Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Angalia movie inaitwa Eternal haya uliyoyasema yamo

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii kitu mimi pia huwa inanifikirisha,unajua ilimradi ukiwa hai lazma uhangaike hapa duniani,ndo maana mimi huwa nasema tunawajibikia uhai,huwa nashangaaa wanaposema uhai tumepewa bure hakuna cha bure ,ndo maana mtu akifa japo hatujui anakoenda ila huwa tunasema amejikomboa na shida za duniani.
Kiukweli ukiacha dhana za dini,sisi binadamu huwa naona kama ni mradi wa kitu flani,sababu ukizaliwa lazma tu ufe why.Yaani hakuna alternative ya hilo mpaka sasa ,uwe masikini,jasiri mnyonge ,mwenye huruma suala la kufa liko pale pale tu nouma sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-61081883.jpg
 
Mifugo hoyee..? Mifugo mpoo..? Mmenona hamjanonaa..??
Bado kidogo japo tupewe miaka 70 alafu ujeeee utachinje,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harooo ukweli mchungu unakuta unazaliwa hadi unazeeka haujui sababu ya kuwa duniani, nimekuja kula, aaah nimekuja kuoo,,, nimekuja kutafuta pesa,aaah ,nimekuja kula bia na mbususu aanh ilaa
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Mkuu
Umeweza sana kujenga hoja, lakini unahitaji kutafakari sana kuhusu walioenda kwa Mungu na kurudi wanasemaje
 
Elon musk anajua yote haya, anajua kilicho wakuta dainaso ipo siku hapa earth hakuta tosha na izo nuclear za mjomba hapo korea zitakuwa zinajipa zenyewe juu ya moto dunia kwisha withing 10 minutes
 
Mkuu
Umeweza sana kujenga hoja, lakini unahitaji kutafakari sana kuhusu walioenda kwa Mungu na kurudi wanasemaje
Nimesikiliza wazungu na waswahili mbaya zaid au nzur wote story zinafanana 😂😂Elohim hana masihara chezeni mapiano tu mtaona moto.
 
nimejikuta naikumbuka jamii forum ya watu wa zamani ya miaka ile watu walikua na hekma sana ktk swala zima la uandishi na maono juu ya mambo mbalimbali ila hii jamii ya sass daah
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.

Afadhali umeliweka hili wazi👉Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha👈Hii inanifanya nisi argue na wewe,zaidi ya kukuona tu kwamba ni mtu uliye potoka.So to you the Bible is a fabrication,isn't it.Anyway,you have the right to believe whatever you want,but time will tell whether your faith is the right faith or not.At time ' t' you Magallah,will confess that Jesus Christ is Lord,and the righteous of God na kwamba unayofikiria yote ni upuuzi mtupu.Read this⬇️.

Wafilipi 2:9-11
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
 
Back
Top Bottom