Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
- Thread starter
-
- #21
SijakuelewaWaliotangulia ni watu ambao walikuwepo kabla ya Mtume Muhammad (Sala na amani ziwe juu yake) na Mtume Muhammad amekuja katika njia ya uislamu ambao mlolongo wake ni tokea mitume waliokuwepo kabla yake mpaka kufikia yeye ambaye ni Mtume wa mwisho katika orodha yao. Sasa umetumia kigezo kipi katika ufahamu mpaka ukaelewa kuwa hao waliofunga kabla ya Mtume Muhammad hawakuwa ni waislamu?
Hata hujui maana ya uislamu π kweli wajinga ndo waliwao rudi madrasa. Fatanah dhafu ni lugha ya kiarabu maanake usafiSijakupata wala sujakuelewa, naona unabwabwaja kisichieleweka.
Hutoweza kumuelewa, upo finyu sana.Sijakuelewa
Mshirikishe aliyekutuma kama na yeye haelewi chukua hatuaSijakuelewa
Ndivyo alivyokuambia mungu wako muafrika marehemu Wanyonyi ??Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.
Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Endelea kukaza fuvu..... Dini ya haki kila siku mauaji. Waarabu ubaguzi π husichojua nikwamba kilichoandikwa Kwenye Quran ni tofauti na kilichopo Kwenye uisalamHutoweza kumuelewa, upo finyu sana.
Kuuliza sio ujinga kijana... na sijakuelewa acha kukaza fuvu.Mshirikishe aliyekutuma kama na yeye haelewi chukua hatua
Kama hujuwi maana ya neno Uislam, unaongelea usichokijuwa.Hata hujui maana ya uislamu π kweli wajinga ndo waliwao rudi madrasa. Fatanah dhafu ni lugha ya kiarabu maanake usafi
π€ haya kwanza wanawake hamna dini ndo maana hamtakiwi kuongoza ibada yyte kwahiyo kaa pale.Kama hujuwi maana ya neno Uislam, unaongelea usichokijuwa.
Hakuna Kiarabu chochote ulichoandika. Wewe hata hilo neno "Madrassa" hujuwi maana yake.
Naam, unachotakiwa kukifanya ni kuja kwa utuvu na adabu na kuanza kwa kuuliza kwa heshima siyo kuja na mihemko kwa vitu usivyovielewa.Kuuliza sio ujinga kijana... na sijakuelewa acha kukaza fuvu.
Ulikuja kwa njia ya mashua na mlengo ni biashara ya karafuu na meno ya TEMBO n.knaomba kuuliza
mara ya kwanza kabisa uislamu ulifikaje Africa
Sasa unaletaje hoja nzito wakati wewe mwenyewe uko empty kichwani? Hii inadhihirisha washirikina jinsi wasivyoweza kutumia akili.Kuuliza sio ujinga kijana... na sijakuelewa acha kukaza fuvu.
Nielewe nini .... mpe nafasi mzungu muue ndugu yako we ndo unachotaka nielewe. Afu watu wajinga kweli. Mko bize kutetea dini πππ kuna Mungu ila hakuna dini tuelewaneNaam, unachotakiwa kukifanya ni kuja kwa utuvu na adabu na kuanza kwa kuuliza kwa heshima siyo kuja na mihemko kwa vitu usivyovielewa.
Si unaona ulivyo finyu.π€ haya kwanza wanawake hamna dini ndo maana hamtakiwi kuongoza ibada yyte kwahiyo kaa pale.
Kwahiyo kule ambako hakuna karafuu Wala meno ya tembo uislamu ulifuata niniUlikuja kwa njia ya mashua na mlengo ni biashara ya karafuu na meno ya TEMBO n.k
Ufinyu wa akili zako na maarifa umeishia hapo. Andiko linasema watu wangu wanaangamia kwa ukosefu wa maarifa ila sio kwa ukosefu wa elimu.Sasa unaletaje hoja nzito wakati wewe mwenyewe uko empty kichwani? Hii inadhihirisha washirikina jinsi wasivyoweza kutumia akili.
1. Thibitisha hoja yako
2. Huyo mwanzilishi ni nani?
3. Ibada ni nini?
Usiende mbele kabla hatujamalizana hapa
Hii ni Kwa mujibu wa tafiti yake? Au Kuna maandiko amenukuu kutoka vitabu vya watu wa kale? Naanzaje kumwani kama hana nukuu kutokana na vitabu vya kale? Kwasababu kuelezea ya kale na yeye hakuwepo katika hizo zama bila nukuu ni uganga tu.Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule mwanadam wa 3/4 "homo habilis /sapiens"