Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Siwadharau ila najaribu kueleza ni kwa kiasi gani dini zimesaidia kuwatoa watu katika mifumo ile
Mkuu ni kweli; lakini kwa wakati tulio nao, watu wanajaribu kuhoji ili kupata ufahamu juu mambo fulani fulani; leo huko Arabuni wa mama/wasichana hawaoni mantiki ya uvaaji wa hijabu; hawaoni kwa nini kutovaa hijabu ni dhambi, wakati Uingereza ilikuwa kuwa Waziri Mkuu ni sharti sio tu kuwa mkristo, bali uwe Mwa-anglican lakini leo hata mwarabu ana kuwa kiongonzi wao. Hivyo Mkuu, haya mambo yana badilika kutokana na wakati. Biblia inasema unapo toa sadaka hata mkono mwingine usijue!! ikiwa maana kwamba utoaji wa sadaka uwe siri yako na sio wa kujulikana na mtu mwingine. Leo inatolewa hadi na simu. Hivyo inabidi tuvumiliane tu; ni suala la muda.
 
Mkuu ni kweli; lakini kwa wakati tulio nao, watu wanajaribu kuhoji ili kupata ufahamu juu mambo fulani fulani; leo huko Arabuni wa mama/wasichana hawaoni mantiki ya uvaaji wa hijabu; hawaoni kwa nini kutovaa hijabu ni dhambi, wakati Uingereza ilikuwa kuwa Waziri Mkuu ni sharti sio tu kuwa mkristo, bali uwe Mwa-anglican lakini leo hata mwarabu ana kuwa kiongonzi wao. Hivyo Mkuu, haya mambo yana badilika kutokana na wakati. Biblia inasema unapo toa sadaka hata mkono mwingine usijue!! ikiwa maana kwamba utoaji wa sadaka uwe siri yako na sio wa kujulikana na mtu mwingine. Leo inatolewa hadi na simu. Hivyo inabidi tuvumiliane tu; ni suala la muda.

Majibu uliyotoa kwenye maswala kadhaa niliyo kuuliza yanaonyesha ni kwa kiasi gani huna uelewa na historia ya dunia. Ila upo hapa kujaribu kuikosoa dini ambayo nina hakika pia utakua huijui
🙏
 
Waliotangulia ni watu ambao walikuwepo kabla ya Mtume Muhammad (Sala na amani ziwe juu yake) na Mtume Muhammad amekuja katika njia ya uislamu ambao mlolongo wake ni tokea mitume waliokuwepo kabla yake mpaka kufikia yeye ambaye ni Mtume wa mwisho katika orodha yao. Sasa umetumia kigezo kipi katika ufahamu mpaka ukaelewa kuwa hao waliofunga kabla ya Mtume Muhammad hawakuwa ni waislamu?

Endelea kujibu hoja

1. Thibitisha hoja yako

2. Huyo mwanzilishi ni nani?

3. Ibada ni nini?
Uislam haujawahi kuwepo kabla ya Mohamad. Uislam ni dini mpya iliyoanzishwa na Mohamad.

Nikikuambia hapa Uthibitishe kuwa Uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad HUTAWEZA.

Mtakaa katika hii denial mpaka lini?
 
Msingi wa neno "Uislam" ni "silm" ambalo linamaanisha "kujisalimisha" au "kusalimu amri." Linamaanisha kujisalimisha kwa Allah (Mwenyezi Mungu).
So what then?

Hiyo definition haithibitishi kuwa Uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad... Ni tafsiri tu ya neno la dini yako, Haithibitishi chochote.

Watu walimuambudu Mungu hata kabla ya Dini yako iliyoanza karne ya 7.

Narudia tena, Uislam haujawahi kuwepo kabla ya Mohamad. Period.
 
Ilianza kabla hajaumbwa binaadam, binaadam tumeukuta. Waliokuwepo kabla ya binadam ni viumbe waliojisalimisha kwa Mwenyezi Mungu.

Tofauti ya Uislam na dini zingine, zote, zimebeba majina au sifa za kibinadam.

Uislam pekee ndiyo unamaanisha kujisalimisha kwa Muumba wetu pekee.
Nikikuambia Uthibitishe kuwa Uislan ulikuwepo kabla ya Mohamad utaweza?

HUWEZI.... Zaidi ya kuja na hadithi za definition ya Neno Uislam, huna cha ziada hapo.

Ukijitahidi sana Utakuja na stories za Quran ikiyoandikwa karne ya 7.
 
Ungeongezea na dini ya kiyahudi. Dini hizo tatu ni za toka enzi ya mhenga Abraham, hivyo mara nyingine huitwa "Abrahamic religions"
Ibrahim hakuwa Myahudi... Ila dini/imani ya kiyahudi ilitoka kutokea kwa uzao wake.

Ibrahim aliamini Mungu....wakati wake hakukuwepo hizi dini za leo kama Ukristo, Uyahudi wala Uislam.

Katika hizo dini 3 nilizotaja, Uislam ndio mchanga kuliko zote, ulianzishwa karne ya 7
 
Mkuu Wazolee, ni kigezo gani ambacho kimekutambulisha kuwa huyu mtoa hoja ni Mkristo? Maana kwenye hoja yake ya msingi amezichambua dini zote mbili kwa mapana yake. Yeye anataka uchambuzi ulio sahihi katika masuala haya ya imani.
Anadhania achana nae huyu .
 
na dini imekuja duniani mwaka gani? Je Adamu, Issa, Mussa nipe Dini zao. Afu nambie walikuwa hawana njia au ? we ndo uongeze elimu.

Andiko linasema. WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA SIO KWA KUKOSA ELIMU. CHANGAMKA BADO WE MTUMWA
Dini ni njia.

Njia ya kwenda wapi?

Qur'an ina jibu la hilo...
Nikikuambia Uthibitishe kuwa Uislan ulikuwepo kabla ya Mohamad utaweza?

HUWEZI.... Zaidi ya kuja na hadithi za definition ya Neno Uislam, huna cha ziada hapo.

Ukijitahidi sana Utakuja na stories za Quran ikiyoandikwa karne ya 7.
Qur'an inasema Inna Dini Indi Allah Al Islam.

Hakika dini (njia) kwa Mwenyezi Mungu ni Uislam.

Sasa wewe jiulize, Mwenyezi Mungu yupo toka lini?

Naam, Qur'an unaielewa? Umeshachukuwa nia ya kuidoma uuelewe ujunbe uliomo japo kidogo? Au unataka kubishana kuhusu usiyoyajuwa?
 
So what then?

Hiyo definition haithibitishi kuwa Uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad... Ni tafsiri tu ya neno la dini yako, Haithibitishi chochote.

Watu walimuambudu Mungu hata kabla ya Dini yako iliyoanza karne ya 7.

Narudia tena, Uislam haujawahi kuwepo kabla ya Mohamad. Period.
Dini yako ni ipi? tuongelee unachokijuwa. maana dini yangu umeielewa kuhusu hicho ulichokisoma lakini hutaki kukubali.
 
Mkuu ni kweli; lakini kwa wakati tulio nao, watu wanajaribu kuhoji ili kupata ufahamu juu mambo fulani fulani; leo huko Arabuni wa mama/wasichana hawaoni mantiki ya uvaaji wa hijabu; hawaoni kwa nini kutovaa hijabu ni dhambi, wakati Uingereza ilikuwa kuwa Waziri Mkuu ni sharti sio tu kuwa mkristo, bali uwe Mwa-anglican lakini leo hata mwarabu ana kuwa kiongonzi wao. Hivyo Mkuu, haya mambo yana badilika kutokana na wakati. Biblia inasema unapo toa sadaka hata mkono mwingine usijue!! ikiwa maana kwamba utoaji wa sadaka uwe siri yako na sio wa kujulikana na mtu mwingine. Leo inatolewa hadi na simu. Hivyo inabidi tuvumiliane tu; ni suala la muda.
Nakuelewa vizuri. Dunia wakati wote imekua ikienda kwa mabadiliko. Na sasa ipo kwenye mabadiliko ya watu wengi kua na uelewa zaidi, watu wamekua na ufahamu wa hali ya juu na hivyo kuweza kuhoji na kufikiri hata yale ambayo kwa muda mrefu hakuna aliewai kufanya hivyo. Kwa upande wa dini nachokiona ni kua dini zimeharibiwa kwa kiasi kikubwa sana na baadhi viongozi wengi wa sasa kwa kuingiza mambo tofauti na kupoteza kabisa maana ya dini ambayo ni kumpa mwanadamu mafunzo ya kuishi katika njia bora Kwa hilo haishangazi kuona watu wakipunguza imani na dini zao ila pia ni muhimu kutambua kua dini zimekua na mchango kwa namna fulani hivyo ni muhimu hata kuziheshimu tu hata kama huziamini
 
Nikikuambia Uthibitishe kuwa Uislan ulikuwepo kabla ya Mohamad utaweza?

HUWEZI.... Zaidi ya kuja na hadithi za definition ya Neno Uislam, huna cha ziada hapo.

Ukijitahidi sana Utakuja na stories za Quran ikiyoandikwa karne ya 7.
Uislamu kama dini ya Kiislamu, ilianzishwa na Mtume Muhammad (SAW) huko Makkah na Madina karne ya 7 AD. Hivyo, haiwezekani kusema kwamba Uislamu uliwepo kabla ya Mtume Muhammad (SAW).

Hata hivyo, inajulikana kwamba mafundisho ya Uislamu yanategemea mafundisho ya Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu, ambao walikuja kabla ya Mtume Muhammad (SAW). Kwa mfano, Uislamu unakubali na kuamini kwamba Mitume wote wa Mwenyezi Mungu, kuanzia Adamu, Nuhu, Ibrahimu, Musa, Isa, na wengineo, walikuja na kufikisha ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa watu wao.

Kwa hivyo, ingawa Uislamu kama dini ilianzishwa na Mtume Muhammad (SAW), mafundisho yake yanategemea mafundisho ya Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu ambao walitangulia kabla yake.
 
Mkuu ni kweli; lakini kwa wakati tulio nao, watu wanajaribu kuhoji ili kupata ufahamu juu mambo fulani fulani; leo huko Arabuni wa mama/wasichana hawaoni mantiki ya uvaaji wa hijabu; hawaoni kwa nini kutovaa hijabu ni dhambi, wakati Uingereza ilikuwa kuwa Waziri Mkuu ni sharti sio tu kuwa mkristo, bali uwe Mwa-anglican lakini leo hata mwarabu ana kuwa kiongonzi wao. Hivyo Mkuu, haya mambo yana badilika kutokana na wakati. Biblia inasema unapo toa sadaka hata mkono mwingine usijue!! ikiwa maana kwamba utoaji wa sadaka uwe siri yako na sio wa kujulikana na mtu mwingine. Leo inatolewa hadi na simu. Hivyo inabidi tuvumiliane tu; ni suala la muda.
Uarabuni ipi hiyo unayoiongelea? Usitulishe matango pori.
 
Ibrahim hakuwa Myahudi... Ila dini/imani ya kiyahudi ilitoka kutokea kwa uzao wake.

Ibrahim aliamini Mungu....wakati wake hakukuwepo hizi dini za leo kama Ukristo, Uyahudi wala Uislam.

Katika hizo dini 3 nilizotaja, Uislam ndio mchanga kuliko zote, ulianzishwa karne ya 7
Uislam haujabeba jina la mtu kama hizo dini zingine ulizozitaja.

Huwezi kuulinganisha nazo.
 
Nini maana ya neno "dini*?
Neno "dini" linamaanisha mfumo wa imani na ibada za kiroho au za kimungu ambazo watu wanazifuata. Dini inajumuisha mambo kama imani, maadili, ibada, na utamaduni ambao unaunganishwa na imani ya kimungu. Kwa kifupi, dini ni njia ya kumfikia Mwenyezi Mungu au nguvu za kimungu kwa njia ya imani na ibada.
 
Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.

Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Nakuunga mkono Dini na Maandiko Matakatifu/Imani ni vitu viwili tofauti maana baadhi ya mambo yapo kwny Maandiko ila dini hayafuati wala kuyaongelea kabisa yaan
 
Back
Top Bottom