Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

"Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha"

Hebu nieleze kuhusu mimi kwa kuutumia hayo maarifa yako binafsi, chochote unachojua kuhusu mimi ambacho sijakidhihirisha?

Bila shaka huwezi kunielezea, kama mimi mwenyewe sijakueleza.

Sasa kama jambo hili ni muhali kwetu sisi wanaadamu wenyewe ikiwa kama hatufahamiani, vipi kwa yule anayemuelezea mungu kwa kutumia akili yake tu?

Na chochote unachokijua kuhusu mimi, hiyo ndiyo elimu kinyume chake ni ujinga, na hakuna kujua jambo (maarifa) bila ya kuwa na elimu nalo.

Hivyo kwa akili ya kawaida tu, utagundua kuwa Kila yule ambaye anamuelezea mungu au matendo ya mungu kwa utashi wake basi anakuwa anakosea.

By the way mfugo mwenyewe mimi sio mfugo.
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Thibitisha Mungu yupo.
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Uliposema tu shetwani na Mungu wana sifa zinazofanana ndipo nilipojua dishi lako haliko vizuri.
🤣🤣🤣🤣
 
Binadamu hana jipya lolote hapa duniani zaidi ya kuwa ni mazao au mifugo inayofugwa na kile kinachoitwa Mungu ili apata chakula kitakacho muhakikishia uwepo wake.

Kama unavyoona unafuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k ili tu mwisho wa siku upate kitoweo.

Pia kama unavyohangaika kulima mazao mbalimbali au kununua chakula ili tu uweze kula na kuishi hapa duniani kwa raha mustarehe.

Basi hivyo ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, naye kapanda mifugo yake hapa duniani ambayo ni sisi binadamu ili aweze kujipatia chakula chake naye aweze kusavaivu.

Tofauti ya wewe na Mungu katika kula kile mlichikitengeneza ni kwamba binadamu unakula mwili uwe wa mboga,matunda,mnyama au ndege wakati Mungu anakula nafsi ya binadamu na kuachana na mwili.

Ni hivi wakuu, nafsi ya binadamu ni chakula cha Mungu alichojitengenezea ili aweze kusavaivu. Yaani ni hivi, Mungu anategemea sana nafsi zetu tofauti na tunavyofikilia.

Kama ulivyo wewe vitu vilivyohalibika huli, basi na kwa Mungu ipo hivyo hivyo nafsi zilizohalibika naye hali. Ndiyo maana ukitaka kumuuzi Mungu wewe chafua nafsi yako tu. Kama ulivyo wewe hupendi kupata hasara kwenye mifugo yako na mazao yako, basi hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu naye hapendi kupata hasara kweye mazao yake(nafsi).

Shetani na Mungu wanasifa zinazofanana kwa hiyo wote wanategemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu. Chanzo cha mgogoro na ugomvi usioisha kati ya Mungu na shetani ni kutegemea nafsi za binadamu ili waweze kusavaivu.

Shetani anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake na Mungu naye anahitaji nafsi nyingi kama chakula chake. Kumbe mgogoro kati ya Shetani na Mungu ni mgogoro wa kimaslahi.

Ndiyo maana kwa Shetani nafsi ya binadamu ni kitu cha muhimu sana kama ilivyo kwa Mungu kuwa nafsi ni kitu cha muhimu sana kiliko kitu chochote hapa duniani.

Wazee ipo hivi, leo kuku au ng'ombe wako anapoambiwa umemfuga ili umchinje anaweza akabisha mpaka basi, basi hivyo ndivyo ilivyo hata wewe nikikuambia kuwa hapa duniani huna jipya zaidi tu umefugwa ili nafsi yako iwe chakula aidha cha Mungu au Shetani basi utabisha mpaka utachanganyikiwa.

Dini,sala,swala,dua au maombi ni mbolea tu ya kumwagilia na kuboresha na kufanya chakula cha Mungu(nafsi yako) iwe safi. Kama wewe unavyohudumia mifugo yako na mazao yako ili yasihalibika basi hivyo ndivyo ilivyo kwa sala na swala kwa binadamu.

Mungu na Shetani hawawezi kuwepo kama nafsi za binadamu hazipo. Maana wote wanategemea nafsi hizi ili waweze kusavaivu. Ndicho chakula chao.

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Basi huyo atakua siyo Mungu ,Mungu gani anategemea kujifeed ndio aishi ,kabla hajawa Mungu nani alimfeed sasa na kama ni hivyo sisi tuliumbwa naye ,maana shart mwanzo wake awepo binadamu,kama vile tulivyoumbwa na wanyama.
 
Mkuu hii kitu mimi pia huwa inanifikirisha,unajua ilimradi ukiwa hai lazma uhangaike hapa duniani,ndo maana mimi huwa nasema tunawajibikia uhai,huwa nashangaaa wanaposema uhai tumepewa bure hakuna cha bure ,ndo maana mtu akifa japo hatujui anakoenda ila huwa tunasema amejikomboa na shida za duniani.
Kiukweli ukiacha dhana za dini,sisi binadamu huwa naona kama ni mradi wa kitu flani,sababu ukizaliwa lazma tu ufe why.Yaani hakuna alternative ya hilo mpaka sasa ,uwe masikini,jasiri mnyonge ,mwenye huruma suala la kufa liko pale pale tu nouma sana
Husijekua chinjachinja uko mbeleni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa huoni ww ni mpuuzi [emoji23][emoji23]. Yani hujui ulipo toka!!
Logical non sequitar.

Unachanganya pamoja mambo ambayo hayana uhusiano.

Inawezekana mimi ni mpuuzi kama unavyodai.

Lakini hilo si suala la msingi.

Suala la msingi ni uwepo wa Mungu.

Na hata mimi nikiwa mpuuzi, hilo bado halithibitishi Mungu yupo.

If anything, linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wa yote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unaruhusu mtu mpuuzi awepo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Logical non sequitar.

Unachanganya pamoja mambo ambayo hayana uhusiano.

Inawezekana mimi ni mpuuzi kama unavyodai.

Lakini hilo si suala la msingi.

Suala la msingi ni uwepo wa Mungu.

Na hata mimi nikiwa mpuuzi, hilo bado halithibitishi Mungu yupo.

If anything, linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wa yote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unaruhusu mtu mpuuzi awepo.

Thibitisha Mungu yupo.
Ww mwenyewe ujui ulipo toka utamjuaje usie mwona? Jitafute mwenyewe
 
Ww mwenyewe ujui ulipo toka utamjuaje usie mwona? Jitafute mwenyewe
Umeanza ku assume huyo unayemsema nisiye muona yupo.

Unaweza kuthibitisha kweli yupo na habari hizo si hadithi za uongo tu?
 
Umeanza ku assume huyo unayemsema nisiye muona yupo.

Unaweza kuthibitisha kweli yupo na habari hizo si hadithi za uongo tu?
Siko hap kuprove kama mungu yupo au hayupo, najaribu kukupa mwangaza tu. Now days binadamu tunaagaika kujua wapi tumetoka au tumetokana na nn? How and for how long.
Sasa ww kila siku naona unakazana kuuliza watu waprove kama mungu yupo.😂😂.yan utakana uoneshwe kwamba mungu ndo huyu apa.
Ukiona mtu anachunga mifugo kama mbuzi ngo'mbe mara nyingi mifugo hiyo si yake.
 
Siko hap kuprove kama mungu yupo au hayupo, najaribu kukupa mwangaza tu. Now days binadamu tunaagaika kujua wapi tumetoka au tumetokana na nn? How and for how long.
Sasa ww kila siku naona unakazana kuuliza watu waprove kama mungu yupo.[emoji23][emoji23].yan utakana uoneshwe kwamba mungu ndo huyu apa.
Ukiona mtu anachunga mifugo kama mbuzi ngo'mbe mara nyingi mifugo hiyo si yake.
Hujaweza ku prove Mungu yupo.

Halafu huelewi kwamba ku prove si lazima kuoneshwa Mungu huyu hapa.

Unafanya logical non sequitur.

Huwezi abstract thinking.
 
Back
Top Bottom