Mungu ni dhana ya kufikirika isiyo kuwepo inayo dhaniwa kwamba eti ndicho chanzo cha Dunia na kila kitu.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni muweza wa yote, Ila kashindwa kudhibiti uovu na mabaya.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni mwenye kujua yote, ila kashindwa na alishindwa kumdhibiti huyo shetani mapema.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni mwenye Upendo, huruma na mwema sana. Ila kwa ukatili,uovu, mabaya, mateso, magonjwa, majanga ya asili yaliyopo Duniani yana dhihirisha na kuthibitisha Mungu huyo hayupo.
Mungu huyo mwenye Sifa tajwa hapo juu kwa mujibu wa waamini Mungu, Angekuwepo...
Unge kuwa hata huhitaji kumuomba kitu, Maana yeye Mungu mjuzi wa vyote angelitambua mahitaji yako kabla hata hujamuomba.
Hivyo Mungu huyo hayupo.