Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Dini yako ya Uislam ilianza karne ya 7. Haikuwahi kuwepo kabla ya hapo.

Huu ni ukweli mchungu ambao you have to swallow it.

Hakuna maandishi yoyote YA KABLA YA MOHAMAD yanayothibitisha uwepo wa Uislam. HAYAPO.

Narudia tena, HAYAPO. Kama yapo YAWEKE HAPA.
UISLAM ULIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMMAD

NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,


5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;



HIZI NI NGUZO 5 ZA UISLAM NDANI YA BIBILIA

NITARUDI TENA KUJA KUKUONYESHA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA
 
UISLAM ULIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMMAD

NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,


5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;



HIZI NI NGUZO 5 ZA UISLAM NDANI YA BIBILIA

NITARUDI TENA KUJA KUKUONYESHA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA
Lete ya mtume Mohammad .
Haya ni matendo ya watu wa kipindi hicho. We muislamu uliyesoma bible.
 
UISLAM ULIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMMAD

NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,


5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;



HIZI NI NGUZO 5 ZA UISLAM NDANI YA BIBILIA

NITARUDI TENA KUJA KUKUONYESHA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA
Hahahaha...
Leo hii Biblia imekuwa reliable source ya kutetea Uislam. Wonders shall never end.

Unatetea Uislam kupitia Biblia usiyoiamini (ambayo mnadai imechakachuliwa). Si huwa mnadai Biblia imechakachuliwa nyie!!!

Hayo maneno uliyonukuu kutoka kwenye Biblia wewe unayaamini?

Hiyo Biblia uliyonkukuu hapo, Haijachakachuliwa?
 
Hahahaha...
Leo hii Biblia imekuwa reliable source ya kutetea Uislam. Wonders shall never end.

Unatetea Uislam kupitia Biblia usiyoiamini (ambayo mnadai imechakachuliwa).
Hayo maneno uliyonukuu kutoka kwenye Biblia wewe unayaamini?Hayajachakachuliwa?
Sijaona uislamu hapa. Haya ni matendo ambayo yalikuwepo sa wapi pameandikwa uislam . Dini ya uislam na waislamu vitu tofauti kabisa 😁😁😁
 
Hahahaha...
Leo hii Biblia imekuwa reliable source ya kutetea Uislam. Wonders shall never end.

Unatetea Uislam kupitia Biblia usiyoiamini (ambayo mnadai imechakachuliwa). Si huwa mnadai Biblia imechakachuliwa nyie!!!

Hayo maneno uliyonukuu kutoka kwenye Biblia wewe unayaamini?

Hiyo Biblia uliyonkukuu hapo, Haijachakachuliwa?
Wewe unaiamini huiamini?
 
Lete ya mtume Mohammad .
Haya ni matendo ya watu wa kipindi hicho. We muislamu uliyesoma bible.
Wewe umeoneshwa hapo Uislam upo kabla ya Mtume Muhammad, Sala Allahu alayhi Wasalaam.

Ni nini usichokielewa hapo? Au mradi ubishe tu? Hizi ni ishara za waoga wa kijinga kwa Uislam (Islamophobes).

Usichoekielewa ni kuwa Uislam ni kwa yeyote na wakati wote kasoro wale wanaompinga Mwenyezi Mungu tu.
 
Naona migambo wa bwana Mudi mnaruka na kukanyagana. Kumbe hii dini nayo inajichanganya tuu
 
Kati ya wewe na mtoa uzi nani yupo gizani? Maana naona hamuongei lugha moja japo wote ni waislam
Huo ni mtazamo wako, kwa mtazamo wangu mleta mada siyo Muislam. Nini kilichokufanya ukadhani kuwa mleta mada ni Muislam? Jina pekee halimfanyi mtu kuwa wa dini fulani.

Uislam na "Muislam" ni vitu viwili tofauti. Unachotakiwa kukifata ni Uislam siyo Muislam.
 
Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.

Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Duniani kuna aina 2 za ibada,kumuabudu shetena na kumuabudu mungu watu wako makundi hayo 2 hao watu unao wasema walikuwa wamuabudu nn
 
Huo ni mtazamo wako, kwa mtazamo wangu mleta mada siyo Muislam. Nini kilichokufanya ukadhani kuwa mleta mada ni Muislam? Jina pekee halimfanyi mtu kuwa wa dini fulani.

Uislam na "Muislam" ni vitu viwili tofauti. Unachotakiwa kukifata ni Uislam siyo Muislam.
Sa kama unalijua hilo mbona unapaniki... kwahiyo tusihoji maana kuna mambo yanafanyika kwenye uislamu ila maandiko hayajasema hivo. QUR'AN Ni mwongozo wa uislamu ila yanafuatwa yaliyomo kwa Quran? Acha kuteseka..... Mwenyezi Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa ukosefu wa maarifa sio ukosefu wa elimu.
.. Maana ya elimu na maarifa unafahamu.

Unaweza kuwa na elimu ila maarifa zero.. wengi ya waislam wako na ilimu ila hawana maarifa. QUR'AN INASOMWA KAMA GAZET....
......... kuzaliwa muislam hainifanyi nikae bila kuuliza ninachokifuata ni sahihi au laah?
 
Hizi dini ziliharibu Ibada zetu, mf. Wakati wa ukame wazee wanaongoza Ibada na mvua inanyesha. Leo tumia Bible, piga magoti mpaka yachubuke huoni tone la mvua, sio jadi yetu, tulipokea mapokeo ambayo hatuyajui. Big up kwa Ibada zetu za jadi.
 
Hahahaha...
Leo hii Biblia imekuwa reliable source ya kutetea Uislam. Wonders shall never end.

Unatetea Uislam kupitia Biblia usiyoiamini (ambayo mnadai imechakachuliwa). Si huwa mnadai Biblia imechakachuliwa nyie!!!

Hayo maneno uliyonukuu kutoka kwenye Biblia wewe unayaamini?

Hiyo Biblia uliyonkukuu hapo, Haijachakachuliwa?
Watu wanakula EMBE lililowekwa KIKAPUNI,alafu wewe unalazimisha kuwa watu wanakula KIKAPU![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi dini ziliharibu Ibada zetu, mf. Wakati wa ukame wazee wanaongoza Ibada na mvua inanyesha. Leo tumia Bible, piga magoti mpaka yachubuke huoni tone la mvua, sio jadi yetu, tulipokea mapokeo ambayo hatuyajui. Big up kwa Ibada zetu za jadi.
Zile ibada zilikuwa zinafika straight kwa Mungu. Mvua hiyo. Now TUPO km vichaa tumepoteza connection Ile muhimu sana
 
Back
Top Bottom