Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Tatizo watu wengi hutaka kuonesha kwamba binadamu hana upekee wowote ule dhidi ya "wanyama" wengine kama yeye.
Wenye hoja hii Wanasema binadamu anajikweza tu, ila hana tofauti yoyote ile na chura au kunguru.
Kila kiumbe hai kina upekee wake na sio binadamu tu