Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Haya jiue tupate kuaminisha uyasemayo, bila hivyo, inaonesha mambo ya madiwani (chopa tatu madiwani watatu) halafu Kalenga na ukifikiria Chalinze unaweweseka kama ulivyoambiwa juu huko.

Nna uhakika bangi ya leo ni ile inayoleta uchizi.
penye red tuko pamoja,
Ila hapo pengine najua ni uchungu wa mheshimiwa zitto ndio unakukabili. ha ha ha, haya
bhana kama na we mkigoma, kaundeni chama chenu, mkiite ''TUTIGITE DEMOCRACY PARTY'' tuone kama mtaweza japo kununua hata ka-chopper kamoja.Chaedma bila MM 😛eace:inawezekana.
CCM wanasaidiwa na polisi siku zote:tape: hata baba yao kikwete amewahi kusema hili. Hawana kipya wale baada ya kuona wazenji hawataki muungano wao wamekazana iundwe serikali tatu. Bado wanasera za kibeberu. ndio afrika anyway
 
ukikaa njaa siku nyingi, bila kujinyonga ama kula sumu ama kujipiga risasi, au kuanguka kwenye gorofa, unaweza kuondoka..If that is the Case.Yericko tupo yako.
 
ukikaa njaa siku nyingi, bila kujinyonga ama kula sumu ama kujipiga risasi, au kuanguka kwenye gorofa, unaweza kuondoka..If that is the Case.Yericko tupo yako.

aisee!
 

Thibitisha.
 
Naona New Age movement inapamba moto duniani!
 
Mkuu naona hapa umepost kwa kuwa ulistahili kuanzisha mjadala ila si kwa kuwa ulikuwa na mjadala wa kuanzisha!
 
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...

Nonsense!
 
 
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...

Wanaogopa kifo utawajua tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…