Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Hujaweza ku prove Mungu yupo.

Halafu huelewi kwamba ku prove si lazima kuoneshwa Mungu huyu hapa.

Unafanya logical non sequitur.

Huwezi abstract thinking.
Ww kwel kiranga !😂😂 siwez kukuprovia coz mungu une msikia au unae tamani kumjua ww na UHAKIKA ni tofauti na Mm.am not believing in one God then Gods are many the powerful one called the most high. But for me i believe that there is the power beyond the void, the one true dimension that all power and knowledge are rest, The point of creation, the (cps) centre power source
And i guess during the Elohim(Eternal one) purnishemnt something will raise to rescure the victims.(Gods idea)
Okey apart from that tell me what do you think, know or understand when you hear the word God?
 
Ww kwel kiranga ![emoji23][emoji23] siwez kukuprovia coz mungu une msikia au unae tamani kumjua ww na UHAKIKA ni tofauti na Mm.am not believing in one God then Gods are many the powerful one called the most high. But for me i believe that there is the power beyond the void, the one true dimension that all power and knowledge are rest, The point of creation, the (cps) centre power source
And i guess during the Elohim(Eternal one) purnishemnt something will raise to rescure the victims.(Gods idea)
Okey apart from that tell me what do you think, know or understand when you hear the word God?
Unajuaje hicho unachokiamini kuwa Mungu/Miungu kipo kweli na si hadithi za kutungwa tu?
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Aisee!
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Inawezekana kabisa unachoongea ndio kilichopo 🤔
Maana haimake sense jamaa anatuumba alafu hatuoneshi wala kutuambia tufanye nini. Zaidi tu ya watu toka nje ya nchi yetu kuja na kutuambia inabidi tufanye nini lakini wala hakuna miungu iliyowahi kufanya jitihada zozote za kutujuza kwanini imetuweka duniani 🤔
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Kama unavyomfuga kuku na muda wwote unaweza kumchinja, sisi ndivyo tulivyo anytime tunachinjwa tu.

“The gods envy us. They envy us because we’re mortal, because any moment may be our last. Everything is more beautiful because we’re doomed. You will never be lovelier than you are now. We will never be here again.”​

 
Ukishaanza kuandika "Am not beleive..." tu unanichosha kujadiliana nawe.
Typing Errors sio tatizo hapo. By the way kumbe uko mweupe Unatafuta ubishani tu. HAYA Hakuna MUNGU uwe na siku njema.
 
Typing Errors sio tatizo hapo. By the way kumbe uko mweupe Unatafuta ubishani tu. HAYA Hakuna MUNGU uwe na siku njema.
"Am not..." is not a typing error.

Wewe huwezi ubishani kwa sababu huna point.

Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.
 
"Am not..." is not a typing error.

Wewe huwezi ubishani kwa sababu huna point.

Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.
😃 niliona iyo beleive(believe). Ok atleast uwe hata unifunze kingereza sasa ilitakiwa iwaje hapo kwenye am not. Maana haya mengine uelewa wako ni wa hali ya chini sana
 
[emoji2] niliona iyo beleive(believe). Ok atleast uwe hata unifunze kingereza sasa ilitakiwa iwaje hapo kwenye am not. Maana haya mengine uelewa wako ni wa hali ya chini sana
Kwanza jifunze Kiingereza usome mengi ambayo hayajaandikwa Kiswahili.

Halafu labda tutaweza kujadiliana vizuri.

Kwa sasa naona kama namfundisha kipofu tofauti ya rangi kupitia kumpigia gitaa mwalimu wake ambaye ni kiziwi.

Bila malipo.
 
Kwanza jifunze Kiingereza usome mengi ambayo hayajaandikwa Kiswahili.

Halafu labda tutaweza kujadiliana vizuri.

Kwa sasa naona kama namfundisha kipofu tofauti ya rangi kupitia kumpigia gitaa mwalimu wake ambaye ni kiziwi.

Bila malipo.
We kwel kiranga😂😂🚮🚮
 
Wewe ni useless kwenye ulimwengu,ni mtu uliyekata Tamara,ni mjinga,Kama ndio unavyowaza,yaani,ulizaliwa,unakula,mwisho kufa na kuzikwa basi!!!huchangii chochote duniani!!
Hutaki kuwa Dangote,Bakheresa,Diamond,Bill gate,martin Luther king,Michel faraday(aliyegundua umeme,unaoutumia kuchaji cm yako,fala wewe).
Sasa kama watu wote wangewaza kama wewe!!hii sayansi na maendeleo angeleta nani!?
Upo duniani kuleta mchsngo wowote,katika nyanja mbali mbali,Ili siku ukiondoka uiache Dunia vzr zaidi ya ulivyoikuta,
Wote tutakufa,we have nothing to loose!!sasa Kuna ubaya gani ukitafuta ukwasi,magsri,majumba,mifugo ukawa nayo Mengi!!mpaka kizazi chako Cha sita kizikute!!ubaya upo wapi??acha kuwa mbinafsi!!?pigika utakaowaaacha wafaidike!ufe ukiwa umepigika,au haujapigika,utaoza tu!!?so why not
Kupambana anapambana ila anajua mwsho wake ataliwa TU...(na shetani)

Najaribu kumuelewa nashindwa kabisa,ILA SHETAN YUPO...
 
Mleta uzi umeshiba wali mandondo unaanza mbwembwe zako humu [emoji848]
 
Watu kama nyie ndio mnaifanya bangi iitwe madawa ya kulevya
 
Kama inakuja inakataa Ila kusudi kuu la Mungu kuumba Mwanadamu ni Hili Tumuabudu kusudi la Kwanza Ni ili wakatawale nch
 
Back
Top Bottom