Usijisahaulishe kuwa kulikuwa na 1HDT ambayo yenyewe ilikuwa na 164HP which made more speed than a range roverπ !200hp halafu wanalinganisha na hz yenye 129 hp kweli!japo rover ilikuwa ni v8,hivi hawa team toyota wanajua kuwa hiyo hz haifui dafu mbele ya prado L150?
Hahahahaha ninachojua kwa sprints land cruiser itakalishwa na supercharged engines za mjerumani ila kwa long trip ya nani awahi kufika you canβt fux with twin turbo V6 or V8βs za Land Cruisers!Aisee X5 haina tatizo kukeep up na Landcruiser.. Gari engine kubwa.. Na imetengenezwa kuwa segment moja na Landcruiser.. Toleo la kwanza E53 engine ndogo ina 3lts inline six na kuna options ya 4lts V8.. Kwahiyo ipo vizuri stamina.. Ukisema tutoke wote Dar Mwanza na Landcruiser haina shida kabisa ipo njema..!
Ishu yangu ni kusema 3 series itamkalisha Landcruiser.. Hapo ndio nakataa.. Zipo 3 series powerful na zipo 3 series weak.. E36 316i nayo ni 3 series.. Hii haiwezi mwendo wa Landcruiser kwa muda mrefu.. Toa facts za matuta.. Weka mkeka wa lami njia nzima..!
Na hii kitu imeshaongelewa.. Gari ndogo ya Toyota Passo dashboard inasoma 180..Gari kubwa ya Toyota 70 dashboard inasoma 180..wakienda umbali mrefu Passo hawezi kukeep up na 70 hata kama wote wana dashboard sawa..
Hapa naona watu wanatetea sababu logo imebadilika kutoka Toyota kwa BMW..!
Kupambana na Landcruiser unahitaji Engine kubwa sio logo ya BMW..!
Inategemea VX-R ya mwaka gani! Try it with 300 series Twin Turbo 3.5L V6 ndo utajua hujui!Kaa ukijua kuna 3 serise kwa mwendo zinamkalisha huyo VXR mapema tu
Noma sana. Ndio maana mimi nazikubali sana Toyota kwenye issue ya reliabilityHahahahahah unaenda pale kinyonge kuchapiwa mkeka wa bush zako ulizochakaza kwenye rastaπ π π usiombe ukakuta na shockup za Nissan mbovu pia utajutaπ
Mkuu ilikuwa huko nyuma.Gari nyingi za mjep zinaishia 180 hivyo hata angekanyaga mpaka kibati bado 180 ndio ungekuwa mwisho....
Mjerumani angempita tu...
Halafu pamoja na kwamba LC ina engine kubwa ila bado Sedan nyingi zenye smaller engines huwa zinachanganya faster huliko SUV...
With exception kwa gari kama Jeep Grand Cherokee Trackhawk Ambayo engine yake ina almost 800HP kasoro.
3 series wanajikoshaπTatizo linakuja pale ambapo hata hao wenye 3 series nao wanapotunishiana misuli na wenye VXR. Hizo kelele bora wapige wenye 7 series na wale wenye M Competiton labda.
Toyota we buruza rasta utakavyo mzee ukifika utarudi salama mjini bila tatizo ila usijaribu hio kwa mjerumani au mjapani mweupe NissanπNoma sana. Ndio maana mimi nazikubali sana Toyota kwenye issue ya reliability
Kimsingi hata mimi BMW hazinivutii yani chache sana kama ile X3 ya 2010 labda ndio walau naipenda ina taa nzuri na uso proportional na body!Muonekano? Teh BMW show ya mbele kwenye most cars ni mbaya bana na zile vents kama pua za nyati! [emoji23][emoji23]
Hapo kwenye muonekano hasa wa nje hebu muacheni Land Cruiser aisee bila kusahau mlio wa engine! Kwa muonekano BMW kazidiwa hadi na Mercedes Benz kuanzia body hadi interior designs!
By the way hivyo vitu kama muonekano na mlio wa engine ni subjective tu
Ni kweli ila sedan za wajerumani ziko vizuriToyota we buruza rasta utakavyo mzee ukifika utarudi salama mjini bila tatizo ila usijaribu hio kwa mjerumani au mjapani mweupe Nissanπ
Hhahahhaha iphone inanunuliwa na watu wa trends tu ila kimatumizi zaidi ya whatsapp na filter za snapchat unakuta mtu hana anachofanya na ikizingua kidogo lazma akuite umrekebishie maana haelewiπKwanza kabisa nimesema wengi na siyo wote. Watu wengi wanaonunia iPhone wanafuata mkumbo ili tu aonekane naye ana iPhone lakini hawajui kuzitumia.
Na ndiyo hao wanaolalamika kuwa oo iPhone sijui kila kitu ni cha kulipia mara kwenye iPhone hauna uhuru au hauwezi kufanya hiki na hiki kama kwenye android. Ukiuliza kwanini sasa umenunua iPhone hana majibu anajiumauma tu so waliofuata mkumbo wanajulikanaga tu.
Vipi tuwape hii au tunawaonea na hiyo VX-R L300Inategemea VX-R ya mwaka gani! Try it with 300 series Twin Turbo 3.5L V6 ndo utajua hujui!
Nissan mwenyewe kwenye sprint tu amekaa hafui dafu kwenye umeme wa 300 series!
Mzee namalizia kupuliza na haka ka mvuaaa ππππ taratibuu basiHii ID ya Holy Man naona modes wameifanyia mchakato ikawa Kijana wa hovyo hovyo.
Modes sio wa mchezo aisee.
Mkuu wangu unazungumzia barabara gani kwani? ( Maana kama tunatoka Dar hadi Chato ni mkeka tu ). kwanini mnajifichia kwenye visingizio vya barabara πππHata hiyo x5 huwezi kulinganisha na LC VX in terms of reliability. Kwenye mbio Beemer anaweza kumsumbua kidogo ila kwa safari ndefu kwa hizi barabara zetu za kuunga hapa na pale bado LC 200 aka Kilimo kwanza Hana mpinzani
Ziko vizuri kwa amenities na performance ila sio rugged kama Toyota! German are fancy cars. They are made to enhance driving experience with alot of techs.Ni kweli ila sedan za wajerumani ziko vizuri
Bei mkuu, na malengo ya utumikaji wake..Hizi gari hazijafanya vizuri sana sokoni kama Hilux. Jiulize kwanini?!
Sawa.Ziko vizuri kwa amenities na performance ila sio rugged kama Toyota! German are fancy cars. They are made to enhance driving experience with alot of techs.
Toyota are practical cars yani zimetengenezwa for the purpose of serving the need. Unataka kwenda point A to B without any issue na you wanna keep going then buy a Toyota. Wameamua kuzifanya gari zao kuwa exciting recently ila tofauti hio watu hawawezi iona kwa sababu wengi wanatumia gari za 2003-2010 kwa sasa!
Starting from 2015 experience ya Toyota imedrift kuwa bora zaidi wanaoinjoy ni wale wanaotumia gari recent models from Toyota. Pia wana luxury division ya Lexus ila hizi ni aghali sana wabongo wengi hawawezi afford ila ukipata lexus za toka 2013 ziko on par na many german cars in terms of comfort and ride quality.
Mzee baba hamna kisingizio cha barabara zaidi ya diversion tu za njiani hazikosekanagi!Mkuu wangu unazungumzia barabara gani kwani? ( Maana kama tunatoka Dar hadi Chato ni mkeka tu ). kwanini mnajifichia kwenye visingizio vya barabara πππ
Petrol tu, gari ya diesel ya kazi gani asee yamekuwa malori hayo.. root moja tu Dar es Salaam to Mwanza .. kwenda na kurudi.. mtakata mzizi wa fitinaMzee baba hamna kisingizio cha barabara zaidi ya diversion tu za njiani hazikosekanagi!
Mie natamani siku moja tuweke live league humu wenye hizo gari tuone maana kelele ni nyingi! Naamini VX-R zipo nyingi tu hapa mjini na hizo X5 zipo! Tuchague ruti tu watu wachakazane hapo tuone nani atawahi kufika maana kelele ni nyingi! Na hio X5 iwe diesel ili kwenda sawa.
Kama petrol basi wote wawe na petrol engines.
Ni mkeka Sawa ila kunakua na mashimo ya hapa na pale ya kushtukiza bila kusahau rasta na bumps. Hapo ndipo mjapan anapiga bao na LC 200Mkuu wangu unazungumzia barabara gani kwani? ( Maana kama tunatoka Dar hadi Chato ni mkeka tu ). kwanini mnajifichia kwenye visingizio vya barabara πππ
Pick up siku zote zinajulikana kama gari za field sasa mjeruman badala kutengeneza gari simple kwa ajili ya kazi yeye akakimbilia kuwekwa vikorombwezo kibao matokeo yake zikamchachiaBei mkuu, na malengo ya utumikaji wake..