote sio kwamba ni bima ya Afya ya Bure
Tuna mfumo ovu snYaani hii ndiyo shida kuu.
Unafikiri hatupendi kulipa Tozo Stahiki kwa Serikali basi?
Shida ni unalipa afu Kuna Ng'ombe inatumia pesa ulizolipa kupeleka watoto wake Ulaya kutembea.
wazae kwa urefu wa kamba zaoKwamba watu wazae tu kwa sana. Au sio?
Mkuu ushafanya Ufuatiliaji wa hichi ulichoandika hapa ?Soma kwanza sera ya taifa ya Afya ndio ulete haya mapendekezo yako. Pili, zungumza na watu walioko kwenye hii sekta hasa wa chini kabisa, kwa UHURU kabisa wakupe hali HALISI.
Kwanza, Unapaswa kujua:
- Watoto wadogo chini ya Miaka 5 matibabu yao Ni BURE.
- Wazee, zaidi ya Miaka 60 matibabu yao ni bure.
- Wajawazito ( Wenye kadi za Kliniki ) matibabu yao Ni BURE.
Note: Nikisema BURE namaanisha BILA MALIPO.
Nakubaliana nawe 💯Habari wanaJF, Kwanza kabisa tukubaliane kwa Nchi yetu imekuwa shida sana kupata Takwimu za afya ,ni ngumu kujua watu wangapi wanazaliwa kwa siku , wanaofariki kwa siku , ni wastani wa watu wangapi wanapata ujauzito kwa Siku .
Hivyo kwa Uzoefu wangu nitakuja na Takwimu ambazo zitareflect kidogo hali halisi ya Afya katika nchi yetu .
Tanzania kwa sasa inakadiliwa kuwa na watu Milioni 60 ,wengi wao wakiwa wanawake hivyo tuchukue ni Milioni 32 .Ambapo kati ya hawa wanawake ambao wako katika umri wa Kuzaa yaani miaka 15-49 ni asilimia 20-25, hivyo tutachua ni milioni 15 .
Tunapozungumzia suala la BIMA kwa watu wote tunamaanisha kila mtanzania awe na uwezo wa kupata matibabu sahihi na wakati sahihi bila kuwa pesa taslimu mfukoni -malipo baada ya Matumizi .
Hali ilivyo sasa ni kwamba watanzania kama asilimia 15 tu wana bima za afya ,lakini kwa wagonjwa wanaofika hospitali nyingi asilimia 85 ni watumiaji wa Bima mbali mbali ,Asimilia 15 ni wanaolipa .
Hivyo kuna watu wengi huishia maduka ya Madawa na tiba asilia .
Kwa wastani Mtu mmoja hutumia shilingi Elfu 40-45 akienda kupata matibabu hospitali yenye hadhi ya Mkoa kwa Mara moja Gharama kati ya asilimia 20-25 ni pesa ya kumuona daktari nyingine ni dawa ,vipimo na gharama za upasuaji, hivyo kama kila mwezi watakwenda watanzania hospitalini kutibiwa na wengiwe wakafanyiwa upasuaji watu milioni 15 kati ya hizo 60 ni kwamba tutalazima kuwa na 15M x 40000 ambazo kwa haraka ni sawa na Bilioni 600 pesa ambazo ni Nyingi Sana .
Lakini hata kama tutatoa pesa za kuwaona Madaktari zikitolewa kwa wastani mgonjwa mmoja atagharamia elfu 30 mpaka 40 ambayo bado itakuwa ni zaidi ya bilioni 450 kwa mwezi kama watu milioni 15 watatibiwa .
Hivyo basi hili suala la Bima ya Afya kwa watu wote sio la kukurupukia inabidi kujipanga sana .
Kwa Utangulizi Huo napendekeza tuanze wamama Wajawazito wote ,yaani toka Mama akitambulika kuwa Mjamzito tu mpaka huduma za Kujifungua ziwe Bure .
Kwa kifupi uwekwe utaaratibu kliniki kina mama wanapewa kadi ambayo itaruhusu yeye kutibiwa popote pale mpaka ajifungue .
Tuanze na kundi hili sababu :-
1. Linamgusa moja kwa moja mama mwenyewe ,Baba na mtoto wote kwa Ujumla,hivyo kwa kumsaidia unasaidia unasaidia Jamii kwa Ujumla .
2. Ni wahanga wakubwa wa matatizo yatokanayo na Uzazi ukiachana na Mwanaume na mtoto
3.Kwa Idadi sio kubwa hivyo itakuwa rahisi kupata hizo pesa .
Tutapataje Pesa hizo ,Hapa tuachane Misaada ya watu wa Marekani hivyo kuna vyanzo viwili vikuu .
1. Ni mapato ya serikali kupitia Bajeti
2. Ni mapato ya serikali kupitia Tozo itakayo shughulika na Matibabu ya kina mama wajawazito Tu
Mfano :-Tuna laini za simu za mkononi zaidi ya millioni 50 ,Voda na Airtel wana jumla ya milioni 29 huku Tigo na Zantel 20 milioni na mitandao iliyobaki mitatu ina kamilisha .
Watanzania ni waelewa sana tukipata katika laini hizo 25 milioni tu zikawa active na wakaweza lipia 1000-1500 kwa Mwezi tutatengeneza bilioni 25 mpaka 37.5 bilioni ambazo kwa kina mama wajawazito tu zitawatosha kuokoa maisha yao .
Karibu wana JF tujadili suala nyeti la Afya kwa Wote .