Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Hujaweza ku prove Mungu yupo.

Halafu huelewi kwamba ku prove si lazima kuoneshwa Mungu huyu hapa.

Unafanya logical non sequitur.

Huwezi abstract thinking.
Ww kwel kiranga !๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ siwez kukuprovia coz mungu une msikia au unae tamani kumjua ww na UHAKIKA ni tofauti na Mm.am not believing in one God then Gods are many the powerful one called the most high. But for me i believe that there is the power beyond the void, the one true dimension that all power and knowledge are rest, The point of creation, the (cps) centre power source
And i guess during the Elohim(Eternal one) purnishemnt something will raise to rescure the victims.(Gods idea)
Okey apart from that tell me what do you think, know or understand when you hear the word God?
 
Unajuaje hicho unachokiamini kuwa Mungu/Miungu kipo kweli na si hadithi za kutungwa tu?
 
Aisee!
 
Inawezekana kabisa unachoongea ndio kilichopo ๐Ÿค”
Maana haimake sense jamaa anatuumba alafu hatuoneshi wala kutuambia tufanye nini. Zaidi tu ya watu toka nje ya nchi yetu kuja na kutuambia inabidi tufanye nini lakini wala hakuna miungu iliyowahi kufanya jitihada zozote za kutujuza kwanini imetuweka duniani ๐Ÿค”
 
Kama unavyomfuga kuku na muda wwote unaweza kumchinja, sisi ndivyo tulivyo anytime tunachinjwa tu.

โ€œThe gods envy us. They envy us because weโ€™re mortal, because any moment may be our last. Everything is more beautiful because weโ€™re doomed. You will never be lovelier than you are now. We will never be here again.โ€​

 
Ukishaanza kuandika "Am not beleive..." tu unanichosha kujadiliana nawe.
Typing Errors sio tatizo hapo. By the way kumbe uko mweupe Unatafuta ubishani tu. HAYA Hakuna MUNGU uwe na siku njema.
 
Typing Errors sio tatizo hapo. By the way kumbe uko mweupe Unatafuta ubishani tu. HAYA Hakuna MUNGU uwe na siku njema.
"Am not..." is not a typing error.

Wewe huwezi ubishani kwa sababu huna point.

Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.
 
"Am not..." is not a typing error.

Wewe huwezi ubishani kwa sababu huna point.

Umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo.
๐Ÿ˜ƒ niliona iyo beleive(believe). Ok atleast uwe hata unifunze kingereza sasa ilitakiwa iwaje hapo kwenye am not. Maana haya mengine uelewa wako ni wa hali ya chini sana
 
[emoji2] niliona iyo beleive(believe). Ok atleast uwe hata unifunze kingereza sasa ilitakiwa iwaje hapo kwenye am not. Maana haya mengine uelewa wako ni wa hali ya chini sana
Kwanza jifunze Kiingereza usome mengi ambayo hayajaandikwa Kiswahili.

Halafu labda tutaweza kujadiliana vizuri.

Kwa sasa naona kama namfundisha kipofu tofauti ya rangi kupitia kumpigia gitaa mwalimu wake ambaye ni kiziwi.

Bila malipo.
 
Kwanza jifunze Kiingereza usome mengi ambayo hayajaandikwa Kiswahili.

Halafu labda tutaweza kujadiliana vizuri.

Kwa sasa naona kama namfundisha kipofu tofauti ya rangi kupitia kumpigia gitaa mwalimu wake ambaye ni kiziwi.

Bila malipo.
We kwel kiranga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Kupambana anapambana ila anajua mwsho wake ataliwa TU...(na shetani)

Najaribu kumuelewa nashindwa kabisa,ILA SHETAN YUPO...
 
Mleta uzi umeshiba wali mandondo unaanza mbwembwe zako humu [emoji848]
 
Watu kama nyie ndio mnaifanya bangi iitwe madawa ya kulevya
 
Kama inakuja inakataa Ila kusudi kuu la Mungu kuumba Mwanadamu ni Hili Tumuabudu kusudi la Kwanza Ni ili wakatawale nch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ