Haimaanishai sabu huwezi ku prove something bas haki existKitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna zifuatazo:
Kuonekana, Kushikika, Kusikika na kuhisika.
Upepo upo kwa "kusikika" unapo vuma na kutambuliwa upo.
Baridi na joto vipo kwa "kuhisika" na hapa vinatambuliwa vipo.
Akili Haipo kwenye uhalisia. Akili ni neno la kufikirika tu kuonyesha hali fulani ya uwezo wa fikra za mwanadamu.
Sasa, Mungu hayupo kwa namna yoyote ile Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na wala Haisiki.
Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu Imagination just an illusion.
Na pia ukisema ili kitu kiwepo angalau kiweze kuonekana,kushikika, kusikika na kuhisikiaKitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna zifuatazo:
Kuonekana, Kushikika, Kusikika na kuhisika.
Upepo upo kwa "kusikika" unapo vuma na kutambuliwa upo.
Baridi na joto vipo kwa "kuhisika" na hapa vinatambuliwa vipo.
Akili Haipo kwenye uhalisia. Akili ni neno la kufikirika tu kuonyesha hali fulani ya uwezo wa fikra za mwanadamu.
Sasa, Mungu hayupo kwa namna yoyote ile Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na wala Haisiki.
Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu Imagination just an illusion.
Kwenye hoja ya uumbaji yeye hata sayansi anasema haina majibu kuhusu chanzo cha vitu vingi!!!Kuna mengi sayansi haiwezi kuyaelezea au kuyathibitisha ila yapo
Mkuu leo naandika programu ya kukokotoa calculus yenyewe inataka ikokotoe magazijuto? Then nisipo i update iende ikaziambie program zingine kuwa designer wetu hayupoMungu ni dhana ya kufikirika isiyo kuwepo inayo dhaniwa kwamba eti ndicho chanzo cha Dunia na kila kitu.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni muweza wa yote, Ila kashindwa kudhibiti uovu na mabaya.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni mwenye kujua yote, ila kashindwa na alishindwa kumdhibiti huyo shetani mapema.
Waamini Mungu wanasema Mungu ni mwenye Upendo, huruma na mwema sana. Ila kwa ukatili,uovu, mabaya, mateso, magonjwa, majanga ya asili yaliyopo Duniani yana dhihirisha na kuthibitisha Mungu huyo hayupo.
Mungu huyo mwenye Sifa tajwa hapo juu kwa mujibu wa waamini Mungu, Angekuwepo...
Unge kuwa hata huhitaji kumuomba kitu, Maana yeye Mungu mjuzi wa vyote angelitambua mahitaji yako kabla hata hujamuomba.
Hivyo Mungu huyo hayupo.
Kuna siku nikiwahi kuwaambia wanajamvi kuwa science nayo ni dini kama dini zingine kwa sababu vitu vingi tumefundishwa kwenye the so called science especially evolution na big bang theory bila evidence zozote..JUST BELIEVE IT HAPPENED....IT IS A SCIENCEKwenye hoja ya uumbaji yeye hata sayansi anasema haina majibu kuhusu chanzo cha vitu vingi!!!
Kwa nini unadhani binadamu hatuna muda mrefu duniani??Me nikiangalia maendeleo yaliotokea katika kipindi Cha maisha yangu nadhani duniani Binadamu hatuna muda mrefu sana Toka tumekuja kuishi duniani
Thibitisha sasa creator huyo yupo kwa namna gani?Mkuu leo naandika programu ya kukokotoa calculus yenyewe inataka ikokotoe magazijuto? Then nisipo i update iende ikaziambie program zingine kuwa designer wetu hayupo
Suala la sisi kuamini au kutoamini kuwa creator wetu yupo haibadili fact ya kuwepo kwa designer wa hii planet
Sasa wewe prove kwamba Mungu ana exist.Haimaanishai sabu huwezi ku prove something bas haki exist
Kama binadamu tuna elezea kitu tukiegemea kwenye suala la muda, matter na spaceIpo hivi
Mara nyingingi binadamu tunaelezea kitu tukiegema kwenye suala la
-Muda(time),
-Space(mahala/eneo/sehemu n.k),
-Mada(matter)
Hivi ndio paramater(uwezo)zetu kwenye kupambanua mambo. Mfano mtu anapouliza muumba/creator alitoka au alikaa wapi(mahali) anavoumba au ni lini(muda)alifanya huo uumbaji au utengendezaji na kwa kutumia nini(matter).
Kama muumba/creator huyo hawezi kuelezewa na kueleweka na wanadamu, Alifahamika vipi yupo?Hii inakuwa sawa na progarmu ya computer ijaribu kumfahamu injinia wa programu husika kwa kutumia programu hiyohiyo aliyoitengeneza huyo programer(tuchukulie hiyo programmer hajaandika program ya kumwelelezea mwanadamu yaani program iende nje ya parameter zake)
Unapoongela muumba/creator wa mwanadamu na universe kwa ujumla maana yake huwezi kumwelezea au kumwelewa
Sisi ni watumwa wa time, space and matter. Sasa aliyesema Mungu yupo alitumia vitu gani tofauti na hivi kujua na kusema kwamba Mungu huyo yupo?kwa kutumia hivo vitu yaani time, space and matter maana hizo ni variables ambazo yeye amezitengeneza na yupo nje ya hizo variable yaani kama programmer anapokuwa nje ya computer akibuni parameters na variables za programu yake
Sisi ni watumwa wa time space and matter ila surely creator au designer wetu hivo vitu wamevitengeneza wenyewe huwezi kuwa define based on that
Vitu hivyo ni kama vipi?Mimi naota hata vitu ambavyo sijawahi kuviona wala kuvisikia hapa duniani...
Ndio maana point yako nmeita ni uongo..
Yani umeandika tu ilimradi wala data hauna, kwa ufupi ni kwamba research hujawahi kufanya.
Na uwepo wa huyo Mungu kama chanzo, Una evidences gani?Kuna siku nikiwahi kuwaambia wanajamvi kuwa science nayo ni dini kama dini zingine kwa sababu vitu vingi tumefundishwa kwenye the so called science especially evolution na big bang theory bila evidence zozote..JUST BELIEVE IT HAPPENED....IT IS A SCIENCE
Mzee mimi lengo langu kuu sio kukuthibitishia kuwa mungu yupo hilo ni swali ambalo majibu tunayo ndani ya mioyo yetu wenyeweNa uwepo wa huyo Mungu kama chanzo, Una evidences gani?
Na uthibitisho upi?
Mimi point yangu ni kwamba, Dunia na Binadamu havina mwanzo wowote ule.Mzee mimi lengo langu kuu sio kukuthibitishia kuwa mungu yupo hilo ni swali ambalo majibu tunayo ndani ya mioyo yetu wenyewe
My point ni kuwa there are lot of thing in our universe we cant prove using our current technology but the are there
Ukweli ni kwamba hata wewe man of science huwezi kunipa uthibitisho wa vitu vingi kwenye science mfano tu naomba tuanze na uthibitisho wa big babg theory
Hilo swali nimeshajibu. Nimechagua Binadamu Kwa kuwa ni sisi. Kwa mfano nichague mbuzi wakati hata sijui anauonaje ulimwengu??Kwani mbuzi na jamii yake wanaelezeka, Kwa Nini umeona binadamu tu ndio haeleweki?
Yote mawili...na kwa nini isipungue au kuongezeka hata mia???Unapata au una itafuta ndio uipate?
Ulimwengu unaouona wewe sio tunaouona sisi....zingatia afya ya akili.Hilo swali nimeshajibu. Nimechagua Binadamu Kwa kuwa ni sisi. Kwa mfano nichague mbuzi wakati hata sijui anauonaje ulimwengu??
Kwa ivo wewe ukiona mtu anatabasamu mimi nitaona embe linadondoka toka kwenye mwembe??Ulimwengu unaouona wewe sio tunaouona sisi....zingatia afya ya akili.
Unapenda kudanganywa!Kwa ivo wewe ukiona mtu anatabasamu mimi nitaona embe linadondoka toka kwenye mwembe??
Jee mbuzi nao wanajua kama kuna Afya timamu ya akili au upungufu wa Utimamu wa Afya ya akili???